Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      El Toro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2009
      Location : Here in Bongoland
      Posts : 5,053
      Rep Power : 1858
      Likes Received
      472
      Likes Given
      369

      Default Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge



      Na Mwandishi Wetu
      Mtangazaji anayekuja kwa kasi kwenye ‘field’ hiyo Zamaradi Nketema ambaye anapiga mzigo katika Kituo cha Radio Clouds Fm, naye ameamua kwa moyo mmoja kuingia kwenye siasa huku kiu yake ikiwa ni kutinga Bungeni baadaye Novemba mwaka huu.

      Juzi, Jumanne Amani lilitumiwa ujumbe mfupi na chanzo chake makini, kikitonya kwamba: “Oyaaa Zamaradi amechukua fomu ya kugombea Ubunge kupitia Viti Maalum – CCM.”

      Kama kawa, bila kuchelewa Askari wa Amani alimvutia waya Zamaradi na kutaka kujua ukweli wa stori hiyo ambapo alitoa ushirikiano wa kutosha.

      “Ni kweli nimechukua fomu leo (Jumanne) na ninatarajia kurudisha kesho. Siwezi kuongea mengi kwasasa, labda hadi nitakaporudisha fomu. Nitafute kuanzia kesho (Jumatano) na kuendelea, ninaweza kuwa na mengi ya kuongea,” alisema Zamaradi.

      Zamaradi anakuwa Mtangazaji wa pili wa kituo hicho kurusha karata yake kwenye kinyang’anyiro hicho baada ya marehemu Amina Chifupa kufanikiwa kuingia bungeni kwa uteuzi kama anaowania.

      SOURCE: GBL
      Don't be a WOMAN that needs a man but the WOMAN a man needs



    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,765
      Rep Power : 1221
      Likes Received
      430
      Likes Given
      818

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      GBL:Ze comedy

    4. Iza
      #3
      Iza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2009
      Location : palipo na Internet
      Posts : 1,636
      Rep Power : 855
      Likes Received
      232
      Likes Given
      368

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Wishing her Lucky..
      But Amina was Amina...
      Fikiria kwa u-makini...!

    5. #4
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,624
      Rep Power : 2005
      Likes Received
      1648
      Likes Given
      1620

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Unamaanisha huyu hapa kwenye picha!
      Aiseee!

      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    6. #5
      Kifuna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2008
      Posts : 316
      Rep Power : 613
      Likes Received
      38
      Likes Given
      6

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Aanze basi kuvaa kwa nidhamu asionyeshe kifua!! Akumbuke ubishoo huo Amina uliwahi kumtoa nje ya Bunge baada ya kuvaa ndivyosivyo. Tunajua anaweza lakini aache kuvaa vinguo vya watoto. Zaidi ya hayo kila la kheli.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,795
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1222
      Likes Given
      545

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Sasa watoto wanataka kujaa bungeni

    9. #7
      El Toro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2009
      Location : Here in Bongoland
      Posts : 5,053
      Rep Power : 1858
      Likes Received
      472
      Likes Given
      369

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Quote By Ndibalema
      Unamaanisha huyu hapa kwenye picha!
      Aiseee!

      Yeah the same 'cute' gal
      Don't be a WOMAN that needs a man but the WOMAN a man needs



    10. #8
      uporoto01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2009
      Posts : 4,160
      Rep Power : 1348
      Likes Received
      1250
      Likes Given
      4144

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Karibu sana kugombea vitanda maalum sori viti maalum.
      Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?

    11. #9
      Diana-DaboDiff's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2009
      Location : Mburuhati
      Posts : 382
      Rep Power : 578
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Kuwa na vijana ni muhimu bungeni,maamuzi mazuri mdogo wangu.

    12. #10
      roselyne1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 18th February 2010
      Posts : 1,374
      Rep Power : 0
      Likes Received
      75
      Likes Given
      3

      Default Re: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      ..she luks too young kuwa na majukumu...all the best lakini...

    13. #11
      Diana-DaboDiff's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2009
      Location : Mburuhati
      Posts : 382
      Rep Power : 578
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Quote By roselyne1
      ..she luks too young kuwa na majukumu...all the best lakini...
      Atajifunza tu Rose,mwanzo mgumu.

    14. #12
      MzeePunch's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2009
      Posts : 1,294
      Rep Power : 851
      Likes Received
      121
      Likes Given
      34

      Default Re: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Duh!

    15. #13
      Ngalikihinja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2009
      Posts : 4,479
      Rep Power : 1458
      Likes Received
      1023
      Likes Given
      97

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Quote By Ndibalema
      Unamaanisha huyu hapa kwenye picha!
      Aiseee!

      Akumbuke kuna akina watu kama akina Kabwe................. huwa wanakula sahani moja na watu kama hawa.................. Amina Chifupa si ndo alikuwa wa namna hii na alitoka Redio hiyo hiyo

    16. #14
      uporoto01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2009
      Posts : 4,160
      Rep Power : 1348
      Likes Received
      1250
      Likes Given
      4144

      Default Re: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Namuonea huruma akifanikiwa kuingia bungeni na kukutana na kina Nchimbi sijui kama atasalimika.
      Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?

    17. #15
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1076
      Likes Given
      555

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Quote By Ndibalema
      Unamaanisha huyu hapa kwenye picha!
      Aiseee!

      Anajua kwanza Nini maana ya Bunge, nini kazi za Mbunge! Je anajua Mfumo wa Taifa letu? Naamini kabisa kuna Wabunge wengi hawafahamu kwamba Bunge ni Mhimili wenye Nguvu kama ilivyo Serikali na Mahakama
      "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


    18. #16
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Curiosity has its own reason to exist..labda anajua fika nini anachoomba kukifanya. Vinginevyo bunge si kipindi cha sinema au leo tena, Lol
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    19. #17
      Kanyafu Nkanwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2010
      Location : Kaporogwe Falls
      Posts : 670
      Rep Power : 581
      Likes Received
      17
      Likes Given
      27

      Default Re: Mtangazajo Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Quote By King of Kings
      GBL:Ze comedy
      Nimecheka sana sana, hata huko kwenye comments zinafuata hakuna haja kwenda!.

    20. #18
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1201
      Likes Given
      559

      Default Re: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      It seems bungeni hakuna standards tena.
      Moola's the motive

    21. #19
      Mutu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2008
      Posts : 1,338
      Rep Power : 841
      Likes Received
      24
      Likes Given
      72

      Default Re: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      Hivi watu wengi wanao enda bungeni wana jua katiba na sheria za nchi? Sio huyu tu bali wengi wao kwa ujumla.
      Naunga mkono kwa vijana kuwa part of the changes ,ila kwa kijana kujua mengi inabidi awe katumia muda wake vizuri kufanya her/his home work .
      just curiosity.Otherwise I wish her the best.

    22. PhD
      #20
      PhD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Location : houston texas
      Posts : 2,621
      Rep Power : 1595
      Likes Received
      681
      Likes Given
      175

      Default Re: Mtangazaji Clouds Zamaradi Mketema kuwania Ubunge

      ama kweli ubunge sasa unataka kuwa kichekesho, hivi huyu wa darasa la nne pale clouds FM awe naye mbunge lahaulaa usishangae na kibonde nae akataka kugombea ubunge, wao wakae na clouds yao kupiga umbea we need serios people in the parliament katika kipindi hiki tunachotaka mabadiliko ya kweli tanzania na sio wauza sura kama hawa comedians wa clouds FM.
      They wiil disqualify you for the little weaknesses you have and they will never glorify you for the great strength you have shown, Phd- Houston Texas July 23, 2012

    LinkBacks (?)


    Similar Topics

    1. Niambieni Qualifications za kuwa mtangazaji wa Clouds fm
      By Sele Mkonje in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 30
      Last Post: 18th November 2011, 21:59
    2. Tetesi: Mtangazaji wa clouds afanywa kitu mbaya mkwajuni!!!
      By Pdidy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 32
      Last Post: 31st December 2010, 11:34
    3. Zamaradi atoa tamko baada ya kushindwa Ubunge
      By El Toro in forum Celebrities Forum
      Replies: 73
      Last Post: 28th December 2010, 23:20
    4. Dina Marious wa Clouds FM: Mtangazaji anayekuja juu!
      By Akili Unazo! in forum Celebrities Forum
      Replies: 53
      Last Post: 2nd October 2009, 11:19
    5. Mbowe kuwania ubunge
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 17
      Last Post: 20th February 2009, 16:06

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...