Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 47
    1. #1
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 498
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Ndg wanaJF ,

      Ni wakati mzuri sasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 na mwaka 2010 ambazo zilimweka kikwete madarakani kwa tiketi ya CCM, tukaangalia nini kilimweka mwaka 2005 na nini kilimweka mwaka 2010, hali ya kisiasa TZ, uwezo wa Kikwete kama rais, uwezo wa CCM kutoa rais mwaka 2015, na uwezo wa upinzani chini ya CHADEMA kutoa rais 2015, faida na hasara za kuwapa CCM au CHADEMA nchi mwaka 2015, Matakwa ya wananchi na ZAIDI MATAKWA YAKO WEWE BINAFSI kisha uamue na utwambie kama utapigia kura CCM au CHADEMA.

      Nitashukuru kupata mawazo yako kabla sijatoa ripoti kuhusu changamoto na mafanikio, mwelekeo wa nchi ifikapo 2015.

      Naomba kuwasilisha.
      mtimbwafs likes this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      malema 1989's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 806
      Rep Power : 741
      Likes Received
      147
      Likes Given
      117

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      cdm kwani wanajali watu na rasilimali za watanzania.Peoples......power!

    4. #22
      Mwanaukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2007
      Posts : 1,704
      Rep Power : 2923
      Likes Received
      643
      Likes Given
      177

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Chama chenye mvuto.

    5. #23
      ghwanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2011
      Posts : 163
      Rep Power : 413
      Likes Received
      11
      Likes Given
      26

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      kwa ulivyowaslisha ni cdm,wameonesha kufanya kazi ya uongozi.infact ndio wanaongoza nchi kwa sasa,fanya utafiti.

    6. #24
      richone's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 137
      Rep Power : 450
      Likes Received
      32
      Likes Given
      9

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Chadema

    7. #25
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 560
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Sisi vijana tuliojitambua kuwa tunanyonywa na mkoloni mweusi tutaichugua chadema hata wakimuweka mtu wa lasaba ilimradi ajue kuonge na kutoa maamuzi na kuchekacheka kama Vasco daggama wa magamba.

    8. Miaka 50

    9. #26
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 498
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Tunaangalia hali kama ilivyo kwa sasa, harafu tuna extrapolate the same ifikapo 2015, njia hii hutumika kujenga ufahamu wa mambo wakati mwafaka unapofika. Ili kujua mafanikio au vikwazo kutoka sasa hadi 2015, ikiwa matokeo ya 2015 yasipofanana na ya 2012 Juni. If you have to vote today, which political party would you vote for between CCM & CHADEMA, not a person please.

      And WHY? in bullet points. MORE FEEDBACK WOULD HIGHLY BE APPRECIATED, Tunasubiri maoni zaidi.

    10. #27
      robert josephat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 604
      Rep Power : 472
      Likes Received
      74
      Likes Given
      278

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Inshaala mwenyezi mungu akijalia atatupatia serikali ya mseto kwani ni yeye pekee anayefahamu nini maana ya serikali za wanadamu na mamlaka zijazo.Hivyo ndugu zangu tuwe na subila katika hili kwani siwezi nikasema ccm ama cdm ni mshindi 2015 ila kwa sasa ni wakati mzuri wa kupima uajibikaji wa pande zote na si propaganda.

    11. #28
      robert josephat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 604
      Rep Power : 472
      Likes Received
      74
      Likes Given
      278

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Quote By EL MAGNIFICAL
      hebu 2ngoje katiba mpyaa endapo itaondoa madaraka mengi kwa raisi kuwe na uhuru wa mihili mi3 ya nchi, mawaziri wasiwe wabunge nk ndo nitatizama chama kipi kina mgombea strong ila kama katiba ijayo itafanana na hii ya sasa ccm hata wamsimamishe mtume mohamed kura itaenda cdm tu.

      ukimwona mwenzako ananyolewa...............(jibu rejea..muhafaka...!)

    12. #29
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 498
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Quote By POMPO
      tuanzie kwanza kwenye bajet ya mwaka huu ni trion15 pia tua maoni ya katiba mpya
      MNYIKA ANGEKUWA DHAIFU ZAIDI KAMA ANGEFUTA KAULI YAKE BUNGENI.
      1. Kama udhaifu ni kuto kujua kwa nini wananchi wako ni maskini
      wakati wako nchi tajiri. Mnyika yuko sahihi.

      2. Kama huwezi kumuwajibisha au kuona madudu ya katibu mkuu au katibu
      kiongozi mpaka bunge lishikilie bango na kushinikiza wang'oke ndio
      uzinduke kufanya maamuzi basi mnyika yuko sahihi.

      3. Kama kweli watu wamelibia taifa kupitia dili za magumashi halafu
      una watangazia warejeshe fedha ili wasichukuliwe hatua na wakati
      huohuo vibaka wanauwawa au kuchomwa moto kwa kuiba kuku na simu basi
      ni dhahiri kuna udhaifu wa kiungozi. Mnyika yuko sahihi.

      4. Kama ndege inaingia kwenye anga ya nchi yako na kubeba wanyama
      kupeleka Arabuni bila hatua zozote kuchukuliwa ni dhahiri kuna udhaifu
      wa kimfumo ulio kubuhu serikalini. Mnyika yuko sahihi.

      5. Kama rais anafunga safari kwenda kuomba misaada na wakati huohuo
      misaada anayopewa hailingani thamani na raslimali zinazo vunwa kwenye
      nchi yake basi Mnyika yuko sahihi.

      6. Kama rais anadiriki kutoa ahadi 99 ambazo thamani yake ni zaidi ya
      trilion 9 huku akijua kuwa hazitekelezeki ni hadaa kwa wananchi, chama
      na serikali. Mnyika yuko sahihi.

      7. Kama taasisi ya Ikulu na mfumo wake wa utawala umehusika kuingilia
      maamuzi ya mhimili wa haki kwa kutoa hukumu ya upendeleo ili kumkomoa
      au kumnyang'anya mbunge wadhifa kama jinsi ilivyo lalamikiwa. Mnyika
      yuko sahihi.

      8. Kama serikali inatenga 70% kwa matumizi kwenye bajeti yake na 30%
      kwenye maendeleo. Ni dhahiri kuwa ni aina ya serikali dhaifu yenye
      viongozi wavivu wa kufikiri.

    13. #30
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,494
      Rep Power : 4638
      Likes Received
      1260
      Likes Given
      880

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      CDM daima Mungu tuweke hai.

    14. #31
      Emma.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 521
      Likes Received
      111
      Likes Given
      0

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Ukitoa kwa ccm kura itakuwa imeharibika chadema mwendo mdundo

    15. #32
      ckcacana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 363
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      imefika wakati wa watanzania kuamka toka usingizini wa kifikira.kama kweli tunahitaji maendeleo basi hatuna budi kubadili upepo mwelekeo.Huwezi kuongozwa na itikadi za chama kimoja miaka yote.Mbona wao hawamwaachi mwenyekiti huyohuyo kwenye chama chao aongoze miaka yote?Kama hili haliwezekani basi hata ccm haiwezekani kuongoza miongo yote.Muda wa ccm umeisha tunahitaji mabadiliko.nafikiri hadi hapo utajua kura yangu uiweke wapi mwana JF.

    16. #33
      Snitch's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd October 2011
      Posts : 163
      Rep Power : 415
      Likes Received
      36
      Likes Given
      6

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Quote By jackson kanene
      chadema' coz ndicho chama chenye uwezo wa kumuondoa maskin wa tz hapa alipo-na rais atakae toka chadema atakidhi matarajio ya wananchi.
      Umechemka siasa ni propaganda ,na wala sio chadema.wote wanafiki tu,njaa zinawasumbua,Kelele nyingi utafikiri Wanabakwa,na wala hawawezi kukidhi matarajio ya wanna nchi,porojo nyngi kwa kutaka kura tu na bado tuendelee kuteseka .

    17. #34
      big niga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 370
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Quote By Snitch
      Umechemka siasa ni propaganda ,na wala sio chadema.wote wanafiki tu,njaa zinawasumbua,Kelele nyingi utafikiri Wanabakwa,na wala hawawezi kukidhi matarajio ya wanna nchi,porojo nyngi kwa kutaka kura tu na bado tuendelee kuteseka .
      ...jack unachekesha sana,propaganda za siasa zinakuchanganya tulia na famila yako ili mradi unapata mlo wa mchana na usiku

    18. #35
      Vanpopeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Posts : 464
      Rep Power : 490
      Likes Received
      17
      Likes Given
      7

      Default

      Right right!!!
      Quote By Mimibaba
      Aliiba kura na kubaka democrasia

    19. #36
      UZEE MVI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th February 2011
      Posts : 158
      Rep Power : 451
      Likes Received
      23
      Likes Given
      84

      Default Re: Je UCHAGUZI MKUU 2015 Utaipa CCM au CHADEMA KURA YAKO? Kwanini?

      Quote By Elli
      Nitaipigia kura CHADEMA hata kama wakisimamisha JIWE
      what if akasimama mtu mwingine?
      The greatest want in the world is the want of men. Men who will not be bought or sold.

    20. #37
      KAKA A TAIFA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th April 2011
      Posts : 542
      Rep Power : 517
      Likes Received
      62
      Likes Given
      3

      Default Utabiri uchaguzi 2015

      Kama mjuavyo hali ngumu ya maisha kwa watanzania walio kwenye ulalahoi wa kutupwa itaendelea kushika kasi,kwa kwa sasa shilingi 10,000= ni sawa na1,000/=.ifkapo 2015 maisha yatakuwa kama tanuru.kwa uchache mtanzania mwenye akili timamu atajua achague nini kati ya matajiri na walala hoi.naombeni michango yenu.ccm kusine

    21. #38
      GRILL's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th November 2007
      Posts : 101
      Rep Power : 606
      Likes Received
      11
      Likes Given
      2

      Default Re: Utabiri uchaguzi 2015

      Njoo na data za kujustify hiyo hoja yako vinginevyo ondoa

    22. #39
      TATOO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 78
      Rep Power : 362
      Likes Received
      9
      Likes Given
      35

      Post CCM 2015 haipo na kama itakuwepo ni CCM mfu...

      Amini usiamini kama C.C.M itakuwa imelazimisha kujitangazia urais lakini ukweli upo wazi kwamba wananchi hawaitaki serikali ya c.c.m so nyie Akina Manyanya fanyeni hayo mkijua kwamba huo ndio mwisho wenu.... sisi tunaona na hukumu yenu ni 2015..

    23. #40
      Jomy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 112
      Rep Power : 382
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By TATOO
      Amini usiamini kama C.C.M itakuwa imelazimisha kujitangazia urais lakini ukweli upo wazi kwamba wananchi hawaitaki serikali ya c.c.m so nyie Akina Manyanya fanyeni hayo mkijua kwamba huo ndio mwisho wenu.... sisi tunaona na hukumu yenu ni 2015..
      Kwa kweli muda muda mwingine unaweza kuwa timam lakini ukajifanya chizi kwa maslah yako binafc, napata shaka wanaoipenda CCM kwa wakati huu wako serious au wana nia nyngne.. Kweli wafu watazika wafu wenzao

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...