
Akina mama wa Itende wakisalimiana na mgombea ubunge Joseph Mbilinyi

Wananchi wa Nsalaga wakisikiliza kwa makini katika mkutano

Mgombea wa ubunge Joseph Mbilinyi akizungumza na wananchi

Wananchi wa Nsalaga wakisikiliza kwa makini sera za CHADEMA jijini Mbeya

Kulia ni mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mbeya na Wana CHADEMA akibadilishana mawazo katika moja ya mikutano ya kampeni jijini Mbeya

Mkereketwa wa CHADEMA akiwa amebandika picha ya kampeni katika shati lake kama alivyokutwa maeneo ya Ilemi darajani huku akiwa ameshika kadi ya kupigia kura mkononi

G SOLO akiimba pamoja na umati mkubwa wa watu katika moja ya mikutano ya kampeni za mgombea ubunge bwana Joseph Mbilinyi

Akina mama hawa walisimamisha gari ya mgombea ili wampe baraka zao Joseph mbilingi ( SUGU )
Sugu akifika eneo la mabatini
Umati wa watu waliofika kumsikiliza sugu
Mmoja wa Kamanda wa CHADEMA akiongea na wananchi
Bwana Joseph Mbilinyi akiongea na wananchi wa Mabatini
Hapa Msafara wa Joseph Mbilinyi ukipita katika jiji la Mbeya mjini

Hapa akinadiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya

Wananchi wakipunga mkono kudhiirisha kumkubali Sugu kuwa Mbunge wao

Makamanda wa CHADEMA wakiweka njia kwa ajili ya Sugu kupita

Moja ya Gari linatumika kwa PA katika kampeni za Sugu
Wananchi wa Mwansekwa waki mkaribisha Mheshimiwa JOSEPH MBILINYI

JOSEPH MBILINYI (Mr II ) aki hutubia wananchi

Mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya nae alikuwa na jambo la kuzungumza na wananchi

Hapa Mr Mbwembwe ali kua akitoa buruda ni kwa wakazi wa mwansekwa

POLICE pia wali kuwepo eneo la mkutano iliku hakikisha usalama unakuwa ni wakutosha
Follow Us Here