Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msafara Wa Mamba

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,983
      Rep Power : 1645
      Likes Received
      1134
      Likes Given
      413

      Default Msafara Wa Mamba

      Miaka 15 ya mfumo wa vyama vingi Tanzania. Mengi tumeyaona, lakini yaliyotokea juzi na jana kule Dodoma yamenipa funzo kubwa kwamba upinzani Tanzania umejaa waganga njaa na wanafiki wanaoweza kuonesha usaliti wao mchana kweupe.

      Nilistuka sana niliposikia kuwa kumeundwa kitu kinachoitwa 'minority opposition'. Hata wakati wa upigaji kura matokeo yalionesha pasipo na shaka kuwa siyo CCM peke yake wanaokichukia Chadema, bali hata vyama vingine vya upinzani.

      Hivi kosa la Chadema ni nini? Mbona silioni?

      Au kwa kuwa safari hii kimevuna wabunge hata kusiko kuwa na Wachaga?

      Kwamba wazazi wangu CCM damu amekipigia kura Chadema(na wameapa hawatapigia kura CCM tena)?

      Kwamba kwa nini Chadema kimeanza kupigiwa kura hata na wasukuma badala ya kupigiwa kura na wachaga kama ilivyokuwa zamani?

      Kwamba Chadema kimewaamsha Watanzania kwa kuwaondolea fikra pandikizi za CCM?

      Kwamba Chadema kimesheheni(na kitaendeleakusheheni) wanachama na wafuasi wasomi wa vyuo vikuu?

      Kuna maswali mengi ninayojiuliza kuhusu chuki kwa chama hiki makini.

      Somo moja nililopata baa da ya harakati za jana na juzi:

      Vyama vya upinzani Tanzania havina tofauti na Msafara wa mamba ambamo Kenge na Mijusi huwa hawakosi.

      Viva Chadema. Stand on Your Feet.

      Tuko Nyuma Yenu.

      Change is Inevitable. It's just a matter of time.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    2. Miaka 50

    3. #2
      ngoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 569
      Rep Power : 550
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Msafara Wa Mamba

      Quote By Ng'wanangwa
      Miaka 15 ya mfumo wa vyama vingi Tanzania. Mengi tumeyaona, lakini yaliyotokea juzi na jana kule Dodoma yamenipa funzo kubwa kwamba upinzani Tanzania umejaa waganga njaa na wanafiki wanaoweza kuonesha usaliti wao mchana kweupe.

      Nilistuka sana niliposikia kuwa kumeundwa kitu kinachoitwa 'minority opposition'. Hata wakati wa upigaji kura matokeo yalionesha pasipo na shaka kuwa siyo CCM peke yake wanaokichukia Chadema, bali hata vyama vingine vya upinzani.

      Hivi kosa la Chadema ni nini? Mbona silioni?

      Au kwa kuwa safari hii kimevuna wabunge hata kusiko kuwa na Wachaga?

      Kwamba wazazi wangu CCM damu amekipigia kura Chadema(na wameapa hawatapigia kura CCM tena)?

      Kwamba kwa nini Chadema kimeanza kupigiwa kura hata na wasukuma badala ya kupigiwa kura na wachaga kama ilivyokuwa zamani?

      Kwamba Chadema kimewaamsha Watanzania kwa kuwaondolea fikra pandikizi za CCM?

      Kwamba Chadema kimesheheni(na kitaendeleakusheheni) wanachama na wafuasi wasomi wa vyuo vikuu?

      Kuna maswali mengi ninayojiuliza kuhusu chuki kwa chama hiki makini.

      Somo moja nililopata baa da ya harakati za jana na juzi:

      Vyama vya upinzani Tanzania havina tofauti na Msafara wa mamba ambamo Kenge na Mijusi huwa hawakosi.

      Viva Chadema. Stand on Your Feet.

      Tuko Nyuma Yenu.

      Change is Inevitable. It's just a matter of time.

      Mkuu mtu akionesha juhudi za kweli kukunyang'anya ulichonacho mkononi wakati unakitaka hakika utamzulia mengi, ndicho kinachotokea.

    4. #3
      Mtu wa Mungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Posts : 424
      Rep Power : 517
      Likes Received
      13
      Likes Given
      1

      Default Re: Msafara Wa Mamba

      Pipoooooooooooooos pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!

    5. FemaTV & Radio

    Similar Topics

    1. Msafara wa mamba na KENGE WAPO..!
      By SILENT WHISPER in forum Jamii Photos
      Replies: 44
      Last Post: 20th November 2011, 23:29
    2. Mamba huyu ni balaaa
      By M Smith in forum Jamii Photos
      Replies: 8
      Last Post: 7th September 2011, 14:19
    3. Replies: 0
      Last Post: 28th November 2010, 10:16
    4. Tunamlilia Amina au ni machozi ya mamba?
      By MwanaCCM in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 12
      Last Post: 2nd July 2007, 14:10

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...