Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakasa CC

    Report Post
    Page 3 of 23 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 446
    1. #1
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,955
      Rep Power : 2310
      Likes Received
      1161
      Likes Given
      1517

      Default Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakasa CC

      Naona kwa sasa CCM ghafla wamekuja na ghiliba mpya kwa kuegemea NGUZO mpya ya

      (1) JINSIA ya kike katika siasa ya nchi yetu. Hali hii inafuatia baada ya zile ghiliba za ->

      (2) UDINI na siasa za Kadhi Mkuu mara Tanzania yangu kuvikwa kanzu ya OIC, zote kushindwa kufua dafu. Nako pia ->

      (3) Mbinu ya kutumia silaha ya HOFU YA KUMWAGIKA DAMU na sasa _>

      (4) UCHAKACHUAJI kuchukua mimba toka kwa UFISADI wa kukwapua hadi MBEGU zinazohitajika kupanda shambani ili wananchi nasi tupate japo ka-ahueni ya maisha kidogo, zote kukubuhu.

      Je, kuja kutubadilishia tu SURA na JINSIA kwenye safu ya uongozi wa Juu kwa kuwaleta Asha-Rose Migiro (Urais 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) itageuka kuwa sabuni tosha ya kuitakasha CCM na UCHUNGU MKALI waliotuletea kimaisha hata wasomi tunaoneka wehu mbele ya waungwa Waopoaji Wazoefu kama Rostam Aziz, Lowasa, na wengineo kweli?? Hebu nipeni maoni yenu hapa.

      Nahitaji KATIBA mpya sasa hivi!!!
      jebs2002, Pasco and Ninaweza like this.


    2. #41
      KANIALE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 38
      Rep Power : 449
      Likes Received
      12
      Likes Given
      8

      Default Re: Dr Migiro na Urais 2015

      In order to bring about changes to the current political and economic situation in our country, we need to make a clean break with the past. In this I cannot see any future for CCM. The continued CCM dominance in the political affairs of our country is due to historical reasons of the one party system, the pathetic knowledge of political rights by the rural population which are the majority, the infancy of opposition parties, and the poverty prevalent in our society.

      The first step if changes are to occur is that the people should be made aware that there is a better and certain alternative to their lives. In other words there must be the unfreezing of their current mind set to make them see that change is possible. Political, human rights and civic education is key to changing the mind set. This is what the opposition parties should be doing as a matter of necessity.

      The Migiros, Magulufuli and others mentioned, will not be able to bring the desired changes. They have been brought up and groomed by CCM and will not be able to muscle the pressures of their peers and mentors to stay the course.

      I see hope in CHADEMA if they will be able to keep the current momentum and work honestly to move this country forward if they ever win political power.

      The problem with Tanzanians is that they always wait for someone else to take the bull by the horn. The play safe silently and complain loudly if things don't work out the way they would like . Complaints won't bring changes. Changes will be brought about by positive action for change in the political arena. If we really desire change people should turn out en mass and take the vote for change. People should stop complaining, but support efforts that will rid this country of the present regime.

      50 years of snail pace progress, rampant corruption, plunder of our national resources, current lack of political direction, taking people for granted are enough.

      I am sorry to say the task of building the Tanzania that we want cannot be left to CCM. We gave them patient, understanding and peace over the last 50 years. They betrayed us . Therefore Migiro, Lowasa, Magufuli, etc are irrelevant for the future of Tanzania.

      WE NEED CHANGE. The struggle continues....Venceremos!

    3. #42
      Indume Yene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Chumbani
      Posts : 2,165
      Rep Power : 4961
      Likes Received
      339
      Likes Given
      322

      Default Re: Dr Migiro na Urais 2015

      Kikwete anataka kutumia ule ujanja kama aliotumia kumweka Anna Makinda kama Spika. Kikwete alimkoromea Mzee Malecela juu ya kumuondoa Sitta. JK alimtaka Makinda achukuwe uspika, Malecela alimwambia JK kumuondoa Sitta kwenye uspika CCM itaparaganyika. JK alimkoromea Malecela kuwa CCM si mtu na akamuweka Makinda, matokeo yake tunayaona........bunge linaendeshwa kama sehemu ya vikao vya arusi.

    4. #43
      Nguruvi3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2010
      Location : Kidabashi-Dongobeshi
      Posts : 3,600
      Rep Power : 2924
      Likes Received
      5001
      Likes Given
      3072

      Default Re: Dr Migiro na Urais 2015

      Juma Contena: Him and Blair were the new generation of labour but Blair beat him at the leadership contest, do you think those at the time dint know who was the smartest? This people think about a person's attitude and they know what kind of a leader he is going to be.
      But when it comes to crunch time 'Ed' is Jewish for starters (enough to loose support to voters) and he managed to beat his brother because of core labour support that is the union
      Of course Blair is eloquent, narrator and 'artist'. He's charismatic leader as opposed to GB.
      GB is visionary person, a mentor and economist by all standards, unfortunate he doesn't possess the core value of election such as charisma and eloquence. Nonetheless Blair always confesses that GB is next level.
      I am not sure if Ed is a Jewish or could be a conspiracy theory to taint his image before millions of immigrants originating from mideast.
      The austerity measures are not abating the situation on the ground as commoners are struggling for butter and bread. It has proved failure because the GPD is shrinking
      KANIALE;]In order to bring about changes to the current political and economic situation in our country, we need to make a clean break with the past.
      The first step if changes are to occur is that the people should be made aware that there is a better and certain alternative to their lives. In other words there must be the unfreezing of their current mind set to make them see that change is possible. Political, human rights and civic education is key to changing the mind set. This is what the opposition parties should be doing as a matter of necessity.
      The Migiros, Magulufuli and others mentioned, will not be able to bring the desired changes. They have been brought up and groomed by CCM and will not be able to muscle the pressures of their peers and mentors to stay the course.
      I see hope in CHADEMA if they will be able to keep the current momentum and work honestly to move this country forward if they ever win political power. Changes will be brought about by positive action for change in the political arena. If we really desire change people should turn out en mass and take the vote for change. People should stop complaining, but support efforts that will rid this country of the present regime. 50 years of snail pace progress, rampant corruption, plunder of our national resources, current lack of political direction, taking people for granted are enough.
      Therefore Migiro, Lowasa, Magufuli, etc are irrelevant for the future of Tanzania.
      It doesn't get better than this! just to add an ice on the cake, we should not expect changes from anyone who is serving the inner circle at the moment. We need a person who is novice in the system and be receptive. Recycling is doing the same thing expecting different results.

    5. #44
      Mtu Mmoja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2010
      Posts : 596
      Rep Power : 589
      Likes Received
      52
      Likes Given
      142

      Default Re: Migiro (for Presidency 2015) na Tibaijuka (Uwaziri Mkuu 2010) Wanatosha Kuitakasha CC

      muda wa kuongozwa na wapigwa katerero haujafika, period!!


    6. #45
      Dume la Mende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 407
      Rep Power : 503
      Likes Received
      48
      Likes Given
      1

      Default Migiro for Presidency?

      Hizi habari kwamba huyu mama Migiro anatajwa kuutaka urais wa Tanzania mwaka 2015 zinanifanya nikose imani na uongozi wa CCM ikiwa kweli wana azma ya kufanya hivyo. Na sitashangaaa kwa sababu itawekwa hoja kwamba "akina mama wakiwezeshwa wanaweza" na kwamba "ni wakati wa Rais mwanamke". Hii ni kuiweka rehani nchi yetu kwa kumpa ridhaa hiyo mama Migiro ambaye napata mashaka juu ya uelewa wake wa idara na wizara mbalimbali nyeti. Hata Taifa kubwa kama USA lilipoona kuna mwanamke na mwanaume mweusi, waliona bora mwanaume.
      Tusipende kumkwaza huyu mama, hataweza na hatoshi cheo hicho japo ni msomi mzuri na ninamuheshimu sana. Bado sijaona mwanamke wa kuongoza Tanzania hii yenye pasua vichwa lukuki. Muziki wa CDM atauweza mama huyu? Wanalia kina Pinda, yeye atafanyaje?
      Ikifika hivyo, nahamia CHADEMA.
      Chilipamwao likes this.


    7. #46
      VUVUZELA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2010
      Location : Kissimmee, FL
      Posts : 1,919
      Rep Power : 840
      Likes Received
      344
      Likes Given
      143

      Default Re: Migiro for Presidency?

      Kama raia mwengine yoyote wa taifa letu huyu dada anayo haki ya kugombea urais ama cheo chochote serikalini. Ni wananchi wenyewe ndio wataamua ktk uchaguzi
      We are what we eat!!

    8. #47
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 673
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Migiro for Presidency?

      Kwa Tanzania yetu watu au majority walivyo mbumbumbu CCM hata wakiweka jiwe litashinda tu sasa cjui nani katuloga nchi hii..Wamuweke huyo Mama tu ila ndio hapo watakapolia na kusaga meno.

    9. #48
      Dume la Mende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 407
      Rep Power : 503
      Likes Received
      48
      Likes Given
      1

      Default Re: Migiro for Presidency?

      Quote By VUVUZELA View Post
      Kama raia mwengine yoyote wa taifa letu huyu dada anayo haki ya kugombea urais ama cheo chochote serikalini. Ni wananchi wenyewe ndio wataamua ktk uchaguzi
      Na wakiamua usianze kulialia kama mnavyojiliza sasa. Chukua tahadhari mapema, huwezi kunishawishi kwamba Mdee anaweza kugombea huku Mbowe Slaa na wengine wapo eti kwa sababu tu ana haki. You have not touched my nerve yet

    10. #49
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 6,017
      Rep Power : 1656
      Likes Received
      1138
      Likes Given
      419

      Default Re: Migiro for Presidency?

      Quote By VUVUZELA View Post
      Ni wananchi wenyewe ndio wataamua ktk uchaguzi
      ----.

      ni nec wenyewe ndio wataamua ktk uchaguzi
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    11. #50
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,882
      Rep Power : 2170
      Likes Received
      1258
      Likes Given
      560

      Default Re: Migiro for Presidency?

      kosa kubwaa saana km tutairudisha ccm tena 2015 awe sijui migiro sijui tibaijuka ilani ya magamba ni ile ile WIZI UFISADI NA KULINDANA. mkitaka maumivu zaidi chagueni ccm.
      Jasusi likes this.

    12. #51
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1779
      Likes Received
      1326
      Likes Given
      2661

      Default Re: Migiro for Presidency?

      Quote By Dume la Mende View Post
      Hizi habari kwamba huyu mama Migiro anatajwa kuutaka urais wa Tanzania mwaka 2015 zinanifanya nikose imani na uongozi wa CCM ikiwa kweli wana azma ya kufanya hivyo. Na sitashangaaa kwa sababu itawekwa hoja kwamba "akina mama wakiwezeshwa wanaweza" na kwamba "ni wakati wa Rais mwanamke". Hii ni kuiweka rehani nchi yetu kwa kumpa ridhaa hiyo mama Migiro ambaye napata mashaka juu ya uelewa wake wa idara na wizara mbalimbali nyeti. Hata Taifa kubwa kama USA lilipoona kuna mwanamke na mwanaume mweusi, waliona bora mwanaume.
      Tusipende kumkwaza huyu mama, hataweza na hatoshi cheo hicho japo ni msomi mzuri na ninamuheshimu sana. Bado sijaona mwanamke wa kuongoza Tanzania hii yenye pasua vichwa lukuki. Muziki wa CDM atauweza mama huyu? Wanalia kina Pinda, yeye atafanyaje?
      Ikifika hivyo, nahamia CHADEMA.
      Tatizo watu wandhani ukiwa msomi mzuri mwenye grade nzuri basi utakuwa kiongozi mzuri. Huyu migiro akiwa Rais tutakuwa na rais kivuli amabaye wanaopenda awe rais ni wale wnajua hatafanya kitu kuhatarisha maslahi yao binafsi.

      CCM wanachofanya ni kutafuta mtu atayeweka mbele maslahi ya chama na sio mtu mwenye maslahi ya taifa.
      Tazama michezo live katika gym nayotumia kukuzia misuli ya IT- http://teknohama.x10.mx/live-sports/


    13. #52
      Chilipamwao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2010
      Location : Mbeya
      Posts : 447
      Rep Power : 525
      Likes Received
      91
      Likes Given
      731

      Default Re: Migiro for Presidency?

      mimi nasema hana haki
      Quote By VUVUZELA View Post
      Kama raia mwengine yoyote wa taifa letu huyu dada anayo haki ya kugombea urais ama cheo chochote serikalini. Ni wananchi wenyewe ndio wataamua ktk uchaguzi
      Nchi hii inajengwa na wenye moyo na inatafunwa na wenye meno

    14. #53
      Ngonini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Posts : 1,308
      Rep Power : 1284
      Likes Received
      281
      Likes Given
      41

      Default Re: Migiro for Presidency?

      magamba tena 2015? Basi tumelaaniwa labda inabidi tubadilishe na jina turudishe Tanganyika yetu maana Tanzania imelaaniwa!

    15. #54
      notmar's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 47
      Rep Power : 416
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Migiro for Presidency?

      ona mlivyochanganyikiwa mnaanza kutafuta watu na kuwashambulia ovyo kama mbwa kichaa!infact you are cowards.siasa za kipumbavu kama hizi haziwezi kutufikisha popote na hamshindi kwa staili hii mtabaki kulialia tu!

    16. #55
      Mtanganyika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2007
      Location : US
      Posts : 1,362
      Rep Power : 1287
      Likes Received
      107
      Likes Given
      20

      Default Re: Migiro for Presidency?

      I don't have anything agaist Dr. Migiro, lakini huyu mama hana credential zozote zile za kuongoza Tanzania. Kazi za UN, IMF sijui World Bank ni base on symbolism and nothing more nothing less. Tunataka mtu ambae anafahamu ni jinsi gani tutaondoa umasikini, hatutaki mtu yoyote mwenye propaganda idea kutoka either UN, IMF or World Bank. Sababu wana formula moja tuu nayo ni Aid=prosperity. Hii formula imefail JK amejaribu, Mwinyi ameijaribu, Mkapa ameijaribu na Baba wa Taifa ndio muasisi wa formula hii.

      Tunataka kiongozi ambae "atashona suit kutokana na ukubwa wa kitambaa" (Mwalim). Maana tuta utilize our own resources kufund Tanzania development and if necessary we're going to borrow, but with best conditions. Na kamwe hatukopi kununua Mashangingi au kulipa posho, bali tunakopa kufund project ambazo tumeshazifanyia feasiability study na kufahamu kwamba return yake ni zaidi ya mkopo.

      Kwa vigezo vya kuchukua form huyu mama anavyo vyote, anajua kusoma na kuandika, ana upeo wa kujadili mambo, LAKINI HANA KIGEZO CHA KUWA RAISI PERIOD. We need people with execution mind ambao wanasimama na kusema kwamba this is how tutafanikiwa.
      MaMkubwa1 likes this.
      If a free society cannot help the many who are poor, it cannot save the few who are rich.

    17. #56
      VUVUZELA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2010
      Location : Kissimmee, FL
      Posts : 1,919
      Rep Power : 840
      Likes Received
      344
      Likes Given
      143

      Default Re: Migiro for Presidency?

      What about Mary Chatanda?
      We are what we eat!!

    18. #57
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,591
      Rep Power : 868
      Likes Received
      100
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Dume la Mende View Post
      Hizi habari kwamba huyu mama Migiro anatajwa kuutaka urais wa Tanzania mwaka 2015 zinanifanya nikose imani na uongozi wa CCM ikiwa kweli wana azma ya kufanya hivyo. Na sitashangaaa kwa sababu itawekwa hoja kwamba "akina mama wakiwezeshwa wanaweza" na kwamba "ni wakati wa Rais mwanamke". Hii ni kuiweka rehani nchi yetu kwa kumpa ridhaa hiyo mama Migiro ambaye napata mashaka juu ya uelewa wake wa idara na wizara mbalimbali nyeti. Hata Taifa kubwa kama USA lilipoona kuna mwanamke na mwanaume mweusi, waliona bora mwanaume.
      Tusipende kumkwaza huyu mama, hataweza na hatoshi cheo hicho japo ni msomi mzuri na ninamuheshimu sana. Bado sijaona mwanamke wa kuongoza Tanzania hii yenye pasua vichwa lukuki. Muziki wa CDM atauweza mama huyu? Wanalia kina Pinda, yeye atafanyaje?
      Ikifika hivyo, nahamia CHADEMA.
      Kuna hoja nyingine itakayotumika,ana international exposure,bila kusahau ile ambayo haitaongelewa iliyojificha ya uislam!

    19. #58
      Technology's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Abbottabad, Pakistan
      Posts : 454
      Rep Power : 530
      Likes Received
      36
      Likes Given
      96

      Default Re: Migiro for Presidency?

      Dume la mende ulitka tumpe urais mama yako? au mkeo??? acha chuki zisizo na msingi

    20. #59
      chipanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 282
      Rep Power : 500
      Likes Received
      40
      Likes Given
      32

      Default

      Quote By VUVUZELA View Post
      Kama raia mwengine yoyote wa taifa letu huyu dada anayo haki ya kugombea urais ama cheo chochote serikalini. Ni wananchi wenyewe ndio wataamua ktk uchaguzi
      Wananchi wa Tanzania huwa hawaamui katika uchaguzi, wanaamuliwa.

    21. #60
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Migiro for Presidency?

      Ni kweli migiro atakua rais kwa ajili ya kumlinda m*were.....subiri uone

    Page 3 of 23 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Kampeni ya Sitta for Presidency 2015 yazinduliwa.
      By Mpanzi in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 21
      Last Post: 18th July 2011, 18:36
    2. Mbowe for presidency 2015?
      By ZeMarcopolo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 7
      Last Post: 11th November 2010, 20:18
    3. Asha Rose Migiro for President 2010
      By Mama in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 45
      Last Post: 29th May 2009, 08:48

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...