Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Gazeti la mwananchi la leo....

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 29 of 29
    1. #1
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Gazeti la mwananchi la leo....

      ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi leo, picha inawaonyesha wananchi wakiwa wameuchapa usingizi kwenye mkutano wa kampeni wa ccm, unaohutubiwa na Dk. Bilal, huko Tunduru... duh watu washachoka kabla hata kazi haijaanza!
      hoyang_ and PHILLIP MDOE like this.
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    2. Miaka 50

    3. #21
      makorongo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 28
      Rep Power : 402
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Gazeti la mwananchi la leo....

      Lo hiyo kali,nadhani kutokana na tetemeko la kisiasa nchini lazima magamba wakubali kuwa wamepoteza mwelekeo na sijui kwa nini bunge halijona umuhimu wa kuiga sheria za ********* kuwanyonga wezi hawa na fisadi wa mali za umma? lakini ipo siku yaja.

    4. #22
      Fighter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2009
      Location : ON EARTH
      Posts : 496
      Rep Power : 683
      Likes Received
      87
      Likes Given
      448

      Default Re: Gazeti la mwananchi la leo....

      Quote By Msanii
      ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi leo, picha inawaonyesha wananchi wakiwa wameuchapa usingizi kwenye mkutano wa kampeni wa ccm, unaohutubiwa na Dk. Bilal, huko Tunduru... duh watu washachoka kabla hata kazi haijaanza!
      Mbona wenyewe bungeni wanalala?
      Right taken never given.

    5. #23
      Viny's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Lightbulb Re: Gazeti la mwananchi la leo.... .

      sina uhakika sana, japo ninavyofikiri ni kama wanachokisikia pengine hakiwapi matumaini kabisa ya kubadilika kimaisha. Lakini pia kinawasikitisha kama hivi, na pengine ni dalili ya kukuwa kiupeo. Ni hayo tuuuu.....,,,!

    6. #24
      omgoha's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Cool Re: Gazeti la mwananchi la leo....

      Hallow Jamii forum !

    7. #25
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6248
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Gazeti la mwananchi la leo....

      Quote By omgoha
      Hallow Jamii forum !
      Mkuu kuna Jukwaa la Wageni

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Sarara Steve's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th August 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Thumbs down Re: Gazeti la mwananchi la leo....

      Quote By Mdau
      Wale "wamepelekwa" mkutanoni, wakati wale wa CHADEMA huwa wanaenda mkutanoni....
      kama serikali inaweza kuongea huku wananchi wamelala ni ajabu, unajua kulala kwa wananchi ni taswira ya vile wananchi walivyopigwa na maisha..........Mungu wetu atusaidie tuokoke kutoka kwa huu utumwa wa "uhousegirl"

    10. #27
      stanleymmary's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 18th September 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Gazeti la mwananchi la leo....

      Hawa wananchi wanaitaji semina ya nguvu maana wanaonekana hawapo serious na nchi yao.

    11. #28
      njundelekajo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th December 2012
      Location : vetnam
      Posts : 120
      Rep Power : 345
      Likes Received
      12
      Likes Given
      69

      Default Re: Gazeti la mwananchi la leo....

      Duh wananchi kama wabunge kumbe

    12. #29
      Moses Mashika's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th January 2013
      Posts : 39
      Rep Power : 325
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By stanleymmary
      Hawa wananchi wanaitaji semina ya nguvu maana wanaonekana hawapo serious na nchi yao.
      viongozi hawapo serious wananchi ndo watakua serious...!

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    Similar Topics

    1. Gazeti la Mwananchi na gamba la CCM!
      By Mzee wa Rula in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 8th May 2011, 21:42
    2. Sikubaliania na gazeti la mwananchi
      By Kiherehere in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 13
      Last Post: 16th November 2010, 19:31
    3. Ikulu Vs gazeti la Mwananchi!
      By AK-47 in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 34
      Last Post: 22nd September 2010, 20:43
    4. Gazeti la Mwananchi na uchaguzi
      By PayGod in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 9
      Last Post: 11th September 2010, 15:41

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...