Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tume yapata kigugumizi kutangaza matokeo jimbo la ubungo...why??

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Msolo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Location : Uru, Materuni.
      Posts : 118
      Rep Power : 563
      Likes Received
      9
      Likes Given
      18

      Default Tume yapata kigugumizi kutangaza matokeo jimbo la ubungo...why??

      Kwa walioangalia kutangazwa kwa matokeao ya Uraisi na Tume ya Uchaguzi jioni hii kupitia ITV, Judge Lewis Makame alipata kigugumizi kutangaza matokeo ya jimbo la ubungo, na kuonekana na kusikika wakijadili na kuliacha bila kutoa matoke yake na kuendelea na jimbo la Ukerewe na mengine.. cha ajabu baada ya kumaliza nilitegemea wangetoa ufafanuzi wa nini kimesababisha kutotangaza matokeo ya Uraisi jimbo la Ubungo, lakini hawakusema kitu..

      Pia katika matangazo ya leo jioni hakukuwa na kituo chochote zaidi ya ITV waliorusha matangazo hayo LIVE, TBC waliekuwa na taarifa ya habari. Kuna nini hapa???

    2. Miaka 50

    3. #2
      mambomengi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th May 2009
      Posts : 452
      Rep Power : 601
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default Re: Tume yapata kigugumizi kutangaza matokeo jimbo la ubungo...why??

      mzee kaisharekebisha 'ushindi' wa kishindo anasubiri kujihalalisha kesho. wengi tunasema historia itamhukumu. Kwa dhambi anazowatendea walalahoi

    4. #3
      Nampula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2007
      Location : kigoma
      Posts : 259
      Rep Power : 647
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Tume yapata kigugumizi kutangaza matokeo jimbo la ubungo...why??

      mhhhhhhh hatari basi

    5. Zed
      #4
      Zed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th March 2009
      Posts : 351
      Rep Power : 592
      Likes Received
      107
      Likes Given
      80

      Default Re: Tume yapata kigugumizi kutangaza matokeo jimbo la ubungo...why??

      “UTAJIRI unaotokana na wizi wa mali ya umma, na wizi wa fedha za kigeni na unyonyaji na uharamia wa aina mbalimbali, hautupunguzii umaskini wetu, bali unauongeza. Chama chetu hakiwezi kuikubali hali hii, na kikaendelea kuwa CCM, na wala kisitazamie kuwa wananchi wataendelea kukikubali” (Mwalimu Nyerere, Oktoba 1987).

      MAFISADI KAZI KWENU WATANZANIA WAMEAMKA NA SASA WANATAKA NCHI YAO. SIKU INAKUJA TUTAWAHUKUMU NA MTAFIA MAGEREZANI MLIKOWEKA WANYONGE MLIOWAIBIA UTAJIRI WAO MKAWALAZIMISHA WAIBE KUKU ILI KUJIKIMU. Mungu ibariki Tanzania tupe nguvu ya kuendelea kupambana bila kuchoka na hawa mafisadi wanaoendelea kutuibia bila huruma !! AMEN

      Swali langu kwa Mh. Raisi Kikwete: Je ulipoapa na tena ukashika msahafu na pia Katiba ya nchi, je, uliapa kulinda mali na rasilimali za Tanzania au ni kuziweka chini ya wageni na hasa mafisadi ambao sasa wanaendelea kuitafuna tanzania bila kushibisha matumbo yao ? Naomba utafakari haya na ukiendelea kuiweka Tz chini ya mafisadi, miaka 5 siyo mingi. Watanzania tutakuhukumu siku moja kwenye mahakama zetu au zile za kimataifa !!!!

      M. Abdallah Salehe
      ...so that our politicians do politics instead of thievery and our beloved thieves do thievery, not politics; ... (Jenerali Ulimwengu)

    6. #5
      Fishyfish's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 232
      Rep Power : 480
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Tume yapata kigugumizi kutangaza matokeo jimbo la ubungo...why??

      It's difficult to communicate concisely when your mouth is full of bullsh*t.


    7. #6
      YeshuaHaMelech's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 2,630
      Rep Power : 963
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Re: Tume yapata kigugumizi kutangaza matokeo jimbo la ubungo...why??

      Quote By Zed
      “UTAJIRI unaotokana na wizi wa mali ya umma, na wizi wa fedha za kigeni na unyonyaji na uharamia wa aina mbalimbali, hautupunguzii umaskini wetu, bali unauongeza. Chama chetu hakiwezi kuikubali hali hii, na kikaendelea kuwa CCM, na wala kisitazamie kuwa wananchi wataendelea kukikubali” (Mwalimu Nyerere, Oktoba 1987).

      MAFISADI KAZI KWENU WATANZANIA WAMEAMKA NA SASA WANATAKA NCHI YAO. SIKU INAKUJA TUTAWAHUKUMU NA MTAFIA MAGEREZANI MLIKOWEKA WANYONGE MLIOWAIBIA UTAJIRI WAO MKAWALAZIMISHA WAIBE KUKU ILI KUJIKIMU. Mungu ibariki Tanzania tupe nguvu ya kuendelea kupambana bila kuchoka na hawa mafisadi wanaoendelea kutuibia bila huruma !! AMEN

      Swali langu kwa Mh. Raisi Kikwete: Je ulipoapa na tena ukashika msahafu na pia Katiba ya nchi, je, uliapa kulinda mali na rasilimali za Tanzania au ni kuziweka chini ya wageni na hasa mafisadi ambao sasa wanaendelea kuitafuna tanzania bila kushibisha matumbo yao ? Naomba utafakari haya na ukiendelea kuiweka Tz chini ya mafisadi, miaka 5 siyo mingi. Watanzania tutakuhukumu siku moja kwenye mahakama zetu au zile za kimataifa !!!!

      M. Abdallah Salehe
      Sasa na wewe Zed, hili ni tangazo la biashara au? Maana kila post unaliweka.
      Put relevant things in relevant places. Pia color choice matters. Strong colors repel
      "For the Lord himself shall descend from heaven with a shout, with the voice of the archangel, and with the trump of God: and the dead in Christ shall rise first, then we which are alive and remain shall be caught up together with them in the clouds, to meet the Lord in the air: and so shall we ever be with the Lord" (1Th 4:16-17)
      Even so, come Lord Jesus!

    Similar Topics

    1. Replies: 247
      Last Post: 3rd October 2011, 14:08
    2. Replies: 7
      Last Post: 20th September 2011, 18:49
    3. Replies: 15
      Last Post: 4th November 2010, 22:59
    4. CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!
      By Invisible in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 347
      Last Post: 2nd November 2010, 15:28
    5. Shinyanga tume yasuasua kutangaza matokeo ya majimbo
      By PEDE in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 3
      Last Post: 2nd November 2010, 10:54

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...