Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nchi yetu na Ulinzi wa Majini

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      H6MohdH6's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 42
      Rep Power : 446
      Likes Received
      3
      Likes Given
      13

      Default Nchi yetu na Ulinzi wa Majini

      Jamani, hivi mnaona kwamba tangu Shehe Yahya amwahidi Bw Kikwete ulinzi wa majini, yaani mashetani, JK hajaanguka tena? Hii inaonyesha kuwa JK alilikubali pendekezo la Shehe Yahya na amelipokea kwa mikono miwili kwani hata alipotakiwa kulikataa pendekezo hilo la Shehe Yahya hakusema halitaki.

      Shetani anapokupa kitu hakupi bure, lazima anadai malipo, na kawaida ni roho yako. Kwa hiyo shetani anapomfadhili mkuu wa nchi malipo yake ni roho ya nchi nzima. Yaani sote tutakuwa ni watumwa wa shetani.

      Cha ajabu ni kwamba, kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu, uchaguzi mwaka huu unafanyika tarehe 31 Octoba ambayo ndiyo siku ya Mashetani duniani (Halloween day).
      Siku hiyo Ibilisi atakuwa anasubiri kupewa zawadi ya nchi nzima. Je apewe asipewe?

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Asante's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2009
      Posts : 443
      Rep Power : 756
      Likes Received
      112
      Likes Given
      124

      Default Re: Nchi yetu na Ulinzi wa Majini

      Ndiyo maana tangu mwaka 2005 vifo vya maalibino ni vingi, na wahusika hawachukuliwi hatua, wengine wanapewa hadhi ya kugombea ubunge huko Kigoma.

    4. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Replies: 30
      Last Post: 25th October 2011, 11:50
    2. Waziri Wa Anga,Majini na Usafirishaji nchi Kavu Anajiuma uma.
      By zubedayo_mchuzi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 15th September 2011, 23:29
    3. Replies: 4
      Last Post: 11th June 2011, 08:35

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...