TiGo Internet
    Show/Hide This

    Topic: Utafiti wa TCIB: Dk. Slaa aongoza

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 30 of 123
    1. #1
      AK-47's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 12th November 2009
      Location : Abbottabad
      Posts : 1,290
      Rep Power : 690
      Likes Received
      135
      Likes Given
      79

      Default Utafiti wa TCIB: Dk. Slaa aongoza

      Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Citizen's Information Bureau (TCIB) na kutolewa leo umeonyesha Dk Slaa anaongoza kwa asilimia 45, JK asilimia 41,Prof. Lipumba asilimia 10, Hashim Rungwe 2, Peter Mziray 1 na Mutamwega 1.


      Utafiti huu umefanyika kwenye mikoa 15 iliyochaguliwa kwa njia ya kinasibu (random sampling ) na kwenye jimbo moja katika kila mkoa wananchi kati ya 60 na 100 walihojiwa. Utafiti umefanywa ndani ya mwezi huu na kutolewa leo Jijini Dar es Salaam.

      An Eye for an Eye Makes the whole World Blind


    2. #2
      Kithuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2006
      Posts : 1,399
      Rep Power : 867
      Likes Received
      13
      Likes Given
      8

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Tuwekee copy hapa tuusome plz
      "Those who cannot remember the past are condemned to repeat it." George Santayana(1863-1952), U.S Philosopher and Poet. Life of Reason, 'Reason in Common Sense', Scribners, 1905, page 284

    3. #3
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,201
      Rep Power : 1056
      Likes Received
      300
      Likes Given
      533

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Dr Slaa anastahili apate 60-70% Jk 10% etc labda sampling ilikuwa ndogo

    4. #4
      AK-47's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 12th November 2009
      Location : Abbottabad
      Posts : 1,290
      Rep Power : 690
      Likes Received
      135
      Likes Given
      79

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Nina hard copy tu nimeipata kwa mtu sina soft copy
      An Eye for an Eye Makes the whole World Blind

    5. #5
      Jafar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2006
      Location : Msoga, Chalinze
      Posts : 1,249
      Rep Power : 843
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Source please !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
      " ... wao wana pesa, sisi tuna Mungu ... " (Godbless Lema, MB)

    6. #6
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,039
      Rep Power : 1067
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      akija mwingine kufanya utafiti atasema dr.slaa 65% kikwete 20%.........nk........iko wazi na kila mtz hamtaki kikwete isipokuwa mafisadi,na familia yake kwani hata marafiki zake wamemtosa sasa.......DR.SLAA 4CHANGE!
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu

    7. #7
      Bigirita's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Under a mango tree
      Posts : 8,640
      Rep Power : 2345
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      2017

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Quote By AK-47 View Post
      Nina hard copy tu nimeipata kwa mtu sina soft copy
      scan basi, au una hard copy ya scaner tu pia (joking)
      I'm not being rude. You're just insignificant.

    8. #8
      Jafar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2006
      Location : Msoga, Chalinze
      Posts : 1,249
      Rep Power : 843
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Quote By AK-47 View Post
      Nina hard copy tu nimeipata kwa mtu sina soft copy
      Scan and paste into web
      " ... wao wana pesa, sisi tuna Mungu ... " (Godbless Lema, MB)

    9. #9
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,039
      Rep Power : 1067
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Lkn wametangaza lini na wapi?
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu

    10. #10
      Tonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 697
      Rep Power : 546
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Tupe copy kaka, hio ni kitu muhimu sana.

    11. #11
      PayGod's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Posts : 1,111
      Rep Power : 743
      Likes Received
      35
      Likes Given
      22

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      wametangaza wapi,
      THE MINUTE PEOPLE FALL IN LOVE, THEY BECOME LIARS


    12. #12
      payuka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2010
      Location : wahapahapa
      Posts : 832
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      14

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza


      Click image for larger version. 

Name:	clip_image002.jpg 
Views:	55 
Size:	25.0 KB 
ID:	15350
      Kutoka kushoto ni Mhadhini kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Uchumi Dr.Vicent Leyaro akizungumza na waandishi wa habari katika Hotel ya Courtyard juu ya utafiti wa (TCIB) akiwa na mwakilishi wa Mkurugenzi wa (TCIB) Bw. Steven Msechu.

      Na.Mwandishi wetu.

      Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na kutoa utafiti wa taarifa mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha wananchi maamuzi kwa uelewa la Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) limetoa taarifa ya matokeo ya utafiti wa kura ya maoni kuhusu wagombea urais 2010.

      Akizungumza na waadishi wa habari Mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es salaam idara ya Uchumi Dr. Vicent Leyaro amesma malengo ya TCIB ni kutoa msukumo kwa wananchi kushiriki katika harakati za kulinda na kendeleza misingi ya Demokrasia, Kutoa fursa kwa wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mambo mbalimbali katika maisha na kujenga uwezo wa wananchi kwa njia ya tafiti na elimu katika nyanja za serikali, siasa, Mambo ya Kimataifa, ulinzi, elimu na maadili.

      Aidha Dr. Vicent Leyaro amesema washiriki katika kura hii ya maoni ni 3047 wenye wasifu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na watoto chini ya darasa la saba, elimu ya sekondari na elimu iliyo juu ya sekondari ambapo katika utafiti huo silimia kubwa ya vijana wamonekana kuunga mkono mgombea urais wa CHADEMA Wllbrod Slaa na asilimia kubwa ya wazee wameonyesha kumuunga mkono mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete.

      Amesema Dr. Willbod Slaa ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa ya Kilimanjaro 71%, Arusha 60.4%, Manyara79.8%, Iringa58.2% na Dar es salaam 42% ambapo Jakaya Kikwete ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa Dodoma 59.3%, Morogoro 56%, Mbeya50%, Rukwa54.3% na Ruvuma 55%.

      Akihitimisha wakati akijibu maswali kwaa waandishi wa habari Dr. Vicent Reyaro amesema utafiti haukuangalia wala kupendelea sehemu ambazo mtu anapendwa sana kuliko sehemu nyingine na uchambuzi wa matokea kimkoa yanaonyesha kuwa wagombea wawili Jakaya Kikwete na Dr. Willbrod Slaa wanachuana vikali baadhi ya mikoa na mikoa mingine kufanya vibaya.

      Hata hivyo utafiti huu wa kura ya maoni kuhusu wagombea urais hauukufanyika kwa upande wa Zanzibar japokuwa wananchi wa Zanzibar wanashiriki katika kupiga kura ya kuchagua rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
      "The significant problems we face cannot be solved at the same level of thinking we were at when we created them." Albert Einstein

    13. #13
      drphone's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2009
      Posts : 3,464
      Rep Power : 1130
      Likes Received
      79
      Likes Given
      4

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      wamekosea jk ana ubavu wa kumkaribia dr slaa kwa karibu ivyo
      THE BEST IS YET TO COME.

      THE GREATEST EXPERIENCE IS TO MEET YOURSELF AND FALL IN LOVE WITH YOURSELF.

    14. #14
      Ndjabu Da Dude's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 29th August 2008
      Posts : 1,537
      Rep Power : 0
      Likes Received
      220
      Likes Given
      98

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza



      Kutoka kushoto ni Mhadhini kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Uchumi Dr.Vicent Leyaro akizungumza na waandishi wa habari katika Hotel ya Courtyard juu ya utafiti wa (TCIB) akiwa na mwakilishi wa Mkurugenzi wa (TCIB) Bw. Steven Msechu.


      Na Mwandishi wetu

      Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na kutoa utafiti wa taarifa mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha wananchi maamuzi kwa uelewa la Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) limetoa taarifa ya matokeo ya utafiti wa kura ya maoni kuhusu wagombea urais 2010.

      Akizungumza na waadishi wa habari Mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es salaam idara ya Uchumi Dr. Vicent Leyaro amesma malengo ya TCIB ni kutoa msukumo kwa wananchi kushiriki katika harakati za kulinda na kendeleza misingi ya Demokrasia, Kutoa fursa kwa wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mambo mbalimbali katika maisha na kujenga uwezo wa wananchi kwa njia ya tafiti na elimu katika nyanja za serikali, siasa, Mambo ya Kimataifa, ulinzi, elimu na maadili.

      Aidha Dr. Vicent Leyaro amesema washiriki katika kura hii ya maoni ni 3047 wenye wasifu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na watoto chini ya darasa la saba, elimu ya sekondari na elimu iliyo juu ya sekondari ambapo katika utafiti huo silimia kubwa ya vijana wamonekana kuunga mkono mgombea urais wa CHADEMA Wllbrod Slaa na asilimia kubwa ya wazee wameonyesha kumuunga mkono mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete.

      Amesema Dr. Willbod Slaa ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa ya Kilimanjaro 71%, Arusha 60.4%, Manyara79.8%, Iringa58.2% na Dar es salaam 42% ambapo Jakaya Kikwete ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa Dodoma 59.3%, Morogoro 56%, Mbeya50%, Rukwa 54.3% na Ruvuma 55%.

      Akihitimisha wakati akijibu maswali kwaa waandishi wa habari Dr. Vicent Reyaro amesema utafiti haukuangalia wala kupendelea sehemu ambazo mtu anapendwa sana kuliko sehemu nyingine na uchambuzi wa matokea kimkoa yanaonyesha kuwa wagombea wawili Jakaya Kikwete na Dr. Willbrod Slaa wanachuana vikali baadhi ya mikoa na mikoa mingine kufanya vibaya.

      Hata hivyo utafiti huu wa kura ya maoni kuhusu wagombea urais hauukufanyika kwa upande wa Zanzibar japokuwa wananchi wa Zanzibar wanashiriki katika kupiga kura ya kuchagua rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

      Chanzo:
      Changamoto

    15. #15
      Msanii's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,081
      Rep Power : 1849
      Likes Received
      93
      Likes Given
      18

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Nakwambia hawa ccm watahairisha uchaguzi
      take my word
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      msanii@jamiiforums.com

    16. #16
      minda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2009
      Location : uswazi
      Posts : 883
      Rep Power : 614
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      wangetoa matokeo ya jumla nchi nzima au walau kwa mikoa waliofanyia utafiti ili kutoa taswira kama walivyofanya wenzao wa:

      • redet
      • synovate
      • mwanahalisi
      • jamiiforums
      • dailynews
      unaipenda tanzania? sema ukweli!

    17. #17
      Kithuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2006
      Posts : 1,399
      Rep Power : 867
      Likes Received
      13
      Likes Given
      8

      Default Re: Utafiti: Dk. Slaa aongoza

      Huu utafiti nao ni dhaifu sawa tu na ule wa Benson Bana. Watoto chini ya darasa la saba wanapiga kura? Na bado hajatuambia hao wa shule ya msingi ni wangapi, tusishangae kusikia ni 50% of the sample! Kumbe Benson Bana hayuko peke yake!
      "Those who cannot remember the past are condemned to repeat it." George Santayana(1863-1952), U.S Philosopher and Poet. Life of Reason, 'Reason in Common Sense', Scribners, 1905, page 284

    18. #18
      Luteni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 2,269
      Rep Power : 890
      Likes Received
      224
      Likes Given
      73

      Default Re: Utafiti: Dk. Slaa aongoza

      Quote By AK-47 View Post
      Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Citizen's Information Bureau (TCIB) na kutolewa leo umeonyesha Dk Slaa anaongoza kwa asilimia 45, JK asilimia 41,Prof. Lipumba asilimia 10, Hashim Rungwe 2, Peter Mziray 1 na Mutamwega 1.


      Utafiti huu umefanyika kwenye mikoa 15 iliyochaguliwa kwa njia ya kinasibu (random sampling ) na kwenye jimbo moja katika kila mkoa wananchi kati ya 60 na 100 walihojiwa. Utafiti umefanywa ndani ya mwezi huu na kutolewa leo Jijini Dar es Salaam.
      Thanks
      Luteni is a True Revolutionist.

    19. #19
      Genecius Kaiza's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Here
      Posts : 5,304
      Rep Power : 1494
      Likes Received
      349
      Likes Given
      362

      Default Re: Utafiti: Dk. Slaa aongoza

      Hapo sawa!
      "Strategy Without Tactics Is The Slowest Route To Victory. Tactics Without Strategy Is The Noise Before Defeat", Sun Tzu



    20. #20
      Ibrah's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,644
      Rep Power : 1098
      Likes Received
      328
      Likes Given
      29

      Default Re: Utafiti: Dk. Slaa aongoza

      Nadhani taasisi hii utafiti wake unaweza ku-reflect kaukweli fulani kuliko wale Sinto-vote na Redirty ambao inaonyesha kabisa kuwa kuna biaseness na kuingiliwa kiana fulani na Serikali. Hata tofauti baina ya wagombea watatu Dk Slaa, Kikwete, na Prof Lipumba si mkubwa sana na hiyo ni hali halisi hata katika mahudhurio ya watu kwenye kampeni za Dk Slaa na Kikwete.

      Utafiti huu nauamini zaidi. Viva TICB!
      " What we believe, inevitably affects how we live," Howard Marshall

    21. #21
      Ng'azagala's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th June 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 889
      Rep Power : 684
      Likes Received
      38
      Likes Given
      140

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Quote By Coach Parcells View Post


      Kutoka kushoto ni Mhadhini kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Uchumi Dr.Vicent Leyaro akizungumza na waandishi wa habari katika Hotel ya Courtyard juu ya utafiti wa (TCIB) akiwa na mwakilishi wa Mkurugenzi wa (TCIB) Bw. Steven Msechu.


      Na Mwandishi wetu

      Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na kutoa utafiti wa taarifa mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha wananchi maamuzi kwa uelewa la Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) limetoa taarifa ya matokeo ya utafiti wa kura ya maoni kuhusu wagombea urais 2010.

      Akizungumza na waadishi wa habari Mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es salaam idara ya Uchumi Dr. Vicent Leyaro amesma malengo ya TCIB ni kutoa msukumo kwa wananchi kushiriki katika harakati za kulinda na kendeleza misingi ya Demokrasia, Kutoa fursa kwa wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mambo mbalimbali katika maisha na kujenga uwezo wa wananchi kwa njia ya tafiti na elimu katika nyanja za serikali, siasa, Mambo ya Kimataifa, ulinzi, elimu na maadili.

      Aidha Dr. Vicent Leyaro amesema washiriki katika kura hii ya maoni ni 3047 wenye wasifu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na watoto chini ya darasa la saba, elimu ya sekondari na elimu iliyo juu ya sekondari ambapo katika utafiti huo silimia kubwa ya vijana wamonekana kuunga mkono mgombea urais wa CHADEMA Wllbrod Slaa na asilimia kubwa ya wazee wameonyesha kumuunga mkono mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete.

      Amesema Dr. Willbod Slaa ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa ya Kilimanjaro 71%, Arusha 60.4%, Manyara79.8%, Iringa58.2% na Dar es salaam 42% ambapo Jakaya Kikwete ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa Dodoma 59.3%, Morogoro 56%, Mbeya50%, Rukwa 54.3% na Ruvuma 55%.

      Akihitimisha wakati akijibu maswali kwaa waandishi wa habari Dr. Vicent Reyaro amesema utafiti haukuangalia wala kupendelea sehemu ambazo mtu anapendwa sana kuliko sehemu nyingine na uchambuzi wa matokea kimkoa yanaonyesha kuwa wagombea wawili Jakaya Kikwete na Dr. Willbrod Slaa wanachuana vikali baadhi ya mikoa na mikoa mingine kufanya vibaya.

      Hata hivyo utafiti huu wa kura ya maoni kuhusu wagombea urais hauukufanyika kwa upande wa Zanzibar japokuwa wananchi wa Zanzibar wanashiriki katika kupiga kura ya kuchagua rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

      Chanzo:
      Changamoto
      hapo kwenye red kuna tatizo. ni vyema utafiti ufanywe kwa wale watakaopiga kura na si kuchanganya na watoto wa shule za msingi

      na inaonekana hiyo sio random sampling

    22. #22
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 4,002
      Rep Power : 1188
      Likes Received
      164
      Likes Given
      59

      Default Re: Utafiti: Dk. Slaa aongoza

      Safi sana kwa kufanya utafiti,tunahitaji tafiti nyingi sana kabla uchaguzi,ili tujue ukweli uko wapi!

    23. #23
      Ntemi Kazwile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Location : Bongo salidalam
      Posts : 1,721
      Rep Power : 750
      Likes Received
      105
      Likes Given
      281

      Default Re: Utafiti: Dk. Slaa aongoza

      Now you are talking!!! Katika tafiti zote zilizofanyika huu ndio haujachakachuliwa, kama Slaa au JK atashinda basi itakuwa ni kwa asilimia ndogo (45%-49%) siyo zaidi ya hapo. Nasema hivyo kwa sababu kuna wakulima huko usukumani hawasikii wala kuambiwa kuhusu JK, wananiboa mpaka siku hizi niamua kuwaignore
      Faith makes all things possible, hope makes all things work and love makes all things beautiful

    24. #24
      So Perfect's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 26
      Rep Power : 389
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Utafiti: Dk. Slaa aongoza

      Quote By Luteni View Post
      Thanks
      Mfa maji hakosi kutapatapa! Masikini CHADEMA! wanatia huruma kweli!!

    25. #25
      Reyes's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Posts : 188
      Rep Power : 427
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Utafiti: Dk. Slaa aongoza

      Note, idadi yote ya wapigakura wa Zanzibar, Lindi, Pwani na Mtwara ukijumlisha ni karibu sawa na wapigakura waliopo DSM, hii ina maana kwamba hata kama JK ataongoza katika mikoa hiyo lakini Dr wa Ukweli anapiga bao kwenye mikoa yenye watu wengi kama Shinyanga, Mwanza, Manyara/Arusha, Mara, Knjaro, kigoma, Iringa, Mbeya ambako JK kaongoza kwa Margin Ndogo nadhani walikwenda Rungwe lakini kama wangeenda Mbalali, mbey Mjini/Vijijini, Chunya, Tunduma au Kyela wangeula wa Chuya

      Hata Jana kwenye Nyelele Day pale Karimjee kama ungeenda ungekutana na makatibu wa UVCCM DSM badala ya Wanavyuo, kama ni kuchacha sasa CCM inanuka imeanza kuoza kabsaaaaaa
      DR Slaa for Change

    26. #26
      Njowepo's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 5,693
      Rep Power : 21659
      Likes Received
      490
      Likes Given
      193

      Default Re: Utafiti: Dk. Slaa aongoza

      Matokeo wameyatoa leo?
      Kwa vyombo vya habari uu ndo tungoje usiku kwa news manake iyo nayo yaitaji publcity.Angalau samle ni ya zaidi ya watu 3000
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    27. #27
      akashube's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2009
      Location : Toronto
      Posts : 393
      Rep Power : 504
      Likes Received
      5
      Likes Given
      10

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Quote By Ng'azagala View Post
      hapo kwenye red kuna tatizo. ni vyema utafiti ufanywe kwa wale watakaopiga kura na si kuchanganya na watoto wa shule za msingi

      na inaonekana hiyo sio random sampling
      Yaap hasa ukizingatia kuwa wasiopiga kura mwaka huu ndio wanaomuunga mkono JK.
      We might be from different wombs but our source is the same and our future is not.


    28. Awo is online now
      Awo
      #28
      Awo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2010
      Posts : 289
      Rep Power : 468
      Likes Received
      78
      Likes Given
      5

      Default Re: Utafiti Dk. Slaa aongoza

      Quote By Ng'azagala View Post
      hapo kwenye red kuna tatizo. ni vyema utafiti ufanywe kwa wale watakaopiga kura na si kuchanganya na watoto wa shule za msingi

      na inaonekana hiyo sio random sampling
      Haya kama maneno ya waandishi wa habari - si mnawajua tena. Yani daktari mzima wa falsafa akamhoji mtoto wa chini ya darasa la saba?

    29. #29
      Malunde-Malundi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2008
      Posts : 1,070
      Rep Power : 742
      Likes Received
      71
      Likes Given
      0

      Default TCIB-Dr Slaa kushinda kwa kishindo

      Ni dhahiri utafiti uliokuwa haufungamani na upande wowote wa chuo kikuaa cha DSM umesema k weli

      some hapa
      fullshangwe.blogspot.com/.../tcib-yasema-dr-jakaya-kikwete-na-dr.html

      Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na kutoa utafiti wa taarifa mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha wananchi maamuzi kwa uelewa la Tanzania Citizens Information Bureau (TCIB) limetoa taarifa ya matokeo ya utafiti wa kura ya maoni kuhusu wagombea urais 2010.






      Akizungumza na waadishi wa habari Mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es salaam idara ya Uchumi DR. Vicent Leyaro amesma malengo ya TCIB ni kutoa msukumo kwa wananchi kushiriki katika harakati za kulinda na kendeleza misingi ya Demokrasia, Kutoa fursa kwa wananchi katika kutoa maoni yao juu ya mambo mbalimbali katika maisha na kujenga uwezo wa wananchi kwa njia ya tafiti na elimu katika nyanja za serikali, siasa, Mambo ya Kimataifa, ulinzi, elimu na maadili.









      Aidha Dr. Vicent Leyaro amesema washiriki katika kura hii ya maoni ni 3047 wenye wasifu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na watoto chini ya darasa la saba, elimu ya sekondari na elimu iliyo juu ya sekondari ambapo katika utafiti huo silimia kubwa ya vijana wamonekana kuunga mkono mgombea urais wa CHADEMA Wllbrod Slaa na asilimia kubwa ya wazee wameonyesha kumuunga mkono mgombea urais wa CCM Jakaya Kikwete.









      Amesema Dr. Willbod Slaa ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa ya Kilimanjaro 71%, Arusha 60.4%, Manyara79.8%, Iringa58.2% na Dar es salaam 42% ambapo Jakaya Kikwete ameongoza kwa asilimia kubwa katika mikoa Dodoma 59.3%, Morogoro 56%, Mbeya50%, Rukwa54.3% na Ruvuma 55%.







      Akihitimisha wakati akijibu maswali kwaa waandishi wa habari Dr. Vicent Reyaro amesema utafiti haukuangalia wala kupendelea sehemu ambazo mtu anapendwa sana kuliko sehemu nyingine na uchambuzi wa matokea kimkoa yanaonyesha kuwa wagombea wawili Jakaya Kikwete na Dr. Willbrod Slaa wanachuana vikali baadhi ya mikoa na mikoa mingine kufanya vibaya.









      Hata hivyo utafiti huu wa kura ya maoni kuhusu wagombea urais hauukufanyika kwa upande wa Zanzibar japokuwa wananchi wa Zanziar wanashiriki katika kupiga kura ya kuchagua rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Changamoto)

      Ngoma inogile

    30. #30
      Msanii's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,081
      Rep Power : 1849
      Likes Received
      93
      Likes Given
      18

      Default Re: TCIB-Dr Slaa kushinda kwa kishindo

      REDET na SYNOVATE walishaamua kutofanya tafiti this tyme ili wasimuangushe jamaa yao. lakini nahisi waliposikia kuwa TCIB wanafanya tafiti. basi jamaa wakakurupuka na kuanza kuembaras umma kwa tafiti yao isiyofanyika na kumbe TCIB wamekuja na majibu ya hali halisi.

      Sasa tuwasubiri akina rwekaza wakiikandia ripoti hii ya TCIB maana yao ilikandwa na wasomi kama wao.

      Jamaa wa TCIB wametumia vigezo murua ktk kutafiti na kuwakilisha.
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      msanii@jamiiforums.com

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Utafiti Synovate: Dk Slaa ang’ara urais
      By Analytical in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 79
      Last Post: 5th August 2011, 10:07
    2. Replies: 84
      Last Post: 3rd November 2010, 23:06
    3. Replies: 0
      Last Post: 2nd November 2010, 18:37
    4. Kura za MwanaHalisi: Slaa AONGOZA
      By MHANJO in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 42
      Last Post: 12th October 2010, 00:16
    5. Dr. Slaa aongoza kwa 73% - CACT
      By coby in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 77
      Last Post: 10th October 2010, 20:32

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...