Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 95
    1. #1
      Ngurudoto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 160
      Rep Power : 603
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Bunda mkoani Mara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amewaomba wapiga kura jimboni humo kutompigia kura mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa kwa madai kuwa hana uzoefu wa uongozi.

      Wasira amesema, kama wakimpigia kura Dk. Slaa ni sawa na kumkabidhi dereva anayejifunza gari, usukani wa basi la abiria.

      Badala yake Wasira ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, (Nec) amewataka wapiga kura hao kumpatia kura nyingi za ushindi mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete kwa kuwa ni dereva makini aliyehitimu mafunzo yote aliyeiendesha nchi kwa usalama katika miaka mitano iliyopita.

      Akihutubia mkutano wa kampeni za CCM juzi kwa nyakati tofauti katika vijiji vya Bukama na
      Nyabehu, Wasira alisema tofauti na Kikwete, Dk. Slaa hajawahi kushika nyadhifa zozote za kiutendaji ambazo zinaweza kutumika kushawishi watanzania wamchague kushika mamlaka makubwa ya kiutendaji.

      “Slaa huyu hajawahi kushika wadhifa wowote ule wa kiutendaji, hata uofisa utendaji wa kijiji ili tumwone anavyoamua mashauri mbalimbali yanayomfikia. Leo tumpe kura za urais?

      Tumechanganyikiwa yaani tumpe ‘learner’ gari la abiria! Akiwaangusha nani alaumiwe? Mnyimeni kura,” alisema Wasira.

      Wasira ambaye pia ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika alisema nafasi ya urais ipo ya juu zaidi katika muundo wa serikali na inahitaji mtu makini.

      Alisema licha ya umakini wa mtu, pia anatakiwa atoke chama makini na awe amepimwa na kuonekana anafaa kwa kazi hiyo na kamwe siyo ya kutolewa kwa kila aiombaye kama majaribio.

      Kuhusu hoja kwamba mgombea huyo wa Chadema ameshika nyadhifa kadhaa ikiwemo ya ubunge wa Karatu, Wasira alisema mbunge hakumaanishi kuwa unafaa kuwa rais kwani ubunge ni uwakilishi na wala siyo utendaji.

      “Ndugu wananchi ubunge siyo utendaji, ni uwakilishi tu. Unazidiwa na utendaji wa kijiji na kata ndio maana hawa wanaamua kesi mbalimbali tofauti na mbunge, na unaweza kukaa bungeni muda wote wewe ni kusinzia tu,” alisema Wasira.

      Akimwelezea Kikwete, Wasira alisema mgombea huyo amejaribiwa kupitia nyadhifa mbalimbali za kiutendaji ndani na nje ya chama ukiwamo uwaziri katika wizara za Maji, Nishati na Madini, Wizara ya Fedha na pia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

      Alisema, katika miaka mitano ya Rais Kikwete madarakani, ameiwezesha nchi kung’ara katika medani za kimataifa huku akihifadhi amani, utulivu na mshikamano ndani ya nchi.

      “Huyu ndiye rais anayefaa. Amejaribiwa kwa nyadhifa mbalimbali na zote alifanya vizuri. Hata tulipomkabidhi nchi mwaka 2005 ameiwezesha kubakia katika hali yake ya amani na utulivu. Tumpe kura zetu,” alisema.

    2. Miaka 50

    3. #61
      RAJ PATEL JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Location : Zanaki St
      Posts : 745
      Rep Power : 590
      Likes Received
      160
      Likes Given
      31

      Default Re: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      Dr Silaha will expel Indians out of this country because of his personal hatred over Asians!
      While Tanzanians of Asian origin have been successful due to hard work, perseverance, and personal sacrifices, majority of you Bantus have been lazy, singing Bongo Flavor, spending your precious time running your big mouths at the beer pubs, and ignorant. CCM knows it very well, and that's why they do not have any beef with us. The opposition and majority of their supporters perceive our success as attributed to corruption and tax evasion! I have a message for you all....CCM will win by a landslide!
      While we will continue to run the show economywise, you will have no choice but to go with the flow.
      Good night!

    4. #62
      Msengapavi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2008
      Posts : 555
      Rep Power : 650
      Likes Received
      50
      Likes Given
      2

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Quote By Ngurudoto
      Tafadhali, habari ya Mwaka Sitini na Moja dunia hii ya leo jamani..Dr. Slaa ni mlipua mabomu, Hana Track Record Tujue atatupeleka Wapi TZ.. MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI...TYSON NI SAHIHI HAPA: CV YA UTENDAJI WA SLAA NI MUHIMU SANA TZ..USHABIKI ASIDE!
      Kwa fikra finyu kama hizi nchi hatkaa ibadilike: Mwalimu Angekuwa na fikra hizi finyu tusingepata uhuru; ni wangapi na akina nani walikuwa na uzoefu wa kuongoza nchi kabla ya kupewa? Uraisi ni suala la uzoefu? Tukiendelea na fikra hizi mgando kweli ukombozi utakuwa ndoto.

    5. #63
      politiki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Posts : 1,369
      Rep Power : 1339
      Likes Received
      717
      Likes Given
      129

      Default Re: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      WASSIRA, naona hata aibu kukuelimisha kuwa uwaziri siyo nafasi ya utendaji, ni political post na mtendaji ktk wizara ni katibu
      mkuu wa wizara. pamoja na hayo yote kushika nafasi ya utendaji tu siyo swala , isipokuwa ulichokifanya(record) ulipokuwa mtendaji
      ni kitu cha msingi. watu wanachompendea SLAA siyo swala la utendaji bali ni record yake nzuri aliyonayo wakati wa nafasi ya ubunge
      kwani watendaji wako wanaogombea lakini hawana lolote kwa sababu ya record zao kuwa mbovu. kwa mfano wewe mwenyewe
      ulishawahi kufanya biashara ya kuuza samaki ikakushinda maana yake ni kwamba utendaji wako ulikuwa mbovu kwani wako watu
      wanaofanya biashara hiyo miaka mingi kwahiyo ni record yako ni mbaya km mfanyabiashara pamoja na kuwa ulishawahi kuwa mfanya
      biashara. kuwa tu mtendaji tu hakutoshi bali record yako ndio issue.

    6. #64
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      Quote By RAJ PATEL JR
      Dr Silaha will expel Indians out of this country because of his personal hatred over Asians!
      While Tanzanians of Asian origin have been successful due to hard work, perseverance, and personal sacrifices, majority of you Bantus have been lazy, singing Bongo Flavor, spending your precious time running your big mouths at the beer pubs, and ignorant. CCM knows it very well, and that's why they do not have any beef with us. The opposition and majority of their supporters perceive our success as attributed to corruption and tax evasion! I have a message for you all....CCM will win by a landslide!
      While we will continue to run the show economywise, you will have no choice but to go with the flow.
      Good night!
      No doubt even bed bugs (kunguni) are hard working...
      Ben Saanane likes this.
      Exploration of reality

    7. #65
      Ngurudoto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 160
      Rep Power : 603
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Quote By Chesty
      Duh jamaa ana bonge la CV. Ila ni mla rushwa mkubwa! Waulize wahingi wa MUKPAR, kampuni ya inputs za kilimo walivyokuwa wanampelekea briefcases za pesa ili afanikishe mambo yao. Hakuna msafi ndani ya CCM.
      CV Nzuri, acha kuchakachua Ukweli..Hiyo Briefcase umeiona wapi, Murongo Mukubwa WEEEE!!! Cement elfu tano kila Mkoa, Transport jee..Murongo kama Paroko Slaa

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      Ngurudoto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 160
      Rep Power : 603
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      Quote By politiki
      wassira, naona hata aibu kukuelimisha kuwa uwaziri siyo nafasi ya utendaji, ni political post na mtendaji ktk wizara ni katibu
      mkuu wa wizara. Pamoja na hayo yote kushika nafasi ya utendaji tu siyo swala , isipokuwa ulichokifanya(record) ulipokuwa mtendaji
      ni kitu cha msingi. watu wanachompendea slaa siyo swala la utendaji bali ni record yake nzuri aliyonayo wakati wa nafasi ya ubunge
      kwani watendaji wako wanaogombea lakini hawana lolote kwa sababu ya record zao kuwa mbovu. Kwa mfano wewe mwenyewe
      ulishawahi kufanya biashara ya kuuza samaki ikakushinda maana yake ni kwamba utendaji wako ulikuwa mbovu kwani wako watu
      wanaofanya biashara hiyo miaka mingi kwahiyo ni record yako ni mbaya km mfanyabiashara pamoja na kuwa ulishawahi kuwa mfanya
      biashara. Kuwa tu mtendaji tu hakutoshi bali record yako ndio issue.
      angegombea ubunge hayo yangetosha...hata ndondi kuna uzito tofauti..sasa kagombea urais, ni kama katoka moja kwa moja light weight kupigana uzito wa heavy weight...swala la ubunge halitoshi, haombi kwenda karatu jimboni, anaomba aende ikulu na ndio sababu anakuwa compared na learner

      ...alikuwa ccm mwaka 1995, akatoswa ndio kaenda chadema..sasa yote heri, urais bwana slaa anapwaya, suala la utendaji ni muhimu kuhoji na ndio point ya wasira..habari ya samaki, hata magufuli walimshinda

    10. #67
      Mtuwamungu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st June 2007
      Posts : 116
      Rep Power : 632
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Quote By Mwafrika


      Wasira anahitaji matibabu ya akili
      Wewe Mwafrica mbona umeweka hii. Mi naogopa jamani mwe. Naona leo hata nitashindwa kulala usingizi!

    11. #68
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,974
      Rep Power : 1643
      Likes Received
      1131
      Likes Given
      410

      Default Re: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      Quote By Ngurudoto
      MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Bunda mkoani Mara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amewaomba wapiga kura jimboni humo kutompigia kura mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa kwa madai kuwa hana uzoefu wa uongozi.

      Wasira amesema, kama wakimpigia kura Dk. Slaa ni sawa na kumkabidhi dereva anayejifunza gari, usukani wa basi la abiria.

      Badala yake Wasira ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, (Nec) amewataka wapiga kura hao kumpatia kura nyingi za ushindi mgombea urais wa CCM, Jakaya Kikwete kwa kuwa ni dereva makini aliyehitimu mafunzo yote aliyeiendesha nchi kwa usalama katika miaka mitano iliyopita.

      Akihutubia mkutano wa kampeni za CCM juzi kwa nyakati tofauti katika vijiji vya Bukama na
      Nyabehu, Wasira alisema tofauti na Kikwete, Dk. Slaa hajawahi kushika nyadhifa zozote za kiutendaji ambazo zinaweza kutumika kushawishi watanzania wamchague kushika mamlaka makubwa ya kiutendaji.

      “Slaa huyu hajawahi kushika wadhifa wowote ule wa kiutendaji, hata uofisa utendaji wa kijiji ili tumwone anavyoamua mashauri mbalimbali yanayomfikia. Leo tumpe kura za urais?

      Tumechanganyikiwa yaani tumpe ‘learner’ gari la abiria! Akiwaangusha nani alaumiwe? Mnyimeni kura,” alisema Wasira.

      Wasira ambaye pia ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika alisema nafasi ya urais ipo ya juu zaidi katika muundo wa serikali na inahitaji mtu makini.

      Alisema licha ya umakini wa mtu, pia anatakiwa atoke chama makini na awe amepimwa na kuonekana anafaa kwa kazi hiyo na kamwe siyo ya kutolewa kwa kila aiombaye kama majaribio.

      Kuhusu hoja kwamba mgombea huyo wa Chadema ameshika nyadhifa kadhaa ikiwemo ya ubunge wa Karatu, Wasira alisema mbunge hakumaanishi kuwa unafaa kuwa rais kwani ubunge ni uwakilishi na wala siyo utendaji.

      “Ndugu wananchi ubunge siyo utendaji, ni uwakilishi tu. Unazidiwa na utendaji wa kijiji na kata ndio maana hawa wanaamua kesi mbalimbali tofauti na mbunge, na unaweza kukaa bungeni muda wote wewe ni kusinzia tu,” alisema Wasira.

      Akimwelezea Kikwete, Wasira alisema mgombea huyo amejaribiwa kupitia nyadhifa mbalimbali za kiutendaji ndani na nje ya chama ukiwamo uwaziri katika wizara za Maji, Nishati na Madini, Wizara ya Fedha na pia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

      Alisema, katika miaka mitano ya Rais Kikwete madarakani, ameiwezesha nchi kung’ara katika medani za kimataifa huku akihifadhi amani, utulivu na mshikamano ndani ya nchi.

      “Huyu ndiye rais anayefaa. Amejaribiwa kwa nyadhifa mbalimbali na zote alifanya vizuri. Hata tulipomkabidhi nchi mwaka 2005 ameiwezesha kubakia katika hali yake ya amani na utulivu. Tumpe kura zetu,” alisema.
      Njaa za kija Chiligati na Membe
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    12. #69
      Advocate Jasha's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 714
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      161
      Likes Given
      327

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Kama JK ni Dereva basi katika mafunzo yake ya udereva alijifunza gia ya kurudi nyuma na si namba 1,2,3,4,5 JK kumpa kura ni kukubali kurudi nyuma MUNGU IBARIKI TANZNIA

    13. #70
      We know next's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 574
      Rep Power : 555
      Likes Received
      151
      Likes Given
      119

      Default Re: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      Historia ya uongozi sio lazima iwe ya urais, marais wote duniani wanakuwa hawana historia ya kuongoza nchi, zaidi ya utendaji wao wa kazi ktk idara na sehemu mbalimbali za jamii. Nadhani Dr. anayohiyo hiyo experience. Tumeiona Bungeni, tumesikia alipo kuwa CARITAS nk.

    14. #71
      Ngurudoto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 160
      Rep Power : 603
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      Quote By We know next
      Historia ya uongozi sio lazima iwe ya urais, marais wote duniani wanakuwa hawana historia ya kuongoza nchi, zaidi ya utendaji wao wa kazi ktk idara na sehemu mbalimbali za jamii. Nadhani Dr. anayohiyo hiyo experience. Tumeiona Bungeni, tumesikia alipo kuwa CARITAS nk.
      Dr. Slaa ni Paroko wa Diyosisi ya Mbulu..Experience zaidi ya uhubiri hakuna..Baba yetu Uliyembinguni, jina lako litukuzwe--tuepeshe na Father huyu Dr. Slaa aliyekimbia Kanisa lako Takatifu na Kutua Bungeni, na ghafla kujaribu kulaghai Watanzania eti ana karma ya kuwa kiongozi wa Watanzania..Kweli nchi ina shida, ila afadhali shida tuzijuazo za Kikwete kuliko Shida ya Kutokujua kama Slaa atakuwa kama Obama au Iddi Amin..Ukweli Baba, hatumjui, Slaa na anatetewa kuwa ana sifa, baba tuepushe na Wingu hili..Tunaamini unatupenda na Utasimamia Uchaguzi wetu tupate Kiongozi Bora atakayedumisha Amani na Mshikamano!!!! Mungu Ibariki Afrika, Mungu Tuepeshe Balaa la Slaa. Amen

    15. #72
      Kionambele's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2010
      Location : Geneva
      Posts : 106
      Rep Power : 496
      Likes Received
      8
      Likes Given
      8

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Quote By Ngurudoto
      CV Nzuri, acha kuchakachua Ukweli..Hiyo Briefcase umeiona wapi, Murongo Mukubwa WEEEE!!! Cement elfu tano kila Mkoa, Transport jee..Murongo kama Paroko Slaa
      Hapa naona udini umekushika, haya twende kwenye udini basi:

      Kumbe wapagani mnawaona bora sana kuliko wakristo. Maana unapomuita Dr Slaa paroko, JK tumuite vipi maana hata mahakama ya kadhi kaipiga chini kwa kuwadharau waislamu. Nyie ndo mnaosema CUF ya waislamu wa pemba, CHADEMA ya wakristo wa Moshi na CCM ya wachawi wa bagamoyo na sumbawanga.

      Haya twende kwa dini tuone nani atashinda 2010.

      Kwa mujibu wako umetoa kura kwa wachawi. Ndio maana taifa letu haliwezi kuendelea kamwe maana limejaa ushirikina na unafiki.

      Twende kwa dini, wakristo waipigie CHADEMA, na waislamu waipigie CUF kisha CCM ipigiwe kura na wapagani kama wewe.

      Amka wewe udini haulipi. ebu ona kauli yako maana yake 'paroko Slaa, Sheikh lipumba,Mchawi Kikwete. Kumbe ndio maana anaitwa dokta, mambo ya kina maji marefu.
      Where are you going to spend your eternity?

    16. #73
      Kionambele's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2010
      Location : Geneva
      Posts : 106
      Rep Power : 496
      Likes Received
      8
      Likes Given
      8

      Default Re: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      Quote By Ngurudoto
      angegombea ubunge hayo yangetosha...hata ndondi kuna uzito tofauti..sasa kagombea urais, ni kama katoka moja kwa moja light weight kupigana uzito wa heavy weight...swala la ubunge halitoshi, haombi kwenda karatu jimboni, anaomba aende ikulu na ndio sababu anakuwa compared na learner

      ...alikuwa ccm mwaka 1995, akatoswa ndio kaenda chadema..sasa yote heri, urais bwana slaa anapwaya, suala la utendaji ni muhimu kuhoji na ndio point ya wasira..habari ya samaki, hata magufuli walimshinda
      tumekuwa na mgonjwa wa akili huyo kikwete wenu kama rais kwa miaka mitano. nchi imeongozwa na watu wa chini yake na yeye ameendesha zaidi zinaa na anasa.

      Sasa tumechoka, tunataka Rais wa nchi yetu ambaye ni Dk Slaa. Hatutaki watu wazembe, waongo, wasiotulia, wababaishaji kama Kikwete.
      Where are you going to spend your eternity?

    17. #74
      Ngurudoto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 160
      Rep Power : 603
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Dr. Slaa hawezi kumjibu wassira..jembe, dr. Slaa anajua..mhe. Wassira muadilifu ndio maana slaa hana jibu..nywea learner dr. Slaa..akiguswa hujibu, kwa wassira chadema kimya..ufisadi hauapply, shida tupu

    18. #75
      Ngurudoto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 160
      Rep Power : 603
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Wassira: Dk. Slaa ni kama Dereva Learner Kujaribu Ku-Drive Basi la Abiria!

      Quote By kionambele
      tumekuwa na mgonjwa wa akili huyo kikwete wenu kama rais kwa miaka mitano. Nchi imeongozwa na watu wa chini yake na yeye ameendesha zaidi zinaa na anasa.

      Sasa tumechoka, tunataka rais wa nchi yetu ambaye ni dk slaa. Hatutaki watu wazembe, waongo, wasiotulia, wababaishaji kama kikwete.
      kasirika..kura za mhe. Slaa hazitoshi 2010, na bila platform ya ubunge..slaa is finnished like mrema..mark my words

    19. #76
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,317
      Rep Power : 1998
      Likes Received
      2114
      Likes Given
      7790

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Quote By mtuwamungu
      watu wengine bwana, wanabwabwaja tu! Hili jamaa nikiliangalia sura natamani kukimbia. Jitu kubwa hovyoooo!

      sokwemtu
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    20. #77
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,317
      Rep Power : 1998
      Likes Received
      2114
      Likes Given
      7790

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Quote By Kionambele
      Hapa naona udini umekushika, haya twende kwenye udini basi:

      Kumbe wapagani mnawaona bora sana kuliko wakristo. Maana unapomuita Dr Slaa paroko, JK tumuite vipi maana hata mahakama ya kadhi kaipiga chini kwa kuwadharau waislamu. Nyie ndo mnaosema CUF ya waislamu wa pemba, CHADEMA ya wakristo wa Moshi na CCM ya wachawi wa bagamoyo na sumbawanga.

      Haya twende kwa dini tuone nani atashinda 2010.

      Kwa mujibu wako umetoa kura kwa wachawi. Ndio maana taifa letu haliwezi kuendelea kamwe maana limejaa ushirikina na unafiki.

      Twende kwa dini, wakristo waipigie CHADEMA, na waislamu waipigie CUF kisha CCM ipigiwe kura na wapagani kama wewe.

      Amka wewe udini haulipi. ebu ona kauli yako maana yake 'paroko Slaa, Sheikh lipumba,Mchawi Kikwete. Kumbe ndio maana anaitwa dokta, mambo ya kina maji marefu.

      MWAMBIE BANA, jina lenyewe ngurudoto mali za waheshimiwa, labda ana cheo huko.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    21. #78
      Mrdash1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,379
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      305
      Likes Given
      201

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Quote By Ngurudoto
      Hisia, Hisia, Hisia Tanzania..Tuna Watu wawili, watatu Kupewa nafasi ya Urais 2010, Kupima ndio Usaili Tutumia Demokrasia..Ukitaka Kusema Nyerere na Kikwete nani Bora Kiuongozi, rekodi ya Nyerere iko viwango (sio mjadala)..

      Mfumo wetu TZ umetupa Jakaya Kikwete, Dr. Wilbroad Slaa, Prof. Lipumba...Atapewa Mtu mmoja hapo Urais, ukienda CV wise, Slaa Haitwi kwenye Usaili sababu BACKGROUND "NOT FOUND", sio kashfa, Hatujui tu..Prof. Lipumba kaomba Hii kazi ya Urais mara nne, ila ataitwa kwenye Usaili aliwahi kuwa Mshauri wa Rais wa Uchumi. nae atashindwa.

      Uzoefu sio swala la Watanzania tu, Dunia Nzima huuliza Experience!! The End of the day: Busara itashinda Hisia

      CV ina vipengele viwili muhimu yaani Elimu (Education qualification) na uzoefu (Experience). Kielimu Dr Slaa (PHD), Kikwete (Degree ya kwanza + ?Honorary degree). Experience inayotakiwa ni ya kisiasa siyo ya kiutendaji. Political experience Dr. Slaa (Mbunge 15 yrs), Kikwete (waziri +Raisi). Utendaji serkalini una husisha wataalamu wa sekta mbalimbali na zingine ni technical, haiwezekani raisi kuwa mjuzi wa utendaji wa sekta zote labda awe Idd Amin. Mimi nilimwona Kikwete alipofungua mtandao wa fibre optic, eti yeye ndiye alikuwa anawaelezea waandishi wa habari na wote waliohudhuria jinsi mitambo hiyo inavyofanya kazi!! ----! Uzoefu (experience) wa wanasiasa ni sera zinazotekelezeka zenye lengo la kukomboa maisha ya watu kutokana na umaskini, ujinga na maradhi. Experience ya mwanasiasa ni jinsi alivyoweza kusimamia sera hizo na matokeo yake. Experience ya wanasiasa haipimwi na jopo la waajiri kwenye interview au na Ngurudoto bali inapimwa na wananchi wenyewe kwenye boksi la kura. Viongozi duniani waliopata nafasi ya kuongoza nchi zao walifanya hivyo siyo kwa experience ya utendaji bali sera walizosimamia: Nelson Mandela (RSA)- Prison to President kwa sera ya kuondoa ubaguzi, Tony Blair (UK) - lawyer to Labour leader to PM kwa sera ya new labour ya maisha bora kwa kila mwingereza, Baraka Obama (USA) senator to President kwa sera ya change we can believe in, Laira Odinga (Kenya) - mbunge to PM kwa sera ya maisha bora kwa wakenya wote, Morgan Tsivingarai (Zimbabwe) - Trade union leader to PM kwa sera ya haki na uchumi bora kwa wazimbabwe. JK Nyerere (Tanganyika) secondary school teacher to first PM and later President - kwa sera ya kuondoa ukoloni. Mifano ni mingi

    22. #79
      Ngurudoto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2008
      Posts : 160
      Rep Power : 603
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Quote By Mrdash1
      CV ina vipengele viwili muhimu yaani Elimu (Education qualification) na uzoefu (Experience). Kielimu Dr Slaa (PHD), Kikwete (Degree ya kwanza + ?Honorary degree). Experience inayotakiwa ni ya kisiasa siyo ya kiutendaji. Political experience Dr. Slaa (Mbunge 15 yrs), Kikwete (waziri +Raisi). Utendaji serkalini una husisha wataalamu wa sekta mbalimbali na zingine ni technical, haiwezekani raisi kuwa mjuzi wa utendaji wa sekta zote labda awe Idd Amin. Mimi nilimwona Kikwete alipofungua mtandao wa fibre optic, eti yeye ndiye alikuwa anawaelezea waandishi wa habari na wote waliohudhuria jinsi mitambo hiyo inavyofanya kazi!! ----! Uzoefu (experience) wa wanasiasa ni sera zinazotekelezeka zenye lengo la kukomboa maisha ya watu kutokana na umaskini, ujinga na maradhi. Experience ya mwanasiasa ni jinsi alivyoweza kusimamia sera hizo na matokeo yake. Experience ya wanasiasa haipimwi na jopo la waajiri kwenye interview au na Ngurudoto bali inapimwa na wananchi wenyewe kwenye boksi la kura. Viongozi duniani waliopata nafasi ya kuongoza nchi zao walifanya hivyo siyo kwa experience ya utendaji bali sera walizosimamia: Nelson Mandela (RSA)- Prison to President kwa sera ya kuondoa ubaguzi, Tony Blair (UK) - lawyer to Labour leader to PM kwa sera ya new labour ya maisha bora kwa kila mwingereza, Baraka Obama (USA) senator to President kwa sera ya change we can believe in, Laira Odinga (Kenya) - mbunge to PM kwa sera ya maisha bora kwa wakenya wote, Morgan Tsivingarai (Zimbabwe) - Trade union leader to PM kwa sera ya haki na uchumi bora kwa wazimbabwe. JK Nyerere (Tanganyika) secondary school teacher to first PM and later President - kwa sera ya kuondoa ukoloni. Mifano ni mingi
      Mbulu ya Diocese, kuna fit na hao Waheshimiwa uliowataja Mkuu..Mandela, Blair, Nyerere, Obama then Dr. Slaa in the same sentence..Nigga Please.

    23. #80
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,924
      Rep Power : 24139
      Likes Received
      4646
      Likes Given
      2631

      Default Re: Wasira AMPONDA Dk. SLAA: Asema ni Kama Dreva Learner Kujaribu KuDrive Basi la Abi

      Quote By Mtuwamungu
      Wewe Mwafrica mbona umeweka hii. Mi naogopa jamani mwe. Naona leo hata nitashindwa kulala usingizi!
      Kha....miye nilidhani ni yale madude ya Sheikh.........

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    Similar Topics

    1. Nchi inayumba kama gari lenye dereva mwanafunzi (learner)
      By Bakari Maligwa in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 12
      Last Post: 13th November 2011, 08:42
    2. Replies: 15
      Last Post: 18th August 2011, 16:41
    3. Replies: 1
      Last Post: 5th July 2011, 10:29
    4. Kama hali ndio hii, basi Dr. Slaa asubiri kuapishwa tu
      By Mtoka Mbali in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 31
      Last Post: 25th September 2010, 21:51
    5. Dereva amlipua risasi mwenzake wakigombea abiria
      By MegaPyne in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 7
      Last Post: 28th November 2007, 07:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...