Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      MBISHI WA KITAA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Question Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      Nimekua nikisika toka kwa watu tofauti tofauti kwamba kuna mazara kuegemeza laptop direct kwenye mwili je ili ni la kweli??????

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,680
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6330
      Likes Given
      2831

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      Quote By MBISHI WA KITAA
      Nimekua nikisika toka kwa watu tofauti tofauti kwamba kuna mazara kuegemeza laptop direct kwenye mwili je ili ni la kweli??????
      Sasa ungeweka kitu na box...yaani ueleze kuwa uliambiwa kuna madhara ya jinsi gani!...kuna celli zinakufa?...unababuka?, au inanyonya damu?,,au ninini?..fanya homework vizuri!
      sweetlady likes this.
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    4. #3
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      Labda kama unatumia wireless inaweza kuwa unabsorb very little amount ya mionzi ambayo hata hivyo ni negligble..
      Vinginevyo matumizi ya simu na radio call sijui yangekuwaje,maana lazima uhold tena jirani na mtambo(ubongo)

    5. #4
      redSilverDog's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Posts : 486
      Rep Power : 691
      Likes Received
      72
      Likes Given
      70

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      ebwanaaee sema freshi.. maanake sisi wengine 2nalala nazo vitandani....
      "A person who never made a mistake never tried anything new" ~ Albert Einstein

    6. #5
      Pasco_jr_ngumi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 1,545
      Rep Power : 701
      Likes Received
      184
      Likes Given
      42

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      Unaweza kuvimba tumbo! WACHENI KUPAKATA LAPTOP......

    7. Study Abroad

    8. #6
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19946
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      tetesi nyingine balaa

    9. #7
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,610
      Rep Power : 4402
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      977

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      si vizuri kupakata lapy kwa korodani kwani zitazidisha joto linalotakiwa maeneo yale na kuletekeza madhara
      Independent thinker
      Humu jf baadhi yetu wametengeneza haki miliki ya they way they think, you have to think like them and have drawn a line of where one has to belong, you are either "with us" or "against us", if you don't sail the same boat then you are an enemy!. -Pasco wa JF

    10. #8
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,812
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      964

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      Hakuna madhara yoyote - Baba_Enock amekuwa anatumia laptop kwa miaka 15 mfululizo sasa (tangia enzi za Compaq) lakini hajapata madhara yoyote!
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    11. #9
      Kaka''s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 424
      Rep Power : 501
      Likes Received
      62
      Likes Given
      14

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      madhara yapo as long as procesor delivers heat, and there are some radiotions zinazoasociate na heat. Nnavojua radiations hizo zkienda kwa korodan znaweza destroy cell structure na vi2 kama cancer n infertility vnaweza kupata. Sema ni madhara madogo sana na effect yake yaweza onekana even after 30 yrs 4 the one used to handle laptop on his thighs. So mnaweza tumia 2 kwa kuconsider life expectancy ya mTZ ni 40 yrs.

    12. #10
      mzamifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2010
      Location : IN SPACE
      Posts : 922
      Rep Power : 651
      Likes Received
      205
      Likes Given
      173

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      Hii inaweza kuelezwa vizurizaidi na watalamu wa mionzi. Bila shaka wstengenezaji walishachukua tahahdhari zote. nashauri watumiaji watahadari na jotpo la kuzidi karibu na nyeti kwani haya jotptola kawaida si zuri sembuse la lapto

    13. #11
      MDAU JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 322
      Rep Power : 479
      Likes Received
      40
      Likes Given
      25

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      Bad Effects on Having Laptop on Your Lap


      Notebook (laptop) is a very efficient and important tool of many people today. Businessmen, college students, housewives and professionals all use laptops for one use or the other. However, it is better that men learn that they risk losing their fertility with the excessive usage of laptop computers.

      The main reason men tend to lose their fertility with the excessive use of laptop computers is that the heat that is generated by the computers, and the posture that the man adopts to balance the laptop computer tends to increase the temperature surrounding the scrotum.

      Scientific researches have proven that the higher is the scrotal temperature, the higher is the possibility of damaging sperms and affecting the male's fertility. Moreover, with the advent of Bluetooth and infrared connections, where there are wireless links to the internet, more and more men are using laptops on their laps than on a desk.

      Men usually keep their legs open wider than women to keep their testicles at the right temperature, and for added comfort. However, with a laptop on their laps, they tend to adapt a less comfortable position so that they can balance the laptop on their laps. This leads to an increase in body temperature that is found between the thighs.

      It has been recently proven that prolonged and continuous usage of laptops on the laps tend to lead to damage to the fertility of the man. This was because the use of laptops usually leads to about 2.7C increase inthe scrotal temperature of the male.

      This has lead to more and more men having decreased sperm levels where sperm counts seem to have dropped by a third in ten years.
      Most of the reasons for this reduced sperm count is drug use, smoking, alcohol and obesity. Besides this, pesticides, radioactive materials and chemicals, and laptops too contribute to decrease in fertility in men.

      The human male body has a fixed testicular temperature to maintain usual sperm production and development. Though it is not known the exact time of heat exposure and frequency of exposure to heat that can lead to reversible and irreversible production of sperms, it is known that frequent usage of laptops can lead to irreversible or partially reversible changes in the reproductive system of the male body.

      This is why it is advised that young men and teenage boys should limit the use of laptops on their laps to avoid losing their fertility. It is not advisable for young men or boys to also use wireless services on their laps to play games and do other work as they are sure to develop problems in ten years' time, when trying to have a family.

      It is thereby advised that men should use laptops on the desk; in fact, anywhere else is possible, other than using it in the lap. Women don't have to worry much about laptop computers on their laps, as so far, there have been no studies on the impact of using laptop computers on their laps.

      Kwa Kutumia Laptop kuweka kwenye Mapaja yako unaweza kupoteza uzazi kwa wewe Mwanamme kutokana na hilo joto linalotokana na Laptop yako kuingia mwilini mwako usiweke Laptop yako kwenye Mapaja yako Tafadhali.

    14. #12
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,113
      Rep Power : 19194
      Likes Received
      8047
      Likes Given
      26489

      Default Re: Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..

      Na itakuwa pia vizuri ukitumia Laptop kama una umeme wa nyumbani jaribu kuitowa Betri ya laptop ikishajaa chaji uiondoshe kwenye Laptop yako, utumie tu Waya wa

      umeme kwenye Laptop yako unapokuwa nyumbani. Haswa ukizingatia kuwa unapokuwa nje na hapo unapoishi unaweza kutumia Betri yake na hivyo inasaidia kuifanya Betri ya laptop yako kuwa na nguvu, na kutumika kwa muda mrefu pasipo kutegemea Waya wa Umeme huo ndio ushauri wangu.
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    15. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Hivi kuna ukweli kwamba wanawake walioajiriwa hujitongozesha kwa mabosi?
      By Mtambuzi in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 24
      Last Post: 21st April 2013, 08:33
    2. Je kuna ukweli kwenye haya ?
      By Chauro in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 24
      Last Post: 9th May 2012, 12:39
    3. Replies: 6
      Last Post: 6th December 2011, 06:27
    4. Replies: 5
      Last Post: 21st October 2009, 22:35

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...