Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 60
    1. #1
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,851
      Rep Power : 814
      Likes Received
      527
      Likes Given
      8

      Default Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Dada yetu Rachel salaam
      Yawezekana hujajitambua kuwa wakazi wa shinyanga wanahitaji service yako kama mbunge kwa kipindi kijacho 2015-2020.Wakazi wametafakari na kugundua kipaji chako na umakini wako, taarifa hizi zichukue kwa uzito wa pekee kama alivyokubali Dr.Slaa mwaka 2010 baada ya watanzania kuwekeza kwake kwa presidential seat.Karibu mjengo kwa tiketi ya CDM kwa kura nyingi.Pia tumia muda huu baada ya bunge kwisha kajipime kukubalika kwako.Karibu shy town

    2. Miaka 50

    3. #2
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Nawapa pole, naona hapo Shinyanga mnaota ndoto za mchana, sijaona tija yoyote ya huyu Rachel tangu aingie Bungeni.

      Halima Mdee atabaki kuwa hazina ya Chadema kwa sababu aling'ara bungeni akiwa Mbunge wa viti Maalum na ufanisi ndio uliomfanya aweze kuwabwaga kina Mbatia jimboni Kawe.
      Mimi binafsi kama Matola siko tayari kuwapigia kura Wabunge mizigo kama huyu Rachel.
      The Magnificent likes this.

    4. #3
      Dumisha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st February 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 374
      Likes Received
      7
      Likes Given
      25

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Quote By Matola
      Nawapa pole, naona hapo Shinyanga mnaota ndoto za mchana, sijaona tija yoyote ya huyu Rachel tangu aingie Bungeni.

      Halima Mdee atabaki kuwa hazina ya Chadema kwa sababu aling'ara bungeni akiwa Mbunge wa viti Maalum na ufanisi ndio uliomfanya aweze kuwabwaga kina Mbatia jimboni Kawe.
      Mimi binafsi kama Matola siko tayari kuwapigia kura Wabunge mizigo kama huyu Rachel.
      Am sure huyo mleta mada atakua ametumwa tuu!!kwani amekwambia anataka kugombea hilo jimbo?kwanza ana vigezo gani viti maalaum??wakti hamna analofanya??naungana na matola Halima Mdee ni hazina kubwa kwa CDM labda awaweke kitimoto viti maalum wengine ili awape maujuzi kidogo leticia anajitahidi ingawa bado hana hoja nzito.

    5. #4
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Vipi yule Mr. Kashinje Masanja anayejitangaza fb kuwa mbunge mtarajiwa wa SHY town?.
      Najijua likes this.

    6. #5
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,423
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      785
      Likes Given
      1800

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      2015 ubunge siyo dili ni shughuli kwenda mbele, natabiri wengi kuukimbia ubunge kwani hautakuwa na maslahi tena. Utakuwa ni mzigo kwa wapenda ufanisi.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      the issue sio kuwa cdm,ila ni jinsi unavyowajibika.jamani mh.mashishanga,fanyakazi kwa vitendo na sio kwa manieno,hujatumika ipasavyo kwa wananchi wa shy pamoja na kwamba uliaminiwa na cdm na kupewa nafasi hiyo.
      unasema unafanya kazi na wamama wa shy,mbona hatuoni matokeo ya hizo kazi.????
      tafadhali naamin cdm inawatu makini wengi sana kwa sasa,usipobadilika basi itabaki historia.

      ni hayo tu.

    9. #7
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Hana lolote huyu Rachael Mashishanga, kumsimamisha huyu jimboni ni kuwasaidia CCM kushinda jimbo kirahisi, Mbunge wa viti maalum huna majukumu yoyote ya kijimbo ni kwa nini kipindi cha Bunge usingnare bungeni angalau ujae midomoni mwa watu?

      Kwanza hivi viti maalum vifutwe kabisa maana mpaka sasa vimewezesha wanawake wachache sana kuwa na gutts za kusimama majimboni, kikubwa wanachokimudu wao ni kushindana kuvaa micheni ya dhahabu na mitandio. Pumbavu kabisa.

    10. #8
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default

      Quote By mamajack
      the issue sio kuwa cdm,ila ni jinsi unavyowajibika.jamani mh.mashishanga,fanyakazi kwa vitendo na sio kwa manieno,hujatumika ipasavyo kwa wananchi wa shy pamoja na kwamba uliaminiwa na cdm na kupewa nafasi hiyo.
      unasema unafanya kazi na wamama wa shy,mbona hatuoni matokeo ya hizo kazi.????
      tafadhali naamin cdm inawatu makini wengi sana kwa sasa,usipobadilika basi itabaki historia.

      ni hayo tu.
      Sikiliza Mkuu huyo Rachel hasiwadanganye, yeye alishinda kura za maoni Chadema jimbo la Segerea mpendazoe alishika nafasi ya pili, sas Chadema vikao vya maamuzi wakatumia busara ni nani kati anauzika kirahisi kwa Wananchi.

      Ndipo ikatumika busara ya kumsimamisha Fred Mpendazoe na Rachael akaahidiwa kupewa ubunge wa dezo Chadema kama itapata nafasi nyingi za viti maalum na ndivyo ilivyotokea na ndio maana leo hii ni Mbunge.

    11. #9
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,614
      Rep Power : 783
      Likes Received
      218
      Likes Given
      350

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Quote By Sipendi Ubepari
      Vipi yule Mr. Kashinje Masanja anayejitangaza fb kuwa mbunge mtarajiwa wa SHY town?.
      Kashinje Masanja ni jimbo la kishapu
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    12. #10
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,243
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1087
      Likes Given
      7

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Rachel Mashishanga ni jembe...ila yule jamaa wa shinysngs wa ccm ni kigagula usipime!

    13. #11
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,281
      Rep Power : 1364
      Likes Received
      952
      Likes Given
      182

      Default

      Hana ujembe wowote ni mzigo tu ndani ya bunge hana hoja, nashindwa kumtofautisha na viti maalumu wa magamba
      Quote By Rev.Mzito K.
      Rachel Mashishanga ni jembe...ila yule jamaa wa shinysngs wa ccm ni kigagula usipime!
      Mkono likes this.

    14. #12
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default

      Quote By Matola
      Sikiliza Mkuu huyo Rachel hasiwadanganye, yeye alishinda kura za maoni Chadema jimbo la Segerea mpendazoe alishika nafasi ya pili, sas Chadema vikao vya maamuzi wakatumia busara ni nani kati anauzika kirahisi kwa Wananchi.

      Ndipo ikatumika busara ya kumsimamisha Fred Mpendazoe na Rachael akaahidiwa kupewa ubunge wa dezo Chadema kama itapata nafasi nyingi za viti maalum na ndivyo ilivyotokea na ndio maana leo hii ni Mbunge.
      Namfahamu vizuri sana huyo dada ,kama hana uwezo aliwezaje kumshinda mwanasiasa wa siku nyingi mpendazoe kura za maoni?ambae pamoja na yote mpendazoe ni bingwa wakucheza rafu za kisiasa,alishindwaje na yule dada?kweli chadema demokrasia zero!rahel anajulikana ni mpambanaji wa chama wa siku nyingi na ndio maana aliweza kuaminiwa na wanasegerea,ubunge wa dezo uko wapi hapo?kama huwajui waliopewa ubunge wa dezo sema uambiwe,chuki binafsi hazifai.naungana na wanashinyanga kusema kwamba rahel ni mwanamke mwenye uthubutu na anaweza.

    15. #13
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default

      Quote By Matola
      Nawapa pole, naona hapo Shinyanga mnaota ndoto za mchana, sijaona tija yoyote ya huyu Rachel tangu aingie Bungeni.

      Halima Mdee atabaki kuwa hazina ya Chadema kwa sababu aling'ara bungeni akiwa Mbunge wa viti Maalum na ufanisi ndio uliomfanya aweze kuwabwaga kina Mbatia jimboni Kawe.
      Mimi binafsi kama Matola siko tayari kuwapigia kura Wabunge mizigo kama huyu Rachel.
      Matola nawasiwasi kama huwa unaangalia bunge na kama huwa unaangalia bunge basi utakuwa unamatatizo binafsi Mh rachel mashishanga ndie mbunge pekee wa cdm viti maalum ambae akisimama bungeni anajenga hoja sio matusi au kejeli.
      lakini naamini kuna matusi ulitegemea kutoka kwa mashishanga akiwa bungeni sasa umeyakosa pole sana matola.

    16. #14
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default

      Quote By Matola
      Hana lolote huyu Rachael Mashishanga, kumsimamisha huyu jimboni ni kuwasaidia CCM kushinda jimbo kirahisi, Mbunge wa viti maalum huna majukumu yoyote ya kijimbo ni kwa nini kipindi cha Bunge usingnare bungeni angalau ujae midomoni mwa watu?

      Kwanza hivi viti maalum vifutwe kabisa maana mpaka sasa vimewezesha wanawake wachache sana kuwa na gutts za kusimama majimboni, kikubwa wanachokimudu wao ni kushindana kuvaa micheni ya dhahabu na mitandio. Pumbavu kabisa.
      Matola acha matusi. Rachel ni jembe ambalo huwa halikurupuki katika hoja zake nimegundua kitu kinachomsumbua rachel ni usukuma wake na cdm wanataka wachaga tu ndio waonekane majembe!vp matola unaendelea na uongozi segerea?

    17. #15
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default

      Quote By Dumisha
      Am sure huyo mleta mada atakua ametumwa tuu!!kwani amekwambia anataka kugombea hilo jimbo?kwanza ana vigezo gani viti maalaum??wakti hamna analofanya??naungana na matola Halima Mdee ni hazina kubwa kwa CDM labda awaweke kitimoto viti maalum wengine ili awape maujuzi kidogo leticia anajitahidi ingawa bado hana hoja nzito.
      Rachel mashishanga anahoja sana bungeni na wanashinyanga tunamwitaji na tunamwamini na 2015 tutampa ubunge na wala hafai kuwa mbunge wa viti maalum kwani anafaa kuwa mbunge wa jimbo.wabunge wanaofaa kuwa viti maalum ni kama grace kiwelu,suzan lyimo,mukya na wakaskazini wengine.

    18. #16
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2228

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Quote By Matola
      Sikiliza Mkuu huyo Rachel hasiwadanganye, yeye alishinda kura za maoni Chadema jimbo la Segerea mpendazoe alishika nafasi ya pili, sas Chadema vikao vya maamuzi wakatumia busara ni nani kati anauzika kirahisi kwa Wananchi.Ndipo ikatumika busara ya kumsimamisha Fred Mpendazoe na Rachael akaahidiwa kupewa ubunge wa dezo Chadema kama itapata nafasi nyingi za viti maalum na ndivyo ilivyotokea na ndio maana leo hii ni Mbunge.
      Kuna watu wanachukua form kugombea, kumbe viti vishatolewa ahadi kwa insiders!!! Kweli demokrasia ngumu...
      "To greed, all nature is insufficient"

    19. #17
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default

      Quote By mamajack
      the issue sio kuwa cdm,ila ni jinsi unavyowajibika.jamani mh.mashishanga,fanyakazi kwa vitendo na sio kwa manieno,hujatumika ipasavyo kwa wananchi wa shy pamoja na kwamba uliaminiwa na cdm na kupewa nafasi hiyo.
      unasema unafanya kazi na wamama wa shy,mbona hatuoni matokeo ya hizo kazi.????
      tafadhali naamin cdm inawatu makini wengi sana kwa sasa,usipobadilika basi itabaki historia.

      ni hayo tu.
      Mbona kazi anafanya sana hapa shy ama unataka aje kwako akuchotee maji bombani na kukuletea kwako ndio utaona kazi anayofanya au unataka aropoke bungeni mambo ya uongo ndio umuone anafaa.acheni wivu nyinyi

    20. #18
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default

      Quote By Matola
      Sikiliza Mkuu huyo Rachel hasiwadanganye, yeye alishinda kura za maoni Chadema jimbo la Segerea mpendazoe alishika nafasi ya pili, sas Chadema vikao vya maamuzi wakatumia busara ni nani kati anauzika kirahisi kwa Wananchi.

      Ndipo ikatumika busara ya kumsimamisha Fred Mpendazoe na Rachael akaahidiwa kupewa ubunge wa dezo Chadema kama itapata nafasi nyingi za viti maalum na ndivyo ilivyotokea na ndio maana leo hii ni Mbunge.
      Matola kwani waliomchagua rachel agombee ubunge segerea hawakuwa na busara?
      Na nikigezo gani kilichokuwa kinamtambulisha mtu kama anakubalika na wananchi zaidi ya kura za maoni ambazo mashishanga alishinda?
      Hivi mpendazoe na rachel nani ni jembe na nani anauzika?
      Hivi unajua ni jinsi gani mpendazoe ni swahiba wa slaa na ndo alie mpa agombee kwa sababu walikuwa nae ccm?

    21. #19
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Matola wewe ni mnafiki sana na unanjaa sana unazani hatujui kwamba uliuza kata ya kiwalani kwa njaa zako!
      Matola ni mnafiki sana maana mwanzoni ulishobokea ujio wa mpendazoe segerea kwa sababu alikuwa na viposho.kwa sasa mpendazoe kaishiwa umemuhama na pia pole sana kwa kuumbuka na mpendazoe wenu.
      Mh mashishanga njoo huku shinyanga kwa wananzengo wenzako achana na hao wajasiliamali wa kisiasa.
      go gooooooooooooMH.Rachel mashishanga.

    22. #20
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: Mgombea wa Ubunge CDM 2015 SHINYANGA MJINI ni Rachel Mashishanga

      Quote By Matola
      Nawapa pole, naona hapo Shinyanga mnaota ndoto za mchana, sijaona tija yoyote ya huyu Rachel tangu aingie Bungeni.

      Halima Mdee atabaki kuwa hazina ya Chadema kwa sababu aling'ara bungeni akiwa Mbunge wa viti Maalum na ufanisi ndio uliomfanya aweze kuwabwaga kina Mbatia jimboni Kawe.
      Mimi binafsi kama Matola siko tayari kuwapigia kura Wabunge mizigo kama huyu Rachel.
      unaweza kumlinganisha rachel na mbunge wowote wa viti maalum wa CDM anaetokea kaskazini?
      huyu dada sisi tunayemfahamu tunaujua uwezo wake...mwacheni aje kutuwakilisha kama akiitika wito huo

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...