Wanauliza miaka yote 50 walikua wapi kuzitoa hizo ahadi?
Wanauliza miaka yote 50 walikua wapi kuzitoa hizo ahadi?
Kweli Bongo Lala
The best way to get out of dificulty is through it
Safi sana, mwaka huu hatudanganyiki kwa chochote!!!!
Nawashauri watani zango wa Bombi, Nyumbi hii, Wasiishie hapo. watunze kadi zao wakapige kura. Ndiyo ukombozi wao. Msiklizeni Dr. Slaa live CLOUDS FM.
Dk anakuja huko songea wabwanji!
Hawa jamaa wa songea siwaamini hata kidogo, ni usanii tu!
The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders
Picha tafadhari!
hii ilitakiwa ifanyike kwa kila jimbo kukomesha huu upuuzi wa fulana. eti ndio kivutio cha kuchagua mtu!!. Fulana ni dalili za rushwa.
Mmenikumbusha yule Mbwa Immigration (RIP) wa Sumbawanga,Mbwa aliyevishwa T-shirt Tarime (RIP) Sijui kama huyu wa Songea bado yupo hai...
Follow Us Here