Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jimbo la Hai - hali ni tete

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Isaac's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2009
      Location : Omnipotent
      Posts : 418
      Rep Power : 612
      Likes Received
      20
      Likes Given
      3

      Default Jimbo la Hai - hali ni tete

      Hujuma kali inafanyika hapa Hai dhidi ya Mbunge wa Hai Mheshimiwa Freeman Mbowe. Hadi sasa Mbowe ameshinda ila kuna kila njama za kujaribu kumkwamisha.
      Wananchi ni wengi toka asubuhi sana na wanataka kuonana na Mbunge wao mteule.
      Hata hivyo kasoro kadhaa zimeanza kujitokeza ikiwemo watu inaosadikiwa ni wa ccm wakijaribu kuhamasisha watu wafanye fujo kwa lengo la kuichafua CHADEMA.
      Vijana wa ulinzi wa CHADEMA wanafanya kazi nzuri ya kuwatuliza watu.
      Kwa bahati mbaya mmoja wa askari wa kutuliza ghasia alifyatua risasi na kupelekea watu kukimbia ovyo.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,770
      Rep Power : 1267
      Likes Received
      211
      Likes Given
      9

      Default Re: Hujuma! Hujuma! Hujuma!

      Gud!
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu

    4. #3
      Nampula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2007
      Location : kigoma
      Posts : 259
      Rep Power : 647
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Jimbo la Hai - hali ni tete

      waache hayo uchaguzi umeisha wampngeze mshindi..........mbona sisi hatun utamaduni wa kupongezana.

    5. #4
      Malunde-Malundi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2008
      Posts : 1,254
      Rep Power : 831
      Likes Received
      111
      Likes Given
      40

      Default Re: Jimbo la Hai - hali ni tete

      Is mbowe confimed? sijaona popote ebu tuoine na kura pia

    6. #5
      Isaac's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2009
      Location : Omnipotent
      Posts : 418
      Rep Power : 612
      Likes Received
      20
      Likes Given
      3

      Default Re: Jimbo la Hai - hali ni tete

      Yuko confirmed ila hatujajua sababu nini kinaendelea hapa. Hadi sasa watu wamejaa hapa ofisi za mkuu wa Wilaya wanaimba Chadema msilale lale lale,Chadema msilale bado mapambano. Wanataka kuvunja geti,duh risasi nyingine inalia watu wanatawanyika....hamna nyimbo tena ila polisi wako mbali.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Major's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2007
      Posts : 739
      Rep Power : 735
      Likes Received
      45
      Likes Given
      0

      Default Re: Jimbo la Hai - hali ni tete

      Quote By Isaac
      Yuko confirmed ila hatujajua sababu nini kinaendelea hapa. Hadi sasa watu wamejaa hapa ofisi za mkuu wa Wilaya wanaimba Chadema msilale lale lale,Chadema msilale bado mapambano. Wanataka kuvunja geti,duh risasi nyingine inalia watu wanatawanyika....hamna nyimbo tena ila polisi wako mbali.
      Ah, hivi hamjajua NEC hawatangazi mpaka wasikia mtu kafa au nyumba imechomwa moto? Maafa yoyote yatakayotokea ni lazima huyu Kiravo abebeshwe. na sijui ni kwa nini amekuwa na roho ngumu namna hii, HE IS NOT A REAL HUMAN

    Similar Topics

    1. Hali ni tete
      By Yusuph Salehe in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 9
      Last Post: 14th November 2010, 20:35
    2. Hali ni Tete Jimbo la Ubungo WASIMAMIZI WAGOMA NA MATOKEO
      By Makanda in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 5
      Last Post: 1st November 2010, 10:44
    3. Hali ni tete..
      By Mbimbinho in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 21
      Last Post: 25th October 2010, 06:31
    4. Hali inapokuwa tete.
      By Ndibalema in forum Jamii Photos
      Replies: 6
      Last Post: 9th June 2010, 12:42

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...