Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      MtazamoWangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2009
      Posts : 305
      Rep Power : 574
      Likes Received
      0
      Likes Given
      24

      Default Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      naomba tujaribu kutabiri nani anaweza kuwa waziri mkuu mwakani katika serikali ijayo ya JMT.
      inasemekana Mh.Pinda hakuwa chaguo la mzee la kwanza, Je kuna wengine???
      wapo pia waliotangaza nia ya kugombea ubunge kwenye majimbo kwa kudai wametumwa ili waupate uwaziri mkuu mwakani kwa kuwa wamekuwa wakifanya kazi na raisi kwa karibu mno....
      je vipi kuhusu Spika a bunge?? Sita atarudi???

      maoni haya yanaweza yakamsaidia JK na wahusika kuchagua mtu anaykubalika....

      tuchangie....

    2. Miaka 50

    3. #2
      Boramaisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 826
      Rep Power : 681
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Kwani alipomteua EL na baadaye Pinda alisaidiwa na maoni ya watu? Tne usipende kumuita JK mzee kwa sababu ni Rais kijana.

      Kuhusu Sita kurudi bungeni jibu walao wananchi wa Urambo na sidhani kwamba hao wana access JF kuweza kunufaika na lolote litakaloandikwa hapa. Huo ndio mtazamo wangu mie!

    4. #3
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,561
      Rep Power : 16760
      Likes Received
      2478
      Likes Given
      1843

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Tuwasubiri wataalamu wa utabiri walete majibu!

    5. #4
      Regia Mtema's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 21st November 2009
      Posts : 2,988
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      763
      Likes Given
      397

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Mbona hili suala ni obvious?kama CCM itashinda basi Mizengo Pinda will be our Prime Minister.
      Kilombero For Change(K4C)-Mfuko wa Maendeleo Kilombero

    6. #5
      mageuzi1992's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 1,856
      Rep Power : 834
      Likes Received
      107
      Likes Given
      66

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Mambo gani sasa haya mnayaleta huku? mmeamua kuwa Sheikh Yahya!? Acheni mambo ya Utabiri kwanza wabunge wengi hawakubaliki. Tusubiri Matokeo ya kura.

    7. Study Abroad

    8. #6
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Dr Shein je?, atarudi maana 2005 Mkulu kama alikuwa na mtu wake vile kama si maamuzi ya kamati kuu

    9. #7
      AK-47's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2009
      Location : Abbottabad
      Posts : 1,363
      Rep Power : 756
      Likes Received
      149
      Likes Given
      80

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Tusubiri Oktoba Watanzania wataamua nani arudi.. na iwapo Wtz watakuwa waerevu na makini zaidi basi wote hao mnaotabiri wataishia kuwa watu wa kawaida tu na pengine wengine wakawa na kesi za kujibu.

    10. #8
      Bill's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 1,663
      Rep Power : 926
      Likes Received
      300
      Likes Given
      203

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Speculation zingine bana... kazi kweli kweli. Are sure kwamba JK atatawala tena mwakani?
      "Wanafunzi wanaopata Mimba ni kwa sababu ya kiherehere chao" JK 2010.

    11. #9
      Ladslaus Modest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th June 2008
      Location : Nachunga Kondoo
      Posts : 638
      Rep Power : 683
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Quote By MtazamoWangu
      naomba tujaribu kutabiri nani anaweza kuwa waziri mkuu mwakani katika serikali ijayo ya JMT.
      inasemekana Mh.Pinda hakuwa chaguo la mzee la kwanza, Je kuna wengine???
      wapo pia waliotangaza nia ya kugombea ubunge kwenye majimbo kwa kudai wametumwa ili waupate uwaziri mkuu mwakani kwa kuwa wamekuwa wakifanya kazi na raisi kwa karibu mno....
      je vipi kuhusu Spika a bunge?? Sita atarudi???

      maoni haya yanaweza yakamsaidia JK na wahusika kuchagua mtu anaykubalika....

      tuchangie....
      Ikimpendeza Mungu Jakaya Mrisho Kikwete atashinda kwa Kishindo na ataendelea kuwa Raisi wetu Tanzania hadi 2015.
      Ikimpendeza Mungu Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda ataendelea kuwa Waziri wetu Mkuu
      Ikimpendeza Mungu Mh. Samuel Sita atachaguliwa tena na Wabunge kuwa Spika.
      Mungu ibariki Tanzania na Watu wake.
      KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI; KIDUMU CHAMA TAWALA; CCM NI NAMBARI WANI. CCM HOYEEEEEEE!
      "Mungu katika Jina la Yesu akusamehe Maovu yako yote, na Kukuponya Magonjwa yako yote
      (Zaburi 103:3)"

    12. #10
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,327
      Rep Power : 1236
      Likes Received
      339
      Likes Given
      72

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Quote By Katavi
      Tuwasubiri wataalamu wa utabiri walete majibu!
      Hii ni kazi ya mnajimu Sheikh Yahya bin Hussein!!

    13. #11
      Ben Saanane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2007
      Posts : 6,716
      Rep Power : 32784
      Likes Received
      4981
      Likes Given
      6451

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Pm anayejulikana kama mtoto wa mkulima juzi kaongea hovyo hovyo,ati kwa nini watanzania wasiendekufanya kazi kenya?Nilipoteza Interest na huyu mkulu
      Wametuonyesha Jeuri ya ukaburu,tuwaonyeshe jeuri ya Umkhontho we sizwe kupitia Red Brigade.Tukiwaonyesha woga wetu, itakua silaha imara zaidi kwao kutumaliza-Ben Saanane

    14. #12
      buckreef's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th March 2010
      Posts : 247
      Rep Power : 515
      Likes Received
      24
      Likes Given
      4

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Pinda taendelea kuwa PM. Sio rahisi kubadilisha waziri mkuu, labda kuwe na matatizo makubwa.

      Budget ya kumtunza waziri mkuu aliyestaafu ni kubwa mno na ndio maana hao marais wanafikiria mara kumi kumi kabla ya kubadilisha waziri mkuu.

    15. #13
      babu M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Location : Tanga
      Posts : 1,414
      Rep Power : 812
      Likes Received
      203
      Likes Given
      307

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Quote By buckreef
      Pinda taendelea kuwa PM. Sio rahisi kubadilisha waziri mkuu, labda kuwe na matatizo makubwa.

      Budget ya kumtunza waziri mkuu aliyestaafu ni kubwa mno na ndio maana hao marais wanafikiria mara kumi kumi kabla ya kubadilisha waziri mkuu.
      Pinda atarudi kwasababu nyingine lakini siyo budget...Wangekuwa wanajali kihivyo tusingekuwa na Richmond,ndege ya raisi,twin towers na safari zisizokuwa na tija.

    16. #14
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Hii ni kali ya mwaka! Yaani unataka tujadili nani atakuwa PM mwezi huu wa Mei wakati hata kura za maoni hazijaanza? Jamani tuache kuchochea mjadala usio na tija. What if hao wanaofikiriwa hawatagombea kwa sababu moja au nyingine?

    17. #15
      N-handsome's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,858
      Rep Power : 949
      Likes Received
      91
      Likes Given
      473

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Maumivu

    18. #16
      ZionTZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2009
      Posts : 897
      Rep Power : 668
      Likes Received
      128
      Likes Given
      131

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Quote By buckreef
      Pinda taendelea kuwa PM. Sio rahisi kubadilisha waziri mkuu, labda kuwe na matatizo makubwa.

      Budget ya kumtunza waziri mkuu aliyestaafu ni kubwa mno na ndio maana hao marais wanafikiria mara kumi kumi kabla ya kubadilisha waziri mkuu.
      kaka acha uongo bana, toka lini JK akafikiria isue ya kubana matumizi???

    19. #17
      MduduWashawasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Location : Dar es salaam
      Posts : 461
      Rep Power : 664
      Likes Received
      49
      Likes Given
      6

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Makamu wa rais atakuwa Mohamed Seif Khatib.Waziri Mkuu ni pinda au Sitta

    20. #18
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,073
      Rep Power : 12249
      Likes Received
      6011
      Likes Given
      6845

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Quote By Boramaisha
      Kwani alipomteua EL na baadaye Pinda alisaidiwa na maoni ya watu? Tne usipende kumuita JK mzee kwa sababu ni Rais kijana.
      Tuache kukataa facts, JK ni mzee kwa kila definition...
      angalia age definition ya UN, angalia age definition hata ya CCM na pia tutambue kwamba ukishagusa 40 wewe ni mzee, we are all in denial as we age but JK ni mzee tena mzee haswa na kiumri angekua kwenye idara za serikali angeshaanza kujiangaa kungatuka kwa mujibu wa sheria
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    21. #19
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,073
      Rep Power : 12249
      Likes Received
      6011
      Likes Given
      6845

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Quote By buckreef
      Pinda taendelea kuwa PM. Sio rahisi kubadilisha waziri mkuu, labda kuwe na matatizo makubwa.

      Budget ya kumtunza waziri mkuu aliyestaafu ni kubwa mno na ndio maana hao marais wanafikiria mara kumi kumi kabla ya kubadilisha waziri mkuu.
      samahani, ashakuma si matusi ila nadhani wewe hujui ulisemalo...
      hiyo bajeti inashinda gharama ya yale mashanginigi V8?
      Inaweza pita ya nyumba ya gavana?
      inaweza pita ya zile posho za vikao visivyokwisha?
      inaweza pita gharama za safari zisizokweisha za mkulu na watu wake kedekede?
      iaweza kuzidi gharama za mikutano ya kimataifa iliyozidi kiasi kwamba nchi imekua kama conferecne center?
      inaweza kuzidi gharama za kulipia mafuta ya kuzalisha umeme?
      inweza kuzidi gharama ya EPA na mengineyo?
      inaweza kuzidi gharama ya kampeni kwa mtu ambaye ameshashinda? hata kama ni ushindi wowote ule?

      we need quality and if Pinda deserves to be a PM so be it! ila tusiseme abaki kwasababu gharama kubwa... kwa taarifa yako mfumo wetu haujali gharama, kama unabisha angalia overheads za wizara zetu
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    22. #20
      Kizito's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd February 2008
      Posts : 73
      Rep Power : 588
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Nani kuwa waziri mkuu 2011 tanzania.......spika je?

      Kwani nani aliyewaambia JK atapita tena wakati kawatibua wafanyakazi katika mkutano na aliowaata wazee wa Dar wakati wazee waliokuwepo pale hawakuzidi saba? wengine wote walikuwa vijana wa sisiemu toka Bagamoyo(yaani wakwere wenzie ndio maana kila dk kikwere!kikwere!) aliotoa vijembe vya kwenye Taalab? Kama nchi ina watu makini wenye kutekenya Bongo JK hapiti, hivyo swali hili halipo.Maana wafanyakazi 350 000 +wake zao+ watoto wao+ mama zao+baba zao+wakwe zao jumla unapata milioni tano mwambieni awaombe Radhi wafanyakazi kwanza.

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Spika Amuonya Waziri Mkuu Bungeni
      By tatanyengo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 54
      Last Post: 16th August 2011, 08:17
    2. Replies: 6
      Last Post: 17th June 2011, 16:19
    3. Replies: 0
      Last Post: 16th March 2011, 01:16
    4. Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania !
      By Mgoyangi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 9th November 2010, 14:27

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...