Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Godbless Lema Agombee Urais

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 50
    1. #1
      SolarPower's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 223
      Rep Power : 466
      Likes Received
      24
      Likes Given
      8

      Default Godbless Lema Agombee Urais

      2015 Kupitia Chama Chake.

    2. Study Abroad

    3. #21
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,147
      Rep Power : 24266
      Likes Received
      4659
      Likes Given
      2294

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By Mzee2011
      Hana vigezo vya kuwa raisi.
      Kama vigezo vya kuwa Rais ni Lazima uwe Mwizi kama JK na CCM kweli hivyo vigezo hana.

      Lakini kama kigezo ni kuwaletea wananchi maendeleo, kuwaunganisha watanzania kuwa wamoja na wakaipenda nchi yao, Kutumia rasilimali za Taifa kwa faida ya wazalendo, hivyo vigezo anavyo tena beyond expectation!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    4. #22
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,147
      Rep Power : 24266
      Likes Received
      4659
      Likes Given
      2294

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By RealMan
      Si kila anayefanya vema ngazi ya chini anafaa ama anaweza kuperform ngazi ya juu.

      Kwa kumlinganisha na JK sawa lakini kwa maana ya Urais wa nchi Lema hafikii kimo
      Lema alishawahi kusema kuwa hata baba yake angelilkuwa na Coasters za kwenda moshi, Kikwete asingekuwa sifa ya kuwa dereva!

      Lakini Tukumbuke Andrew Rajiolina wa Madagascar
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    5. #23
      takeurabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd July 2011
      Posts : 256
      Rep Power : 451
      Likes Received
      37
      Likes Given
      0

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By Ndachuwa
      Uraisi wa nini (1) Vyama vya michezo, (2) NGO, (3) Pioneering unrest.....fafanua.
      Rais wa Chama cha Majambazi Tanzania (CMT)

    6. #24
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,147
      Rep Power : 24266
      Likes Received
      4659
      Likes Given
      2294

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By takeurabu
      Rais wa Chama cha Majambazi Tanzania (CMT)
      Kina usajili?
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    7. #25
      kilewo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Posts : 514
      Rep Power : 577
      Likes Received
      622
      Likes Given
      40

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Kama wananchi wa ARUSHA wamemchagua kuwaongoza kwanini akose vigezo vya kuwa Rais? hebu toa vigezo vya Rais anavyotakiwa kuwanavyo.
      Mungi likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1083
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By SolarPower
      2015 Kupitia Chama Chake.
      Hiyo ni association gani?

    10. #27
      Martin Jr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 103
      Rep Power : 5200
      Likes Received
      88
      Likes Given
      0

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Nimeongea na Mh Lema kuhusu hii hoja na hivi ndivyo alivyonitumia kwenye mail yangu

      " Unafiki katika siasa ni mkakati wa kisiasa wa kutafuta hekima na ustarabu ambayo chanzo chake ni uoga , Rais ni mtu yeyote anayependa watu wake kuliko madaraka yake ,kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa rais kama sifa ya kwanza ni upendo wa dhati kabla ya madaraka , lakini mtu makini awezi kufikiria kuwa rais kama cheo na sifa bali utumishi uliotukuka usio na hofu katika mapenzi ya kweli katika Taifa lake na kuwa Rais ni ndoto kwa yeyote raia wa Nchi husika kama anataka wala ukatazwi ni ndoto kubwa na kufikiri hivyo ni sawa na ni maono , lakini ni afadhali kuwa masikini mwenye utu kuliko tajiri katili , hivyo ndoto ya kwanza yakiongozi makini si kuwa Rais wa nchi bali ni kuwa mtumishi wa safi wa familia yake na jamii yake na kama ukianza kufikiri hivi basi hata usipokuwa Rais maombi yako kwa Mungu yatakuwa ni Nchi yako kupata Rais mwema na mwaminifu" Lema Mp

    11. #28
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,252
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      55

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By SolarPower
      2015 Kupitia Chama Chake.
      una maana ya urais wa arusha mjini au?kweli watu wa arusha mmepania safari hii "zamu yenu"

    12. #29
      KIM KARDASH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 4,252
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      55

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By Mungi
      Kina usajili?
      naona ndo anashughulikia,haichukuagi muda kuupata!

    13. #30
      spartacus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 354
      Rep Power : 508
      Likes Received
      100
      Likes Given
      50

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      tuheshm mawzo ya kila mtu, bila kujali yanatoka kwa mjinga kias gani....

    14. #31
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,288
      Rep Power : 2014
      Likes Received
      582
      Likes Given
      76

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Kwa nini polisi huwa wanamwandama sana Lema kipenzi cha watu?!

    15. #32
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,966
      Rep Power : 0
      Likes Received
      223
      Likes Given
      1

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      wizi na uporaji wa magari,uvutaji bangi,kutumia mistari ya bibklia kuhamasisha maandamano na kuchochea vurugu........huyo ndio rais unayemtaka wewe.

    16. #33
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,083
      Rep Power : 14279
      Likes Received
      3972
      Likes Given
      3243

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Maoni yake kuhusu hii hoja:

      Unafiki katika siasa ni mkakati wa kisiasa wa kutafuta hekima na ustarabu ambayo chanzo chake ni uoga , Rais ni mtu yeyote anayependa watu wake kuliko madaraka yake ,kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa rais kama sifa ya kwanza ni upendo wa dhati kabla ya madaraka , lakini mtu makini awezi kufikiria kuwa rais kama cheo na sifa bali utumishi uliotukuka usio na hofu katika mapenzi ya kweli katika Taifa lake na kuwa Rais ni ndoto kwa yeyote raia wa Nchi husika kama anataka wala ukatazwi ni ndoto kubwa na kufikiri hivyo ni sawa na ni maono , lakini ni afadhali kuwa masikini mwenye utu kuliko tajiri katili , hivyo ndoto ya kwanza yakiongozi makini si kuwa Rais wa nchi bali ni kuwa mtumishi wa safi wa familia yake na jamii yake na kama ukianza kufikiri hivi basi hata usipokuwa Rais maombi yako kwa Mungu yatakuwa ni Nchi yako kupata Rais mwema na mwaminifu" Lema Mp

    17. #34
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,083
      Rep Power : 14279
      Likes Received
      3972
      Likes Given
      3243

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Maoni yake kuhusu hii hoja:

      Unafiki katika siasa ni mkakati wa kisiasa wa kutafuta hekima na ustarabu ambayo chanzo chake ni uoga , Rais ni mtu yeyote anayependa watu wake kuliko madaraka yake ,kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa rais kama sifa ya kwanza ni upendo wa dhati kabla ya madaraka , lakini mtu makini awezi kufikiria kuwa rais kama cheo na sifa bali utumishi uliotukuka usio na hofu katika mapenzi ya kweli katika Taifa lake na kuwa Rais ni ndoto kwa yeyote raia wa Nchi husika kama anataka wala ukatazwi ni ndoto kubwa na kufikiri hivyo ni sawa na ni maono , lakini ni afadhali kuwa masikini mwenye utu kuliko tajiri katili , hivyo ndoto ya kwanza yakiongozi makini si kuwa Rais wa nchi bali ni kuwa mtumishi wa safi wa familia yake na jamii yake na kama ukianza kufikiri hivi basi hata usipokuwa Rais maombi yako kwa Mungu yatakuwa ni Nchi yako kupata Rais mwema na mwaminifu" Lema Mp Edit Post Reply Reply With Quote

    18. #35
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,083
      Rep Power : 14279
      Likes Received
      3972
      Likes Given
      3243

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      wizi na uporaji wa magari,uvutaji bangi,kutumia mistari ya bibklia kuhamasisha maandamano na kuchochea vurugu........huyo ndio rais unayemtaka wewe.

      wewe sikiliza "kama misitari ya biblia inaweza kuleta maandamano mbwizi na uporaji wa magari,uvutaji bangi,kutumia mistari ya bibklia kuhamasisha maandamano na kuchochea vurugu........huyo ndio rais unayemtaka wewe.
      ona nyie ccm mnawachungaji wengi sana kwenye chama chenu kwanini msitumie mistari hiyo kupinga maandamano , akili ndogo na wivu kidogo ndio unaokusumbua , na kama ni wizi mbona serikali ya jk haijawahi kumkamata na kosa lolote , acha uzushi wewe ni mtoto wa Zombe au

      soma anavyonena hapa :

    19. #36
      mokomoko's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 384
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By katikati
      wizi na uporaji wa magari,uvutaji bangi,kutumia mistari ya bibklia kuhamasisha maandamano na kuchochea vurugu........huyo ndio rais unayemtaka wewe.
      kwa hiyo mwizi ni lema tu na wale waliotajwa na mrema kufukia wa2 migodini ili kupata chochote ki2 wao hawana makosa? Mbona pamoja na hayo unanii wamepata! Kila mtu ni mwizi ila tofauti ni level

    20. #37
      chuki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 519
      Rep Power : 518
      Likes Received
      49
      Likes Given
      36

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Ameacha ile kazi ya Master key na kuuza unga.
      CHADEMA NI FREEMASON.
      WAMEANZISHA MTANDAO WA KIGAIDI.

    21. #38
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,112
      Rep Power : 2413
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By Mzee2011
      Hana vigezo vya kuwa raisi.
      Kwani vinapimwa je? au mpaka uwe fisadi?

    22. #39
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,112
      Rep Power : 2413
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By data
      aache kuvuta bangi kwanza..
      Wewe ndo unamuuzia nini?

    23. #40
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,112
      Rep Power : 2413
      Likes Received
      935
      Likes Given
      377

      Default Re: Godbless Lema Agombee Urais

      Quote By Kilembwe
      Aaaaa lakini sio Lema
      Nani sasa fisadi Lowasa?

    24. Miaka 50
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Godbless Lema hakawishi....!
      By Sizinga in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 23
      Last Post: 21st July 2011, 17:04
    2. Replies: 2
      Last Post: 21st May 2011, 22:18
    3. Dr. Slaa agombee urais 2015, watanzania tumuunge mkono
      By Mkombozi in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 19
      Last Post: 23rd February 2011, 15:48

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...