Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      Luteni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 2,269
      Rep Power : 943
      Likes Received
      239
      Likes Given
      73

      Default Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini


      Akina mama wa Itende wakisalimiana na mgombea ubunge Joseph Mbilinyi

      Wananchi wa Nsalaga wakisikiliza kwa makini katika mkutano

      Mgombea wa ubunge Joseph Mbilinyi akizungumza na wananchi



      Wananchi wa Nsalaga wakisikiliza kwa makini sera za CHADEMA jijini Mbeya

      Kulia ni mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mbeya na Wana CHADEMA akibadilishana mawazo katika moja ya mikutano ya kampeni jijini Mbeya

      Mkereketwa wa CHADEMA akiwa amebandika picha ya kampeni katika shati lake kama alivyokutwa maeneo ya Ilemi darajani huku akiwa ameshika kadi ya kupigia kura mkononi



      G SOLO akiimba pamoja na umati mkubwa wa watu katika moja ya mikutano ya kampeni za mgombea ubunge bwana Joseph Mbilinyi

      Akina mama hawa walisimamisha gari ya mgombea ili wampe baraka zao Joseph mbilingi ( SUGU )







      Sugu akifika eneo la mabatini





      Umati wa watu waliofika kumsikiliza sugu





      Mmoja wa Kamanda wa CHADEMA akiongea na wananchi





      Bwana Joseph Mbilinyi akiongea na wananchi wa Mabatini







      Hapa Msafara wa Joseph Mbilinyi ukipita katika jiji la Mbeya mjini
      Hapa akinadiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya


      Wananchi wakipunga mkono kudhiirisha kumkubali Sugu kuwa Mbunge wao
      Makamanda wa CHADEMA wakiweka njia kwa ajili ya Sugu kupita
      Moja ya Gari linatumika kwa PA katika kampeni za Sugu






      Wananchi wa Mwansekwa waki mkaribisha Mheshimiwa JOSEPH MBILINYI

      JOSEPH MBILINYI (Mr II ) aki hutubia wananchi

      Mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya nae alikuwa na jambo la kuzungumza na wananchi

      Hapa Mr Mbwembwe ali kua akitoa buruda ni kwa wakazi wa mwansekwa



      POLICE pia wali kuwepo eneo la mkutano iliku hakikisha usalama unakuwa ni wakutosha
      Luteni is a True Revolutionist.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1675
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Wakuu nimetoka mbeya juzi na bahati nzuri nimehudhulia mkutano wa ccm na mbunge wao mpesya uliofanyika uyole - sokoni inasikitisha saaana yaani ukisikia kampeni za maji taka ndo za ccm mbeya mjini, kwanza ulikuwa hauna msisimko kabisa, majungu na matusi mengi na watu hawakuwepo, yaani noma. Si kawaida kwa uyole kutokuhudhulia kikao cha ccm nilishangaa sana, sugu anawachemsha kishenzi!

    4. #3
      Mdau's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2008
      Posts : 1,117
      Rep Power : 796
      Likes Received
      86
      Likes Given
      72

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      akifika na Dr Slaa, sijui halli itakuwaje huko....

    5. #4
      Junius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 3,117
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      47
      Likes Given
      12

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Napata kama matumaini hivi watanzania wanaamka!
      HAKI SAWA KWA WOTE

      If you don't up set at least one person, you are not doing it right (whatever "it" might be).

      [email protected]

    6. #5
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      68
      Likes Given
      82

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Quote By Junius
      Napata kama matumaini hivi watanzania wanaamka!
      hujakosea mkuu ni kweli wananchi wanaanza kuamka, lakini itakuwa ni njema sana wakiamka kwa vitendo pia
      ........................HAKUNA TIBA YA KIFO............
      HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU

    7. Miaka 50

    8. #6
      pascaldaudi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2009
      Posts : 535
      Rep Power : 625
      Likes Received
      91
      Likes Given
      134

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Quote By Mdau
      akifika na Dr Slaa, sijui halli itakuwaje huko....
      E bwana kweli sisiemu wanakazi nzito, maana sasa hivi wananchi hawahongeki, labda kupigiwa magoti ndo imekuwa mpya watawasikiliza!!!!!!!, Kama wanaagalia hali ya hewa, basi wasome alama za nyakati!
      Unajua kinachowaunganisha wa tanzania kwa sasa ni UMASIKINI!!!!!!!!, sisiemu walitambue hilo!
      "BY FOCUSING ON WHAT DIVIDES US, WE MAY ACT IN ERROR AS WE FAIL TO SEE WHAT UNITES US"

    9. #7
      Questt's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2009
      Location : Nowhere
      Posts : 2,936
      Rep Power : 1077
      Likes Received
      352
      Likes Given
      262

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      My fingers are always cross tight for SUGU......He will make it at Last am sure..........
      Get Rich or Die Tryn......

    10. #8
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Juzi nilipita Nzovwe nikakuta Mpesya anahutubia kikundi cha watu kama 15 hivi baada ya hapo akakibeba hicho kwenye kilory fulani akaenda kukihutubia tena sehemu nyingine! Jamani kwa mlioko Mbeya Nadhani mkishirikiana na Sugu vyema Jimbo anachukua tena kwa Kishindo
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    11. #9
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      68
      Likes Given
      82

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Quote By Ndege ya Uchumi
      Juzi nilipita Nzovwe nikakuta Mpesya anahutubia kikundi cha watu kama 15 hivi baada ya hapo akakibeba hicho kwenye kilory fulani akaenda kukihutubia tena sehemu nyingine! Jamani kwa mlioko Mbeya Nadhani mkishirikiana na Sugu vyema Jimbo anachukua tena kwa Kishindo
      duh hiyo ni kali ya mwaka haaaahaaaa kwa hiyo kakundi anakatubia karibu kila mahali?
      ........................HAKUNA TIBA YA KIFO............
      HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU

    12. #10
      Jabulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2009
      Location : Kituo cha Polisi Jamii
      Posts : 2,974
      Rep Power : 1370
      Likes Received
      821
      Likes Given
      254

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Aendelee kujenga uzalendo kwa kizazi kijacho, maana hao watoto hawatapiga kura mwaka huu!
      Kamanda wa Polisi Jamii - Kanda Maalumu

    13. #11
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Quote By Anyisile Obheli
      duh hiyo ni kali ya mwaka haaaahaaaa kwa hiyo kakundi anakatubia karibu kila mahali?
      Mkuu Ninachozungumza ndicho nilichokiona mkuu na wakiniudhi nitaweka ile picha ya kilory ha ha ha
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    14. #12
      PayGod's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2008
      Posts : 1,158
      Rep Power : 804
      Likes Received
      42
      Likes Given
      22

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      mwaka wa mabadiliko, kila sehemu ya TANZANIA

    15. #13
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      68
      Likes Given
      82

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Quote By Ndege ya Uchumi
      Mkuu Ninachozungumza ndicho nilichokiona mkuu na wakiniudhi nitaweka ile picha ya kilory ha ha ha
      hahaaaa hebu tupe mkuu tena pengine hako kalori ka mkwenzuru
      ........................HAKUNA TIBA YA KIFO............
      HESHIMU WATU NA PIA JIHESHIMU, KISHA, MPENDE MUNGU

    16. #14
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Quote By Anyisile Obheli
      hahaaaa hebu tupe mkuu tena pengine hako kalori ka mkwenzuru
      As you requested mkuu, ila siwezi kuiweka ikaoneka kubwa
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    17. #15
      Uncle Rukus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2010
      Location : Kasulu Kigoma
      Posts : 2,358
      Rep Power : 929
      Likes Received
      352
      Likes Given
      280

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini



      Hawa sii wapiga kura ni watizamaji tu wa burudani....Mungu saidia kijana apite
      No system can be "secure"
      All locks have keys
      All keys can be recreated

    18. #16
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Wakuu kwa siku chache nilizokaa Mkoani Mbeya, nimegundua kwamba Mpesya ana wakati Mgumu, Kumbukeni Kwamba JK alishapita Mbeya, sasa Dr.Slaa akifika Mbeya sijui itakuwaje maana Wasafwa wanamsubiri kwa Hamu sana
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    19. #17
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      555

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Quote By Ndege ya Uchumi
      As you requested mkuu, ila siwezi kuiweka ikaoneka kubwa

      Mtu asaidie kuikuza hii picha
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    20. #18
      Uncle Rukus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2010
      Location : Kasulu Kigoma
      Posts : 2,358
      Rep Power : 929
      Likes Received
      352
      Likes Given
      280

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Quote By Ndege ya Uchumi
      As you requested mkuu, ila siwezi kuiweka ikaoneka kubwa
      No system can be "secure"
      All locks have keys
      All keys can be recreated

    21. #19
      muhulo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 43
      Rep Power : 458
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Tuwaunge mkono hasa sisi tunaojua umuhimu wa changamoto wanazotoa chadema katika kutuboreshe Tanzania yetu kwa kuwahima na kuwapa moyo vijana na watanzia waliokata tamaa kwenda kupiga kura oct 31,katika maongezi yetu ya kila siku face to face and other means. On my views mtaji wa ccm ni hawa oportunists na wenye personal visions and missions and not for nation

    22. #20
      Rugemeleza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2009
      Posts : 636
      Rep Power : 618
      Likes Received
      106
      Likes Given
      38

      Default Re: Wengine huniita 'SUGU' ndani ya Mbeya mjini

      Picha zinaonyesha nguvu ya Chadema katika mkoa wa Mbeya basi kampeni ya nyumba kwa nyumba zianze na mikakati mikali ya kulinda kura iwekwe kwani WaCCM na Usalama wa Taifa wanasuka njama ya wizi wa kura. Karibu na uchaguzi kutakuwa na vitisho vingi sana kutioka polisi na Tume ya Uchaguzi ambavyo vitawataka wapiga kura, baada ya kupiga kura, kuondoka viituoni. Hivyo ni lazima vyama vyote vya ushindani vikatae amri hiyo na badala yake kuwataka wapiga kura kubakia pale vituoni mpaka kura zote zihesabiwe na kutangazwa. Mawakala wote ni lazima walishwe yamini kwamba watatekeleza zoezi la kusimamia na kuhesabu kura kwa moyo wao wote. Yule atakayesailit ajue kuwa atakumbana na nguvu ya umma. Hiyo ndiyo njia pekee ya kuhakikisha kuwa wizi wa kura haufanyiki.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. MR II aka 'Sugu' Sasa Awa Mheshimiwa, Awa Mbunge wa Mbeya Mjini
      By MziziMkavu in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 8
      Last Post: 2nd November 2010, 06:28
    2. Replies: 0
      Last Post: 1st November 2010, 13:42
    3. Tetesi: Sugu vp Mbeya mjini?
      By Ringomaniac in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 2
      Last Post: 1st November 2010, 13:11
    4. Confirmed: Sugu mbunge mpya Mbeya Mjini
      By Nyambala in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 40
      Last Post: 1st November 2010, 11:04
    5. Mr. Sugu ashinda kura za maoni ubunge CHADEMA - Mbeya mjini
      By Teh Teh Teh in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 40
      Last Post: 2nd August 2010, 17:44

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...