TiGo Says
    Show/Hide This

    Topic: Wasanii Nyota wa Bongo Flava wachangia CCM

    Report Post
    Page 7 of 7 FirstFirst ... 567
    Results 181 to 182 of 182
    1. #1
      Brooklyn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Posts : 1,146
      Rep Power : 695
      Likes Received
      51
      Likes Given
      20

      Default Wasanii Nyota wa Bongo Flava wachangia CCM

      Binafsi sikulitegemea hili kufanywa na kijana yoyote mwenye umri chini ya miaka 40. Ni miaka zaidi ya 50 toka nchi yetu ipate uhuru lakini bado majority ya watanzania tumetopea kwenye lindi la umasikini uliovuka kipimo cha utu. Hii yote imesababishwa na serikali mbovu, dhaifu na isiyo na mipango madhubuti ya kuleta maendeleo katika taifa letu.

      Binafsi, sikumbuki kama nilishawahi kuvaa ama kushika ama kusogea karibu na either bendera ama Tshirt ama khanga ama skafu ama chochote kile kinachohusiana na CCM hata kwa kupewa pesa, pombe na pilau za bure.

      Je hawa vijana wanajua wanachokifanya?

      Je nyimbo zao za kulaumu utendaji kazi wa serikali ya CCM hasa katika masuala ya Rushwa na ufisadi zina maana gani kama leo hii wanashiriki ku support serikali mbovu iendelee kutawala?

      Au ni njaa inayowafanya washiriki kwenye hizi kampeni?

      Au hawajui walifanyalo??

      Cheki picha hizo hapo chini.........

      Wasanii nyota wa bongo fleva wachangia CCM


      Profesa J


      Juma Nature


      Mwana FA


      Joe Makini


      Dully Sykes


      Belle 9 (shoto) na Diamond


      CPwaa


      Mwasiti (shoto) na Chidi Benz


      wana THT


      Source: Michuzi Blog
      Ukipewa kazi ya kurina asali, mikono yako ikatapakaa asali, je utaisugua mikono kwenye vumbi ili kujisafisha au utailamba?


    2. #181
      Ndahani's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 5,371
      Rep Power : 1581
      Likes Received
      999
      Likes Given
      1672

      Default Re: Wasanii Nyota wa Bongo Flavour: Tutegemee nini katika mapinduzi ya nchi hii?

      Quote By Companero View Post
      In business, just like in politics, there are no permanent friends or enemies!

      Haahaa, haya bwana nazidi kukubali tu!
      Patience,practice,and ceaseless importunity can a man enter the door of the temple of knowledge.

    3. #182
      Jeykey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Posts : 1,158
      Rep Power : 615
      Likes Received
      102
      Likes Given
      125

      Default Re: Wasanii Nyota wa Bongo Flavour: Tutegemee nini katika mapinduzi ya nchi hii?

      Quote By Zion Daughter View Post
      Mayooo weee! kweli tuna safari ndefu!
      wasanii ndo kioo cha watanzania

    Page 7 of 7 FirstFirst ... 567

    Similar Topics

    1. Unga Unawamaliza Wasanii wa Bongo Flava
      By Dr. Chapa Kiuno in forum Entertainment
      Replies: 23
      Last Post: 3rd September 2011, 22:16
    2. Bongo Flava and Hip Hop
      By nngu007 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 27th April 2011, 06:31
    3. Replies: 8
      Last Post: 13th July 2010, 13:29
    4. Bongo Flava
      By Mtaalam in forum Entertainment
      Replies: 11
      Last Post: 16th February 2010, 23:57
    5. Bongo Flava za kumwaga
      By good god in forum Entertainment
      Replies: 11
      Last Post: 21st October 2008, 14:12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...