ndugu zangu, naombeni maoni yenu kuhusu gazeti, la mwananchi kama linalipoti sawa kuhusu habari za siasa bila kubase chama cha mapinduzi, kama HABARI LEO, MTANZANIA na mengine mengi, ambayo ni magazeti ya MAFISADI
ndugu zangu, naombeni maoni yenu kuhusu gazeti, la mwananchi kama linalipoti sawa kuhusu habari za siasa bila kubase chama cha mapinduzi, kama HABARI LEO, MTANZANIA na mengine mengi, ambayo ni magazeti ya MAFISADI
Mwanainchi ni gazeti moja tu hapa Tz linaloripoti ukweli bila kulalia upande wowote likifuatiwa na Tanzania Daima
Tanzania ni Nchi ya amani iliyozeeka!
Mwananchi na Tanzania wanajitahidi sana.
The most potent weapon of the oppressor is the mind of the oppressed
Mwananchi kwa sasa ni 100% ndilo pekee liko fair
Linafuatiwa na Tanzania Daima (95% Fair), 5% hulalia Chadema, walau kuna inteligential nzuri ktk TZDAIMA na umakini
Mwananchi wamejitahidi sana kuwa na balanced reporting. Lakini wamekuwa makini kuhakikisha wako online kuliko Tanzania Daima. At least unaweza ukapata sio zaidi ya masaa manne tangu siku ianze.
Mengine yangekuwa hivi ingekuwa rahisi kufahamu mengi yanayojiri katika nchi tajiri duniani, Tanzania
Majira imepotea online, sijaisoma muda sasa! Kama kuna mwenye kunijuza anijuze tafadhali. Nilikuwa nawapata zamani www.majira.co.tz au www.bctimes.co.tz ( au ni BcTimes.com | Bc Times | Newspaper | Daily Local Newspaper | High School Football nimeshasahau!)
Kwa kweli nadhani mwananchi wanaandika vizuri.tz daima wanafuatia.majira siioni online,mwenye msaada pia anipe.haya ni yale yanayotoka kila siku.yale ya wiki ni raia mwema na mwanahalisi pekee na kwanza jamii ambalo siku hizi halitoki
Follow Us Here