2015 Kupitia Chama Chake.
2015 Kupitia Chama Chake.
Kama vigezo vya kuwa Rais ni Lazima uwe Mwizi kama JK na CCM kweli hivyo vigezo hana.
Lakini kama kigezo ni kuwaletea wananchi maendeleo, kuwaunganisha watanzania kuwa wamoja na wakaipenda nchi yao, Kutumia rasilimali za Taifa kwa faida ya wazalendo, hivyo vigezo anavyo tena beyond expectation!
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
Nimeongea na Mh Lema kuhusu hii hoja na hivi ndivyo alivyonitumia kwenye mail yangu
" Unafiki katika siasa ni mkakati wa kisiasa wa kutafuta hekima na ustarabu ambayo chanzo chake ni uoga , Rais ni mtu yeyote anayependa watu wake kuliko madaraka yake ,kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa rais kama sifa ya kwanza ni upendo wa dhati kabla ya madaraka , lakini mtu makini awezi kufikiria kuwa rais kama cheo na sifa bali utumishi uliotukuka usio na hofu katika mapenzi ya kweli katika Taifa lake na kuwa Rais ni ndoto kwa yeyote raia wa Nchi husika kama anataka wala ukatazwi ni ndoto kubwa na kufikiri hivyo ni sawa na ni maono , lakini ni afadhali kuwa masikini mwenye utu kuliko tajiri katili , hivyo ndoto ya kwanza yakiongozi makini si kuwa Rais wa nchi bali ni kuwa mtumishi wa safi wa familia yake na jamii yake na kama ukianza kufikiri hivi basi hata usipokuwa Rais maombi yako kwa Mungu yatakuwa ni Nchi yako kupata Rais mwema na mwaminifu" Lema Mp
tuheshm mawzo ya kila mtu, bila kujali yanatoka kwa mjinga kias gani....
Kwa nini polisi huwa wanamwandama sana Lema kipenzi cha watu?!
wizi na uporaji wa magari,uvutaji bangi,kutumia mistari ya bibklia kuhamasisha maandamano na kuchochea vurugu........huyo ndio rais unayemtaka wewe.
Maoni yake kuhusu hii hoja:
Unafiki katika siasa ni mkakati wa kisiasa wa kutafuta hekima na ustarabu ambayo chanzo chake ni uoga , Rais ni mtu yeyote anayependa watu wake kuliko madaraka yake ,kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa rais kama sifa ya kwanza ni upendo wa dhati kabla ya madaraka , lakini mtu makini awezi kufikiria kuwa rais kama cheo na sifa bali utumishi uliotukuka usio na hofu katika mapenzi ya kweli katika Taifa lake na kuwa Rais ni ndoto kwa yeyote raia wa Nchi husika kama anataka wala ukatazwi ni ndoto kubwa na kufikiri hivyo ni sawa na ni maono , lakini ni afadhali kuwa masikini mwenye utu kuliko tajiri katili , hivyo ndoto ya kwanza yakiongozi makini si kuwa Rais wa nchi bali ni kuwa mtumishi wa safi wa familia yake na jamii yake na kama ukianza kufikiri hivi basi hata usipokuwa Rais maombi yako kwa Mungu yatakuwa ni Nchi yako kupata Rais mwema na mwaminifu" Lema Mp
Maoni yake kuhusu hii hoja:
Unafiki katika siasa ni mkakati wa kisiasa wa kutafuta hekima na ustarabu ambayo chanzo chake ni uoga , Rais ni mtu yeyote anayependa watu wake kuliko madaraka yake ,kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa rais kama sifa ya kwanza ni upendo wa dhati kabla ya madaraka , lakini mtu makini awezi kufikiria kuwa rais kama cheo na sifa bali utumishi uliotukuka usio na hofu katika mapenzi ya kweli katika Taifa lake na kuwa Rais ni ndoto kwa yeyote raia wa Nchi husika kama anataka wala ukatazwi ni ndoto kubwa na kufikiri hivyo ni sawa na ni maono , lakini ni afadhali kuwa masikini mwenye utu kuliko tajiri katili , hivyo ndoto ya kwanza yakiongozi makini si kuwa Rais wa nchi bali ni kuwa mtumishi wa safi wa familia yake na jamii yake na kama ukianza kufikiri hivi basi hata usipokuwa Rais maombi yako kwa Mungu yatakuwa ni Nchi yako kupata Rais mwema na mwaminifu" Lema Mp Edit Post Reply Reply With Quote
wizi na uporaji wa magari,uvutaji bangi,kutumia mistari ya bibklia kuhamasisha maandamano na kuchochea vurugu........huyo ndio rais unayemtaka wewe.
wewe sikiliza "kama misitari ya biblia inaweza kuleta maandamano mbwizi na uporaji wa magari,uvutaji bangi,kutumia mistari ya bibklia kuhamasisha maandamano na kuchochea vurugu........huyo ndio rais unayemtaka wewe.
ona nyie ccm mnawachungaji wengi sana kwenye chama chenu kwanini msitumie mistari hiyo kupinga maandamano , akili ndogo na wivu kidogo ndio unaokusumbua , na kama ni wizi mbona serikali ya jk haijawahi kumkamata na kosa lolote , acha uzushi wewe ni mtoto wa Zombe au
soma anavyonena hapa :
Ameacha ile kazi ya Master key na kuuza unga.
CHADEMA NI FREEMASON.
WAMEANZISHA MTANDAO WA KIGAIDI.
Follow Us Here