Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakasa CC

    Report Post
    Page 1 of 23 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 446
    1. #1
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,955
      Rep Power : 2310
      Likes Received
      1161
      Likes Given
      1517

      Default Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakasa CC

      Naona kwa sasa CCM ghafla wamekuja na ghiliba mpya kwa kuegemea NGUZO mpya ya

      (1) JINSIA ya kike katika siasa ya nchi yetu. Hali hii inafuatia baada ya zile ghiliba za ->

      (2) UDINI na siasa za Kadhi Mkuu mara Tanzania yangu kuvikwa kanzu ya OIC, zote kushindwa kufua dafu. Nako pia ->

      (3) Mbinu ya kutumia silaha ya HOFU YA KUMWAGIKA DAMU na sasa _>

      (4) UCHAKACHUAJI kuchukua mimba toka kwa UFISADI wa kukwapua hadi MBEGU zinazohitajika kupanda shambani ili wananchi nasi tupate japo ka-ahueni ya maisha kidogo, zote kukubuhu.

      Je, kuja kutubadilishia tu SURA na JINSIA kwenye safu ya uongozi wa Juu kwa kuwaleta Asha-Rose Migiro (Urais 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) itageuka kuwa sabuni tosha ya kuitakasha CCM na UCHUNGU MKALI waliotuletea kimaisha hata wasomi tunaoneka wehu mbele ya waungwa Waopoaji Wazoefu kama Rostam Aziz, Lowasa, na wengineo kweli?? Hebu nipeni maoni yenu hapa.

      Nahitaji KATIBA mpya sasa hivi!!!
      jebs2002, Pasco and Ninaweza like this.


    2. #2
      Jafar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2006
      Location : Msoga, Chalinze
      Posts : 1,249
      Rep Power : 899
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      I dont think we need which gender in the top brass, we need "competent" people whether is man or a woman, to me does not matter.
      HorsePower, jebs2002 and MaMkubwa1 like this.
      " ... wao wana pesa, sisi tuna Mungu ... " (Godbless Lema, MB)

    3. #3
      Samat's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th December 2009
      Posts : 35
      Rep Power : 490
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Kinachoangaliwa na kukubaliwa na jamii ni uwezo wa mtu na c jinsia aliyonayo... Kama Migiro ni msafi na ana uwezo , basi hata jamii itasupport kugombea kwake, na si suala la eti kufanya hivyo ni kufumba macho ya wananchi juu ya kashfa za chama tawala. Sasa wananchi wenye uwelewa hawadanganyiki.. they know what is right and wrong.. Problem ni mfumo uliopo wa mabavu na lazima..
      pcleva likes this.

    4. #4
      Nyambala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Tahiti
      Posts : 4,403
      Rep Power : 1521
      Likes Received
      1020
      Likes Given
      938

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Nini tangible for Tanzania kimefanywa na hawa watu mpaka wastahili nafasi hizo?

    5. #5
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,679
      Rep Power : 2180
      Likes Received
      1927
      Likes Given
      748

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Kwa lipi ndugu yangu!huyu mama ameifanyia nchi nini mpaka apewe nafasi kubwa ya juu kama hii?


    6. #6
      kambipopote's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Location : dar
      Posts : 68
      Rep Power : 449
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Quote By Jafar View Post
      I dont think we need which gender in the top brass, we need "competent" people whether is man or a woman, to me does not matter.
      hilo nalo neno, kinacho jalisha ni uwajibikaji na uzalendo
      mooduke likes this.

    7. #7
      Eliphaz the Temanite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Posts : 1,204
      Rep Power : 723
      Likes Received
      156
      Likes Given
      30

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Kama wanaweza sisi wapambane na wanaume na wawashinde! Sio kuondoa wanaume mnasimamisha wanawake watupu kwa kisingizio cha jinsia! Wanawake hawawezi mnawabeba!
      mooduke likes this.
      Be Proactive controlling a situation by causing something to happen rather than waiting to respond to it after it happens

    8. #8
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,518
      Rep Power : 37787
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      2342

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Nafikiria kuurudisha mfumo DUME uwe mfumo rasmi kuwabana hawa!!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    9. #9
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,096
      Rep Power : 1444
      Likes Received
      484
      Likes Given
      72

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Si mama Migiro alikuwa waziri tena kwa muda mrefu tu lakini hatukumsikia makali yake kama akina Magufuli. Sasa leo akija tutegemee jipya kutoka UN au??

      Hata hivyo CCM haitaki uwezo kama ingekuwa hivyo mbona Salim alikataliwa??

      CCM ina wenyewe na sidhani kama Migiro yuko kwenye hilo kundi.
      mooduke likes this.
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    10. #10
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,348
      Rep Power : 720
      Likes Received
      308
      Likes Given
      157

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Mimi nafikiri tusiwakubali sana hawa watu wa kuandaliwa kwa ajili ya kulinda maslahi ya mafisadi, cha msingi hapa ni kuangalia ni nani anipenda Tanzania na watu wke kwa vitendo.

      Kuna watu ni wasafi ila kwa kuwa wanaandaliwa na mafisadi kushika vyeo tunakuwa hatujafanya kitu, just imagine JK alivyokuja 2005, mbowe alikuwa anawaambia watu ukweli lakini hawakuamini na sasa wameamini kwa hiyo tusiwarudishe nyuma. tusonge mbele.

      Peoples Power

    11. #11
      mmaroroi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2008
      Posts : 2,297
      Rep Power : 1026
      Likes Received
      116
      Likes Given
      79

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Kama ni kweli ni kutapatapa za mfa maji.

    12. #12
      gomezirichard's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 71
      Rep Power : 456
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      iNASIKITISHA SANA TENA SANA KUONA KUWA HAWO AKINA MIGIRO HAWAPO KWA INTEREST YA KUPAMBANA NA MAFISADI BALI KUTIMIZA INTEREST ZAO YAANI NIONA TANZANIA 2020 ITAKUA IMEKONDA NA KUWA NA MAJERAHA MENGI HAPO NDIPO KILO MOJA YA NYAMA ITAUZWA TSH 15,000, MCHELE 9000TSH, UNGA KILO 1 5000 MANA HALI ITAKUA MBAYA

      WANA JF KARIBU WENGI WETU NI WASOMI TUJE NA MIKAKTI MBADALA YA KUHAKIKISHA TUNEENGUA TANZANIA KWENYE MIKONO YA MAFISADI OTHERWISE ITAKUA MBAYA , HAWA JAMAA WANAONGELEA SWALA LA UJINSIA HAWALIONGELEI SWALA ZIMA LA MASLAHI YA TAIFA KUWEKA HISTORIA NI KITU KINGINE NA SWALA LA MASLAHI NI SWALA LINGINE

      MZEE GOMEZI

    13. #13
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,752
      Rep Power : 1168
      Likes Received
      253
      Likes Given
      2541

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Mimi naona hii tabia ya ku-speculate ya 2015 kwa sasa tuyaache, ila labda mtoa mada haja yake ni kupotosha au kuponza magumu ya maisha wanayo pata sasa hivi. kwa sababu matatizo ya watanzania ni ya sasa na wala kesho hatujui tutaingiaje. Ingekuwa nchi yetu imetulia kiuchumi au kisiasan kupanga hayo ya 2015 ni sawa, lakini leo hii hata waziri mkuu wa 2010 to 2015 hatumjui, baraza la mawaziri hatulijui, lakini tuna diriki kuanza gombania/kuzozana raisi au waziri mkuu wa 2015.
      hayo ni maoni yangu.

    14. #14
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,491
      Rep Power : 3213
      Likes Received
      1550
      Likes Given
      6701

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Dr Migiro anafaa sana akipewa nitafurahi

    15. #15
      bwegebwege's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2010
      Location : Kwetu
      Posts : 722
      Rep Power : 603
      Likes Received
      73
      Likes Given
      23

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Haiwezekani Dr Migiro na Tibaijuka kuongoza 2015

    16. #16
      Mapinduzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd August 2008
      Posts : 2,429
      Rep Power : 1037
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakash

      Quote By TUKUTUKU View Post
      Kwa lipi ndugu yangu!huyu mama ameifanyia nchi nini mpaka apewe nafasi kubwa ya juu kama hii?
      katoa academic products ambazo ni nguvu kazi kwa nchi hii.
      Usiogope kufa, ogopa kukosa pesa. Kilimo kwanza

    17. #17
      Mchekechoni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Posts : 280
      Rep Power : 625
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Dr. Asha-Rose Migiro, Prof. Tibaijuka & Anne Makinda: 2015 presidential candidates?

      Now that some names have been speculated for the 2015 general elections on ccm ticket, can't hide my feelings on the top three ladies who can be earmarked as candidates for the first ever, woman president in Tanzania. Amongst them, Dr. Migiro ranks top, followed by Speaker Anne Makinda and prof. Tibaijuka respectively. GO LADIES GO!

    18. #18
      warea's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd January 2010
      Posts : 242
      Rep Power : 526
      Likes Received
      52
      Likes Given
      20

      Default Re: Dr. Asha-Rose Migiro, Prof. Tibaijuka & Anne Makinda: 2015 presidential candidates?

      Wamama wana huruma sana sijui kama watawakamata mafisadi!

    19. #19
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,688
      Rep Power : 2121
      Likes Received
      1157
      Likes Given
      1601

      Default Re: Dr. Asha-Rose Migiro, Prof. Tibaijuka & Anne Makinda: 2015 presidential candidates?

      Not yet tanzania!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    20. #20
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1407
      Likes Received
      778
      Likes Given
      1463

      Default Re: Dr. Asha-Rose Migiro, Prof. Tibaijuka & Anne Makinda: 2015 presidential candidates?

      baaaaaaaaaaaado............... ........

    Page 1 of 23 12311 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Kampeni ya Sitta for Presidency 2015 yazinduliwa.
      By Mpanzi in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 21
      Last Post: 18th July 2011, 18:36
    2. Mbowe for presidency 2015?
      By ZeMarcopolo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 7
      Last Post: 11th November 2010, 20:18
    3. Asha Rose Migiro for President 2010
      By Mama in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 45
      Last Post: 29th May 2009, 08:48

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...