ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi leo, picha inawaonyesha wananchi wakiwa wameuchapa usingizi kwenye mkutano wa kampeni wa ccm, unaohutubiwa na Dk. Bilal, huko Tunduru... duh watu washachoka kabla hata kazi haijaanza!
ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi leo, picha inawaonyesha wananchi wakiwa wameuchapa usingizi kwenye mkutano wa kampeni wa ccm, unaohutubiwa na Dk. Bilal, huko Tunduru... duh watu washachoka kabla hata kazi haijaanza!
" If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
[email protected]
Lo hiyo kali,nadhani kutokana na tetemeko la kisiasa nchini lazima magamba wakubali kuwa wamepoteza mwelekeo na sijui kwa nini bunge halijona umuhimu wa kuiga sheria za ********* kuwanyonga wezi hawa na fisadi wa mali za umma? lakini ipo siku yaja.
sina uhakika sana, japo ninavyofikiri ni kama wanachokisikia pengine hakiwapi matumaini kabisa ya kubadilika kimaisha. Lakini pia kinawasikitisha kama hivi, na pengine ni dalili ya kukuwa kiupeo. Ni hayo tuuuu.....,,,!
Hallow Jamii forum !
Hawa wananchi wanaitaji semina ya nguvu maana wanaonekana hawapo serious na nchi yao.
Duh wananchi kama wabunge kumbe
Follow Us Here