Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wasakwa kwa kumvisha mbwa fulana ya Kikwete

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 89
    1. #1
      mojoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 904
      Rep Power : 620
      Likes Received
      128
      Likes Given
      4

      Default Wasakwa kwa kumvisha Mbwa SARE ZA CCM

      Mtuhumiwa mahui na kijana mmoja wa Darasa la sita (Mwanza)wanatuhumiwa kwa kumvisha Mbwa Sare ya Chama,Ambapo baada ya wafuasi wa CCM kumuona Mbwa huyo walimkimbiza kwa takribani Lisaa limoja na kufanikiwa kumkamata kisha kumvua sare hizo...ME SIONI TATIZO KUMVISHA MBWA NGUO ZA BINADAMU


    2. #41
      Son of Alaska's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2008
      Location : london
      Posts : 2,568
      Rep Power : 1077
      Likes Received
      655
      Likes Given
      262

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      SIASA zetu bana,dunia ya kwanza mbwa anathamani sana,yaani hapo kwa sehemu zingine yaani ndio umempa kura kikwete,lakini poor me kumbe kwa tanzania ni kashfa!!!!!!!!

    3. #42
      Isaac's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2009
      Location : Omnipotent
      Posts : 421
      Rep Power : 617
      Likes Received
      20
      Likes Given
      3

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Huenda walifanya kwa nia nzuri ya kupromoti chama. Mbona wanaoweka bendera kwenye makaburi na vyoo hawatafutwi?
      Au hawa wanasakwa wapewe zawadi?
      Mie ninawashauri wasijitokeze hadi Dr. Slaa aapishwe.
      Mimi niliyeifanya tambala la kupigia deki wananitafuta pia?
      Kikwete hawezi kuvaa T-shirt yenye picha ya mbwa?
      Ingekuwa nguruwe hata mimi ningepigia hilo kelele.

    4. #43
      Chapakazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2009
      Location : Kathmandu
      Posts : 2,910
      Rep Power : 1100
      Likes Received
      256
      Likes Given
      272

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      uhuru wa maoni...au sio? Ni kosa la jinai kuvalisha mbwa nguo za chama cha siasa?
      Change begins with YOU

    5. #44
      SUWI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 491
      Rep Power : 541
      Likes Received
      21
      Likes Given
      65

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      For me sioni kosa lao!! Labda ilikuwa ndo stail yao ya kufanya kampeni na ikiwa zaidi ni mbwa anaezagaa mitaani kwani ujumbe utafika kwa wengi!! Kwani CCM si wanagawa hizo t-shirt ili zivaliwe... Mbwa nae ana haki ya kuvalishwa nguo iliyoko available. Hao vijana wala wasijifiche,,,, sheria inayokataza mbwa wasivalishwe nguo ni ya kifungu gani? Hiyo t-shirt ni nguo kama nyingine na upatikanaji wake ni rahisi maana zinagawiwa bure!!! Labda hawa watu walikuwa on the way kwenda kumnunulia mbwa wao nguo, walivyokutana na mgao huo wakawa wameserve hela yao.....

      Police wanawatafuta kwa kuvunja sheria gani??....

    6. #45
      Konakali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 1,275
      Rep Power : 755
      Likes Received
      120
      Likes Given
      91

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Quote By Kiranga View Post
      Where is freedom of expression? Kama mtu anasema "mimi na nyumba yangu wote CCM, hata mbwa wetu CCM" ashindwe kuji express?
      Quote By carmel View Post
      sasa kosa lao ni lipi? kama mbwa wao alikuwa anasikia baridi wakaamua kumsitiri tatizo ni nini? hao police hawana kazi za kufanya hadi waishie kufatilia kesi za kihivyo?
      Quote By Emanuel Makofia View Post
      fundisho tosha!
      Nami sioni kama kuna sababu ya kuhangaika....!
      "The person's true character is what s/he do when s/he think nobody is looking".


    7. #46
      Mkaa Mweupe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2007
      Posts : 581
      Rep Power : 728
      Likes Received
      65
      Likes Given
      4

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      sisi sote twaipenda CCM hata mbwa wetu kadhihirisha hilo!
      The best way to get out of dificulty is through it

    8. #47
      SUWI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2010
      Posts : 491
      Rep Power : 541
      Likes Received
      21
      Likes Given
      65

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Tena naomba wanaotetea haki za wanyama wawashtaki hao waliokuwa wanamfukuza mbwa huyo maana hana kosa na anavyoonekana amepigwa.....

    9. #48
      Quinine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2010
      Posts : 3,704
      Rep Power : 1205
      Likes Received
      383
      Likes Given
      116

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha





      Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini imewarudi, mwisho wameibuka na ugaidi wamechanganyikiwa.

    10. #49
      samvande2002's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2009
      Location : pretoria, R.S.A
      Posts : 286
      Rep Power : 581
      Likes Received
      9
      Likes Given
      89

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      watu wengi wameshachoshwa na cheap politics, kuwapa t-shirts, chumvi, sabuni,viberiti..wont help
      "siongei na mbwa, naongea na mwenye mbwa"--Juma Nkamia (MB)

    11. #50
      Mikomangwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Posts : 98
      Rep Power : 462
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      T-SHIRT ZA BURE! Mtu si anahaki yakuitumia zawadi aliyopewa vyovyote apendavyo? Mnamtafuta kwa kosa gani kama kwa hiari yake ameamua kugawa zawadi yake kwa kiumbe akipendacho?

    12. #51
      Da Womanizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2010
      Location : Millionaires' Lounge
      Posts : 1,506
      Rep Power : 762
      Likes Received
      102
      Likes Given
      1284

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Quote By Kiranga View Post
      Where is freedom of expression? Kama mtu anasema "mimi na nyumba yangu wote CCM, hata mbwa wetu CCM" ashindwe kuji express?
      This is how I looked at this issue Kiranga........yaani hapa tunaswing kwenye frequency moja.
      Kama unadhani aibu ni gharama jaribu fedheha

    13. #52
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,104
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      485
      Likes Given
      72

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Kwani walito masharti ya kuzitumia hizo zawadi??
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    14. #53
      dotto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 1,475
      Rep Power : 738
      Likes Received
      169
      Likes Given
      30

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Wale wanadekia hizo fulana nao wawafanyeje!! Fulana ina matumizi zaidi ya moja!!

    15. #54
      Endeleaaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 562
      Rep Power : 710
      Likes Received
      125
      Likes Given
      43

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Wengine wanazitumia kudekia nyumba na kufutia miguu waingiapo na kutoka ******, wengine wanazivaa kama nguo za kutokea wengine wanabebea Magunia, wengine wamezigeuza unifom za gereji. Kwa mtaji huu watakama wengi mbona? Hivi nini maana ya kumpa mtu hilo vazi? Hiyo T-shirt ishakuwa mali yake ana haki ya kuifanyia chochote jamani. Hiyo T-Shirt haina popote ilipoandikwa "vigezo na masharti kuzingatiwa" Ukishapokea hiyo T-shirt una haki ya kuifanyia chochote upendacho.
      1. HARNESS THE POWER OF CHANGE, 2. FACE REALITY!, 3. MANAGING LESS IS MANAGING BETTER
      4. CREATE A VISION AND THEN GET OUT OF THE WAY

    16. #55
      makoye2009's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Posts : 1,456
      Rep Power : 808
      Likes Received
      396
      Likes Given
      298

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Hawa CCM vipi tena???

      Cha ajabu hapa ni nini??T-shirt yenye picha ya Kikwete ina umuhimu gani kwa Mtanzania?? Kama yule mbwa anelikuwa amevishwa BENDERA ya Taifa hata mimi ningelaani kitendo hicho. Lakini kulalamikia T-shirt yenye picha ya Kikwete naona ni uzuzu wa CCM.
      T-shirt ya Kikwete ina thamani gani kwa Mtanzania anayeshindia mlo mmoja kwa siku na hajui kesho atakula nini????Hii ni kuonyesha kuwa watu wameshachoswa na longolongo za CCM. Huo ni uhuru wa kutoa mawazo yao kwa njia kama hiyo. Mimi nawapa Big-up.

    17. #56
      Madago's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th February 2009
      Posts : 115
      Rep Power : 551
      Likes Received
      6
      Likes Given
      10

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Hata mimi ningependa kujua watatumia sheria gani kuwashtaki hao vijana. Na hata kama hiyo sheria ipo kosa ni mbwa kuvalishwa t-shirt, au hiyo tshirt kuwa na picha ya jk? tafsiri nyingine ni kwamba vijana kikwete angewaona angewapa zawadi kwa kuwa wabunifu kama mdau alivyosema hapo juu, maana mbwa atapita na kufika sehemu nyingi sana ambazo kampeni haziwzi fika,,,si unajua tena nyumba za watu barabara hakuna! ...ughaibuni huko kuna maduka maalumu ya viwalo vya madogidogi alafu!

    18. #57
      Saharavoice's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 30th August 2007
      Posts : 2,204
      Rep Power : 1043
      Likes Received
      411
      Likes Given
      496

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Watafutiwe wanasheria, hakuna haja ya kujificha.
      Huyo Dogo wa Shule ana akili sana, Huenda darasani anakalia matofali, sasa unampa Tshirt itamsaidia nini katika elimu yake.
      A conclusion is the place where you got tired of thinking



    19. #58
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,892
      Rep Power : 12961
      Likes Received
      4572
      Likes Given
      7577

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Ni sheria ipi imevunjwa hapo?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    20. #59
      Munghiki's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 153
      Rep Power : 471
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      hata mimi nakubaliana na kiranga its freedom of expression!dog and the dog owner are pure chi chi m te te te te teh

    21. #60
      Opinionated's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd October 2010
      Posts : 20
      Rep Power : 443
      Likes Received
      8
      Likes Given
      1

      Default Re: Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha

      Kwani shida iko wapi kumvika mbwa gauni au nguo ya aina yoyote? Check hizi picha za mbwa na tishet ya Obama. Kama obama anvaliwa na mbwa who is Kikwete?

      Click image for larger version. 

Name:	080708-obamadog-vmed-9a.grid-4x2.jpg 
Views:	11 
Size:	20.2 KB 
ID:	15793Click image for larger version. 

Name:	dog.jpg 
Views:	13 
Size:	56.4 KB 
ID:	15794

      Problem ni kwamba hawa polisi wetu hawajui sheria na ndio wanapenda kunyanyasa wananchi. Mfano ya polisi kupiga watu walio kwisha kukubali arrest. That is wrong and things need to change! POLISI ACHENI KUNYANYASA WATANZANIA KWA UJINGA WENU. We are free people as long atuvunji sheria.

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    Similar Topics

    1. Ni haki mbwa kuvalishwa tisheti ya Kikwete?
      By RMA in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 18
      Last Post: 28th October 2010, 11:15
    2. Mbwa aliyevishwa Tshet ya Kikwete jana katika picha
      By Mnyalu wa Kweli in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 27th October 2010, 20:16
    3. Vituko: Tisheti za Kikwete avishwa mbwa
      By RMA in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 3
      Last Post: 27th October 2010, 20:12
    4. Songea wamvisha mbwa fulana ya picha ya JK!
      By BONGOLALA in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 8
      Last Post: 27th October 2010, 09:41
    5. Replies: 2
      Last Post: 3rd August 2009, 06:36

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...