Sasa naweza kutamka kwa uhakika kuwa Musoma Mjini itakwenda kwa Nyerere wa CHADEMA. Kila nilikopita kati ya watu 10 ni 2 au 3 ndo CCM, waliobaki wote CHADEMA.
Sasa naweza kutamka kwa uhakika kuwa Musoma Mjini itakwenda kwa Nyerere wa CHADEMA. Kila nilikopita kati ya watu 10 ni 2 au 3 ndo CCM, waliobaki wote CHADEMA.
I suppose ana undugu na Rais (former) Nyerere ... Inaonekana hii ni a very open-minded family.
kasoro chizi makongoro tu
Safi, cha muhimu ni kuhimizana kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kuzilinda.....
Wamejiandikisha. CCM walijaribu kununua baadhi ya shahada kama elfu 3 maeneo ya Nyakato, CHADEMA kama kawaida yao wakainasa issue kama ilivyo na kuwaanika jukwaani. Kwa hakika nimetoka Musoma leo jioni CCM wamepoteana kabisa. Nyerere ana sera zinazotekerezeka kwa watu wa chini na ana data mpaka za vikao vya ndani kabisa vya siri wanazopanga CCM. Na kama kawa ya CHADEMA data zote huwa wanazimwaga jukwaani na huwa zina kuwa za kweli kwa kuthibitishwa na watu hao hao wa CCM walioichoka.
Chadema ina changamoto ya kulinda kura, CCM wamejipanga vizuri waweze kushinda kwa njia yoyote!!!!!!! eg Kawe tunashuhudia mchezo mchafu wa kuchakachua majina ya wapiga kura, NEC inahusika. chadema mu wa train vijana waadilifu ili waweze kulinda kura zenu zisiibiwe hasa kwenye majimbo ambayo mna uhakika wa ushindi. like Kawe, Vunjo, musoma, Arusha mjini,etc. lindeni kama vijana wa Tarime au Moshi mjini wanavyofanya.
Kazi kweli kweli kwa CCM. Na hizo shahada wakizinunua, zinawasaidiaje kushinda? Ebu nijuze
HONGERENI SANA WOTE MLIOMPA KURA DR. SLAA (PhD) ILI AIKOMBOE TANZANIA. MAPAMBANO YANAENDELEA
Jana nilikuwa maeneo ya Mkuranga pale mjini napiga dawa ya viatu, kulikuwa na vijana kama kumi wakasema jamaa waliodai ni CCM wamewafuata kununua shahada kwa Tsh 5,000 wale vijana wakasema pamoja na dhiki tulizonazo hata kwa Tsh 30,00o hawauzi shahada zao- bIG up vijana
Follow Us Here