Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mnasemaje kuhusu hili...???

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      Papa Mopao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2009
      Posts : 1,749
      Rep Power : 839
      Likes Received
      248
      Likes Given
      344

      Default Mnasemaje kuhusu hili...???

      Samahanini sana sana sana kwa kulipua hili mada mbele yenu, lakini lengo langu si kuchafua mioyo yenu na ubongo wenu, lengo kujua kitakachotokea huko mbele nchini juu ya Dr. W. Slaa(PhD).

      Swali:

      Si mnakumbuka JK tulivomwamini kipindi kile 2005, tukamchagua kwa mbwembwe nyiiiingi hadi akaibuka kwa ushindi wa zaidi ya 80% (asilimia themanini), akiwa madarakani tumeshuhudia vituko vyake vyooooote hadi akapoteza uaminifu kwa wananchi wake, vituko kama vile kuwateua maswahiba zake, kutowachukua hatua za kisheria baadhi ya mafisadi na mengineyo mengi. Vyote hivyo vimempelekea kuanguka kwa CCM katika uchaguzi mkuu.

      Sasa tuje kwa Dr. Slaa, tumempigia KURA nyingi hapo jana, akitangazwa kuwa mshindi, je, akiwa madarakani, akifanya madudu yoyote yatakayofanana na ya ------, ninyi kama wananchi mnachukuliaje?? Maana yule naye ni binadamu.

      Samahanini lakini kwa any inconvenience!!

      Mapinduzi Daima...

    2. Miaka 50

    3. #2
      Evmem's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Posts : 102
      Rep Power : 456
      Likes Received
      9
      Likes Given
      25

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      anatolewa 2015 and we elect new person, until we can get it right

    4. #3
      Papa Mopao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2009
      Posts : 1,749
      Rep Power : 839
      Likes Received
      248
      Likes Given
      344

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Quote By Evmem
      anatolewa 2015 and we elect new person, until we can get it right
      Sure? Hahahaha haya ngoja tuone, ila nina hakika hakuna kitakachoharibika au?

    5. #4
      Tanzania's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2008
      Posts : 84
      Rep Power : 576
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Quote By Evmem
      anatolewa 2015 and we elect new person, until we can get it right
      Well said, I like it.

    6. #5
      WABUSH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 288
      Rep Power : 494
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Yes Until we get right


    7. MJM
      #6
      MJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2010
      Posts : 389
      Rep Power : 542
      Likes Received
      16
      Likes Given
      2

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Nani kakuambia tulichagua wafalme???????????? Hatuna mawazo mgando ya CCM kutawala milele.. Malecela, Kingunge, Makamba et al

    8. #7
      KakaJambazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2009
      Posts : 4,381
      Rep Power : 2756
      Likes Received
      1098
      Likes Given
      935

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Unauliza matembele Mmbande? au
      ,,,,,,,,Jisachi

    9. #8
      Mamushka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2010
      Posts : 1,613
      Rep Power : 793
      Likes Received
      86
      Likes Given
      141

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Jibu liko wazi, akifanya madudu na yeye uchaguzi ujao 2namtupilia mbali, kwani lazimaaaa!

    10. #9
      King kingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2010
      Posts : 388
      Rep Power : 519
      Likes Received
      13
      Likes Given
      24

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Kwa kuwa itakuwa hamtujamchangua ili akafanye madudu, then akifanya madudu na yeye tunatoa tu haina mjadala hiyo..

    11. #10
      pmwasyoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,461
      Rep Power : 973
      Likes Received
      321
      Likes Given
      423

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Ndiyo maana ya uchaguzi kila miaka mitano.

    12. #11
      Horseshoe Arch's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2009
      Location : Block A
      Posts : 1,288
      Rep Power : 760
      Likes Received
      161
      Likes Given
      39

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Tulimchagua awe kiongozi wa wananchi,si kibaraka wa tabaka fulani..kanuni ipo wazi akivurunda tutamtoa kwa kura zetu..hakuna aliye juu ya sheria..ingekua hivyo zizzou alipomzidane Materazi angeachwa tu apete maana upara mkuuuuubwa!

    13. #12
      katundu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Posts : 58
      Rep Power : 450
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      kwa nyakati hizi sio rahisi tena kiongozi kuwa na madaraka makubwa maana nchi zote zinafanya madaliko makubwa sana ya katiba za nchi zao. Hivyo kama mtu atafanya mambo ya ajabu basi atakuwa amejichimbia kaburi. Hii ni dunia ya dot com.
      Jiulize maswali yafuatayo: Kwa nini mpaka leo hakuna hospital kubwa kama muhimbili, bugando kcmc iliyokwisha jengwa tangu tuapate uhuru??? kwa nini sehemu nyingi hapo tz ni slum areas? Unajenga chuo kikuu wkt cha zamani kinaoza mpaka wanafunzi wanakaa chini. na mnauza eneo la kupanua chuo eti mnaweka shopping mall???? mnazo kweli??? ccm ndio cahanzo ya yote maana hakuna anayewajali wananchi ila matumbo yao na familia zao. Malecela kafanya kwao? hakuna JK kafanya nini kwao hakuna. Mnasikia sasa wanataka kuktaa kuisgn kwamba wameshindwa uchaguzi akina tyson na matlida yote hayo anajua atakufa baada ya siku mbili maana wamezoa kuibwa

    14. #13
      Avanti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2010
      Posts : 696
      Rep Power : 583
      Likes Received
      103
      Likes Given
      260

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Quote By Papa Mopao
      Samahanini sana sana sana kwa kulipua hili mada mbele yenu, lakini lengo langu si kuchafua mioyo yenu na ubongo wenu, lengo kujua kitakachotokea huko mbele nchini juu ya Dr. W. Slaa(PhD).

      Swali:

      Si mnakumbuka JK tulivomwamini kipindi kile 2005, tukamchagua kwa mbwembwe nyiiiingi hadi akaibuka kwa ushindi wa zaidi ya 80% (asilimia themanini), akiwa madarakani tumeshuhudia vituko vyake vyooooote hadi akapoteza uaminifu kwa wananchi wake, vituko kama vile kuwateua maswahiba zake, kutowachukua hatua za kisheria baadhi ya mafisadi na mengineyo mengi. Vyote hivyo vimempelekea kuanguka kwa CCM katika uchaguzi mkuu.

      Sasa tuje kwa Dr. Slaa, tumempigia KURA nyingi hapo jana, akitangazwa kuwa mshindi, je, akiwa madarakani, akifanya madudu yoyote yatakayofanana na ya ------, ninyi kama wananchi mnachukuliaje?? Maana yule naye ni binadamu.

      Samahanini lakini kwa any inconvenience!!

      Mapinduzi Daima...

      Sijui upo wapi? Kikwete tayari anaongoza kwa matokeo ya jumla. Slaa apiganie kuwa mwenyekiti wa Chadema sasa!

    15. #14
      Amoeba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2009
      Posts : 3,332
      Rep Power : 1177
      Likes Received
      435
      Likes Given
      725

      Default Re: Mnasemaje kuhusu hili...???

      Quote By Papa Mopao
      Sure? Hahahaha haya ngoja tuone, ila nina hakika hakuna kitakachoharibika au?
      Kumbe swali lilikuwa mtego, nimeanza kukustukia......!
      Habari ndy hiyo, ukimweka mtu akavurunda unamtoa unaweka mwingine.
      If you love something, set it free; if it comes back.....its yours,...
      if it doesn't.......hunt it down and
      kill it!

    Similar Topics

    1. Tanesco wamenipa ajira hewa, wanasheria mnasemaje juu ya hili?
      By Wa kusoma in forum Jukwaa la Sheria (The Law Forum)
      Replies: 5
      Last Post: 11th November 2011, 14:12
    2. Wataalamu wa Ujenzi Mnasemaje kuhusu aina hii ya Matofali.??
      By Kipeperushi in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 6
      Last Post: 10th October 2011, 12:05
    3. Wadau mnasemaje kuhusu hili....
      By MyTz in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 15
      Last Post: 28th September 2011, 12:43
    4. Mnasemaje kuhusu hizi ahadi?
      By EDOARDO in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 6th October 2010, 10:57
    5. Ukweli ni upi kuhusu hili!!!
      By Mtu wa Pwani in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 5
      Last Post: 1st June 2008, 18:56

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...