Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      El Toro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2009
      Location : Here in Bongoland
      Posts : 5,055
      Rep Power : 1859
      Likes Received
      473
      Likes Given
      370

      Default Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      ITV live hapa jaji mstaafu Lewis Makame alipofika kusoma matokeo ya Jimbo la Ubungo akapatwa kigugumizi ndipo mkurugenzi wa NEC akamwambia eti Jimbo la Ubungo linarekebishwa bado aklaliruka baada ya mjadala wa kama 2min na kuendelea na Jimbo la ukerewe. Heheheehe looks like they are not over with kuchakachua mpaka mbele ya waandishi wa habari na live kwenye TV zote local???

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Ndo machampion wa uchakachuaji hao ndo maan wameamua kumtonya mkuu asije haribu alafu Slaa akaidaka
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    4. #3
      We can's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th September 2010
      Posts : 613
      Rep Power : 564
      Likes Received
      24
      Likes Given
      1

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Kila chenye mwanzo, .......

    5. #4
      Fishyfish's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 232
      Rep Power : 480
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      I hope someone recorded it

    6. #5
      realtz7's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd October 2010
      Posts : 110
      Rep Power : 458
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      yap makame amemezeshwa kila kiu kumbe uchakachuaj bado, seems idadi imewachanganya may be kubwa kuliko ya vituoni, kiravu kamwambia ujue kwa ubugo Mnyika ana data full so lazma yalingane na ya kwake!hawa jamaa ni wehu sana uamnbiwe hawana hata aibu, pia very low band with hata kuchakachua namba zisizo na unknown wanashindwa? just whole number inakuwa kazi je wangewekewa dy/dx? matokeo yangekuwa yanatoka after a year

    7. Miaka 50

    8. #6
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,896
      Rep Power : 1476
      Likes Received
      1013
      Likes Given
      128

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Wameiba sana washenzi hawa!

    9. #7
      Mwalu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2010
      Location : dsm
      Posts : 359
      Rep Power : 544
      Likes Received
      71
      Likes Given
      57

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      anayemlipa mpiga zumari ndie anaye chagua wimbo! Tunahitaji kuwekeza kwenye elimu ya uraia, ili wananchi waelewe kwamba wao ndio wenyenchi na kinachofujwa (kuwalipa incompetent NEC etc) ni kodi zinazokatwa kutoka kwenye mapato yao kiduchu wanayokamulia jasho!

    10. #8
      Gosbertgoodluck's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 2,863
      Rep Power : 1149
      Likes Received
      334
      Likes Given
      4

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Hao wazee wamegeuza uchakachuaji kuwa mchezo wa kawaida kabisa. nami nimeshuhudia. inawezekana alikuwa anamuuliza kilavu kama zimechakachuliwa tayari manake alishangaa kuona kura za Dr. Slaa bado ni nyingi sana. nimekuwa nikitafakari bila nec ya hao wazee wachumia tumbo sasa hivi tungekuwa barabarani tukishangilia ukombozi wa nchi yetu. ngoja tujipange itafika wakati hata uchakachuaji utashindwa.
      "Before God we are all equally wise and equally foolish"

    11. #9
      Kishaju's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd February 2008
      Posts : 72
      Rep Power : 588
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Jamani mliona Kenya ilivyokuwa kwenye uchaguzi uliopita....?? Kuna uchaguzi mdogo wa majimbo matatu ulifanyika september jamaa wamemaliza kupiga kura saa kumi na moja saa tano usiku jamaa walishamaliza kila kitu au ni mfano mdogo au hata wakati wa katiba, kufika asubuhi matokea ya nchi nzima yalishajulkana...sisi inachukua siku zaidi ya 5...what a shame?

    12. #10
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      68
      Likes Given
      82

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Quote By We can
      Kila chenye mwanzo, .......
      kina mwisho,
      ........................HAKUNA TIBA YA KIFO............
      HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU

    13. #11
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,739
      Rep Power : 10180
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Wakati Tume ya taifa ya uchaguzi ikiendelea kutangaza matokeo, malalamiko dhidi ya tume hiyo yameendelea kutolewa huku makundi ya haki za binaadamu yakisema kuwa vyama vya upinzani vimeibiwa kura.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    14. #12
      QUALITY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 844
      Rep Power : 607
      Likes Received
      109
      Likes Given
      343

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Quote By El Toro
      ITV live hapa jaji mstaafu Lewis Makame alipofika kusoma matokeo ya Jimbo la Ubungo akapatwa kigugumizi ndipo mkurugenzi wa NEC akamwambia eti Jimbo la Ubungo linarekebishwa bado aklaliruka baada ya mjadala wa kama 2min na kuendelea na Jimbo la ukerewe. Heheheehe looks like they are not over with kuchakachua mpaka mbele ya waandishi wa habari na live kwenye TV zote local???
      Alimtonya kwa sababu waliogopa kupigwa mawe maana za Ubungo zinajulikana pamoja na uchakachuaji uliofanywa!!!!
      HONGERENI SANA WOTE MLIOMPA KURA DR. SLAA (PhD) ILI AIKOMBOE TANZANIA. MAPAMBANO YANAENDELEA

    15. #13
      The Dreamer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2009
      Location : Sky
      Posts : 1,282
      Rep Power : 781
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Quote By realtz7
      yap makame amemezeshwa kila kiu kumbe uchakachuaj bado, seems idadi imewachanganya may be kubwa kuliko ya vituoni, kiravu kamwambia ujue kwa ubugo Mnyika ana data full so lazma yalingane na ya kwake!hawa jamaa ni wehu sana uamnbiwe hawana hata aibu, pia very low band with hata kuchakachua namba zisizo na unknown wanashindwa? just whole number inakuwa kazi je wangewekewa dy/dx? matokeo yangekuwa yanatoka after a year
      Differentiation wanaweza ila integration ile kama kiboko pinda sijui!


      Huu wizi wanaofanya hawachelewi kumuibia bosi wao Jk kwa kufikiri wanamwibia Dr Slaa
      No society can surely be flourishing and happy, of which the far greater part of the members are poor and miserable-ADAM SMITH (A pioneer Political economist)

    16. #14
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,261
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      1294
      Likes Given
      835

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      Kiravu shetani kweli mpare yule. Makame alitaka kuingia kichwa kichwa kusoma matokeo na 'kivuitu' akamuwahi. Halafu yule mtangazaji aliniboa zaidi kuingilia kile tulichokuwa tunasikia wakinong'onezana.

    17. #15
      pcman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2008
      Posts : 508
      Rep Power : 643
      Likes Received
      87
      Likes Given
      134

      Default Re: Breaking News: Jaji Makame apata kigugumizi kutangaza matokeo ya Jimbo la Ubungo

      ubungo tuko makini, pamoja na JJ mnyika, tuna full data hivyo inabidi wakajipange.

    18. #16
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,875
      Rep Power : 1692
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default

      Quote By Raia Fulani
      Kiravu shetani kweli mpare yule. Makame alitaka kuingia kichwa kichwa kusoma matokeo na 'kivuitu' akamuwahi. Halafu yule mtangazaji aliniboa zaidi kuingilia kile tulichokuwa tunasikia wakinong'onezana.
      nadhani haya majina ya 'ki' ni matatizo sana.mf Kivuitu,kiravu,kina.. na,kikw ..te,kingu..nge

    Similar Topics

    1. Replies: 32
      Last Post: 5th November 2010, 04:36
    2. Replies: 5
      Last Post: 5th November 2010, 01:15
    3. CONFIRMED: Jimbo la Ubungo: Matokeo yatangazwa, Mnyika ashinda!
      By Invisible in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 347
      Last Post: 2nd November 2010, 15:28
    4. Replies: 8
      Last Post: 1st November 2010, 17:01
    5. Hali ni Tete Jimbo la Ubungo WASIMAMIZI WAGOMA NA MATOKEO
      By Makanda in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 5
      Last Post: 1st November 2010, 10:44

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...