Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MAONI:Serikali ilivyoshughulikia vurugu za kanisa la EFATHA vs UAMSHO

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,909
      Rep Power : 1701
      Likes Received
      1366
      Likes Given
      284

      Default MAONI:Serikali ilivyoshughulikia vurugu za kanisa la EFATHA vs UAMSHO

      mimi sina kipaji cha uchambuzi au upembuzi yakinifu hivyo ningependa kusikia maoni ya great thinkers juu ya suala hili.
      Je tunaonaje responce ya serikali dhidi ya chokochoko ya vikundi hivi?
      Je kuna usawa katika kudhibiti ukiukwaji wa sheria uliofanywa na vikundi hivi?
      Je intelijensia ya polisi imefanikiwa kujua malengo ya vikundi hivi?

      Naomba tuwe fair na huru kama ilivyo tabia yetu.tusionee dini au chama flani


    2. #2
      ismailo.nn's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 4th June 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 356
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: MAONI:Serikali ilivyoshughulikia vurugu za kanisa la EFATHA vs UAMSHO

      Ni jambo la kusikitisha sana kama serikali inashindwa kufanya maamuzi kuhusiana na suala hilo. Wakristo wanapofanya kosa fulan ama wasifanye wanaandamwa na hao wanaoitwa vyombo vya usalama, ninashindwa kuelewa mwisho wake utakuwa nini! Je itakuwa ni vita ya kidini imeshaanza au maana yake nini serikali kulifumbia macho jambo nzito kama hilo?

    3. #3
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,539
      Rep Power : 31584
      Likes Received
      8360
      Likes Given
      8708

      Default Re: MAONI:Serikali ilivyoshughulikia vurugu za kanisa la EFATHA vs UAMSHO

      mbona kama unataka kuchanganya mtindi na soda?
      huwezi fananisha watu wanaodai kaeneo kadogo kama kale ka Mang'ula na wale wanaodai jiardhi kubwa la visiwa vya Unguja na Pemba.
      Mathalani tujenge fikra kuwa makundi haya yote mawili yamekiuka sheria na yawe yanakabiliwa na shtaka au mashtaka. Ni wazi ndugu zangu wa UAMSHO wakashtakiwa kwa kosa la uhaini wakati wale wa pale EFATHA wakastakiwa kwa kosa la madai.
      Umehoji kuhusu uhalali wa ushughulikiaji wa vurugu zilizotoke. Mkuu labda rudi nyuma kidogo na uangalie madai ya vikundi hivi viwili. Efatha wao wanadai ardhi waliyokwisha inunua na vielelezo stahiki wanavyo,vilevile mtu wanayemshutumu ni Afro Plus.
      Kwa upande mwingine UAMSHO wao kidogo ni ngumu kujua nini wanataka. Kwanza ni kikundi chenye usajili wa kidini, (hii ni kwa mujibu wa hotuba za Shein na Kikwete) ambacho kinadai uhuru wa Zanzibar(kuvunjwa kwa Muungano) au kwa lugha nyepesi ni kujitenga kutoka katika JMT.
      Kwa haraka tu utaona miono na malengo tofauti baina ya madai, uhalali wa,kudai na jinsi ya kudai.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...