Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 47
    1. #1
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 497
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Ndg wanaJF ,

      Ni wakati mzuri sasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 na mwaka 2010 ambazo zilimweka kikwete madarakani kwa tiketi ya CCM, tukaangalia nini kilimweka mwaka 2005 na nini kilimweka mwaka 2010, hali ya kisiasa TZ, uwezo wa Kikwete kama rais, uwezo wa CCM kutoa rais mwaka 2015, na uwezo wa upinzani chini ya CHADEMA kutoa rais 2015, faida na hasara za kuwapa CCM au CHADEMA nchi mwaka 2015, Matakwa ya wananchi na ZAIDI MATAKWA YAKO WEWE BINAFSI kisha uamue na utwambie kama utapigia kura CCM au CHADEMA.

      Nitashukuru kupata mawazo yako kabla sijatoa ripoti kuhusu changamoto na mafanikio, mwelekeo wa nchi ifikapo 2015.

      Naomba kuwasilisha.
      mtimbwafs likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Starn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2011
      Posts : 376
      Rep Power : 524
      Likes Received
      51
      Likes Given
      42

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Siwezi kusema kwasasa hiv nitampigia kura chama gani, ikifika wakati vyama vitakaposimamisha wagomebea ndio nitajua nani wa kumpa kura. ukichagua chama matokeo yake ni kuwapa kula watu na wala si kupigia kura
      mtimbwafs likes this.

    4. #3
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 497
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Tunaangalia hali kama ilivyo kwa sasa, harafu tuna extrapolate the same ifikapo 2015, njia hii hutumika kujenga ufahamu wa mambo wakati mwafaka unapofika. Ili kujua mafanikio au vikwazo kutoka sasa hadi 2015, ikiwa matokeo ya 2015 yasipofanana na ya 2012 Juni. If you have to vote today, which political party would you vote for between CCM & CHADEMA, not a person please.

      And WHY? in bullet points.

    5. #4
      dandabo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th February 2012
      Posts : 193
      Rep Power : 404
      Likes Received
      59
      Likes Given
      4

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Sipigi kura kishabiki kiivyo! 2015 bado ni mbali na mambo mengi yanaweza kutokea hapo kati na kubadilisha muelekeo kabisa!
      mtimbwafs likes this.

    6. #5
      EL MAGNIFICAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : mbeya
      Posts : 857
      Rep Power : 686
      Likes Received
      103
      Likes Given
      1

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      hebu 2ngoje katiba mpyaa endapo itaondoa madaraka mengi kwa raisi kuwe na uhuru wa mihili mi3 ya nchi, mawaziri wasiwe wabunge nk ndo nitatizama chama kipi kina mgombea strong ila kama katiba ijayo itafanana na hii ya sasa ccm hata wamsimamishe mtume mohamed kura itaenda cdm tu.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,111
      Rep Power : 629
      Likes Received
      196
      Likes Given
      31

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      ikifika 2014 ccm haita kuwepo kwani naona kasi ya kuiuwa inaogezeka sana nape anajitahidi na mukama wake ambapo ccj itakuwa tayari imesajiliwa ...kura yangu kwa chama makini usijaribu upepo wake
      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    9. #7
      mashami's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 168
      Rep Power : 388
      Likes Received
      23
      Likes Given
      1

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Peoples power daima

    10. #8
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      tuanzie kwanza kwenye bajet ya mwaka huu ni trion15 pia tua maoni ya katiba mpya
      Sangarara likes this.

    11. #9
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,166
      Rep Power : 1531
      Likes Received
      758
      Likes Given
      591

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Quote By fikirikwanza
      Ndg wanaJF ,

      Ni wakati mzuri sasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 na mwaka 2010 ambazo zilimweka kikwete madarakani kwa tiketi ya CCM, tukaangalia nini kilimweka mwaka 2005 na nini kilimweka mwaka 2010, hali ya kisiasa TZ, uwezo wa Kikwete kama rais, uwezo wa CCM kutoa rais mwaka 2015, na uwezo wa upinzani chini ya CDM kutoa rais 2015, faida na hasara za kuwapa CCM au CDM nchi mwaka 2015, Matakwa ya wananchi na ZAIDI MATAKWA YAKO WEWE BINAFSI kisha uamue na utwambie kama utapigia kura CCM au CDM.

      Nitashukuru kupata mawazo yako kabla sijatoa ripoti kuhusu changamoto na mafanikio, mwelekeo wa nchi ifikapo 2015.

      Naomba kuwasilisha.
      Aliiba kura na kubaka democrasia
      Ukweli utakuweka huru daima

    12. #10
      blue arrow's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 236
      Rep Power : 407
      Likes Received
      10
      Likes Given
      3

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      nimejaribu kubainisha hotuba za viongozi wa vyama hivi viwili but kwa mtazamo wangu big up kwa m4c

    13. #11
      ami12's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      m4c is man!

    14. #12
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Chadema.

    15. #13
      Safhat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 270
      Rep Power : 407
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Mh!napta..

    16. #14
      KIJOME's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 1,323
      Rep Power : 0
      Likes Received
      244
      Likes Given
      220

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      chadema dume la mbegu.

    17. #15
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 716
      Likes Received
      290
      Likes Given
      36

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Ni CHADEMA ndo wanasifa ya kutoa rais akajibu matarajio ya wananchi, ccm wamepoteza sifa ya kuongoza

    18. #16
      jackson kanene's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th January 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 385
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      chadema' coz ndicho chama chenye uwezo wa kumuondoa maskin wa tz hapa alipo-na rais atakae toka chadema atakidhi matarajio ya wananchi.

    19. #17
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Nitaipigia kura CHADEMA hata kama wakisimamisha JIWE

    20. #18
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 514
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Unauliza nanihii ya mbwa uko wapi na hali unauona mkia wake ulipomelea? Hivi kuna mbadala au zaidi ya PEOPLE'S POWER, M4C, CHADEMA DAIMA! ???

    21. #19
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,697
      Rep Power : 904
      Likes Received
      432
      Likes Given
      440

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      cdm,coz wana uwezo wa kuongoza,and they know how to impliment policy!

    22. #20
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1690
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      unapima upepo eee?
      Hata chadema wakiweka jiwe nitalipigia kura.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...