Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 79
    1. #1
      Piere. Fm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Location : Tanzania.
      Posts : 214
      Rep Power : 457
      Likes Received
      34
      Likes Given
      25

      Default Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      waheshimiwa bungeni kumewaka moto mheshimiwa Msigwa alikuwa akichangia wizara ya utumishi wa uma awaelezea ukwel usalama wa Taifa kuwa wamekuwa usalama wa CCM na ni si usalama wa taifa.

      Anasema wamekuwa wamekuwa wakikandamiza vyama vya upinzan wakati rasilimal za Taifa kama wanyama hai zaid ya 120 wakiibiwa wakati usalama wa Taifa wapo. Aongelea pia kuhusu Suala la rushwa kwa Dr Hosea kunyimwa makucha katika kukamata vigogo.
      Saint Ivuga and AirTanzania like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Technology's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Abbottabad, Pakistan
      Posts : 426
      Rep Power : 520
      Likes Received
      29
      Likes Given
      95

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      endelea kutuletea habari

    4. #3
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 605
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Tatizo hakuna anaemsikiliza. Nchi hii kilichobakia ni kuchukua hatua stahili.
      Gagurito likes this.
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    5. #4
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Yeah,i heard him,mama akamwambia kuwa mzuka wa gospel umepanda.ameongea ukweli kabisa........tusubiri kivip watamjibu
      Gagurito likes this.

    6. #5
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Mnyika nae........amezoza

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Piere. Fm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Location : Tanzania.
      Posts : 214
      Rep Power : 457
      Likes Received
      34
      Likes Given
      25

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      sasa hivi ni mheshimiwa Mnyika anaendendelea mheshimiwa Mnyika kaongelea pesa nyingi zinavyotumika katika safar za bwa mkubwa, afafanua zaidi kuhusu kwa kurefer bajeti ya zambia ambayo imeelezea hadi safari za nje atakazofanya Rais.

    9. #7
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2589
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Quote By Piere. Fm
      sasa hivi ni mheshimiwa Mnyika anaendendelea mheshimiwa Mnyika kaongelea pesa nyingi zinavyotumika katika safar za bwa mkubwa, afafanua zaidi kuhusu kwa kurefer bajeti ya zambia ambayo imeelezea hadi safari za nje atakazofanya Rais.
      Codes and ethics za usalama wa taifa zinategemea umefundishwa wapi, kama ni USSR basi usalama ni wa chama. Kama ni Israel basi unapata ile cream ya usalama wa taifa. Sasa sijui kama hawa jamaa wa CCM wanaelewa kitu. Maana hata documenti nyingine chafu za kifisadi bado zinaitwa nyara za serikali. Usalama wa taifa unatakiwa kuexpose all dirty documents. Labada hawana hata policy mbalimbali za kuwasaidia katika utendajia wao wa kila siku. Kwa kweli usalama wa taifa/CCM bongo ipo kazi.

    10. #8
      MAGAMBA MATATU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 391
      Rep Power : 486
      Likes Received
      202
      Likes Given
      1

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Hata mbunge wa CCM kasema USALAMA WA TAIFA siyo wao ni wa CHADEMA kwani hawafanyi kazi kwa manufaa ya taifa.
      Kaa la Moto and Gagurito like this.

    11. #9
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Huyu anaeisfia TAKUKURU SI MZIMA,NADHAN NI VITI MAALUM

    12. #10
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Heeee,anasema tuacheni mambo ya MTANDAO????WIKILEAKS IMEIFUMUA HATA AMERIKA

    13. #11
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,668
      Rep Power : 975
      Likes Received
      580
      Likes Given
      10

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Anaitwa Munde Tambwe Abdalah. Toka viti maalum magamba. Inaonyesha elimu dunia imempitia mbali sana. Maana anaongea pumba tupu!

    14. #12
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,024
      Rep Power : 9492
      Likes Received
      3145
      Likes Given
      1224

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Usalama wa Taifa nao wana njaa na wao wanaganga njaa. Masrahi yao kwanza ya Taifa baadae ndo ilivyo
      AirTanzania likes this.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    15. #13
      kbhj's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Posts : 9
      Rep Power : 400
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By timbilimu
      Anaitwa Munde Tambwe Abdalah. Toka viti maalum magamba. Inaonyesha elimu dunia imempitia mbali sana. Maana anaongea pumba tupu!
      Huyu ni mke wa tambwe hiza aliyekuwa mkurugenzi wa propaganda ccm. Unaweza kupata picha ya hiyo familia jinsi ilivo.
      Aza, Gagurito and AirTanzania like this.

    16. #14
      Bu'yaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 376
      Rep Power : 3938
      Likes Received
      110
      Likes Given
      59

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Kuna mtu wa CCM anatema cheche za pumba sijapata kuona, Selemani Jafo wa Kisarawe kadai safari za Kikwete ni sawa kabisa kwa sababu Mtume alikuwa akisafiri sana kufanya study tour, pumba fulani hata hazieleweki, hivyo kawashutumu wanaomkosoa Kikwete kwa safari.
      BAK, Saint Ivuga, Mabagala and 2 others like this.

    17. #15
      Hakikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Posts : 1,097
      Rep Power : 2651
      Likes Received
      147
      Likes Given
      18

      Default

      Quote By kbhj
      Huyu ni mke wa tambwe hiza aliyekuwa mkurugenzi wa propaganda ccm. Unaweza kupata picha ya hiyo familia jinsi ilivo.
      Hapo ni pumba kwenda mbele.
      Gagurito likes this.

    18. #16
      Kayoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 427
      Rep Power : 489
      Likes Received
      94
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Bajabiri
      Huyu anaeisfia TAKUKURU SI MZIMA,NADHAN NI VITI MAALUM
      anaitwa MUNDE TAMBWE ABDALAH, vtm maalumu Tabora ana kashfa kbaoo za ubadhirifu wa pesa za umma.

    19. #17
      Kayoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 427
      Rep Power : 489
      Likes Received
      94
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By kbhj
      Huyu ni mke wa tambwe hiza aliyekuwa mkurugenzi wa propaganda ccm. Unaweza kupata picha ya hiyo familia jinsi ilivo.
      unasemaje mkuu.! Ama kweli wahenga walisena "LIKE HUSBAND LIKE WIFE"
      Saint Ivuga likes this.

    20. #18
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,317
      Rep Power : 1998
      Likes Received
      2114
      Likes Given
      7790

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Quote By Bu'yaka
      Kuna mtu wa CCM anatema cheche za pumba sijapata kuona, Selemani Jafo wa Kisarawe kadai safari za Kikwete ni sawa kabisa kwa sababu Mtume alikuwa akisafiri sana kufanya study tour, pumba fulani hata hazieleweki, hivyo kawashutumu wanaomkosoa Kikwete kwa safari.
      yeah yeah yeah! napenda wanavyofuka moshi hao wabunge wa magamba,
      Mzee wa Rula likes this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    21. #19
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Bungeni kumechachamaa, Msigwa awambia ukweli Usalama wa Taifa kuwa ni usalama wa CCM

      Maji marefu.......anamsifia HOSEA,na anataka mkurugenz wa wa takukuru na TAKUKURU WAONGEZWE PESAAA.......

    22. #20
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Maji marefu anadai kuwa anatembea sana na jk,rais anajitahid sana KUOMBA MISAADA
      Quote By Fidel80
      Usalama wa Taifa nao wana njaa na wao wanaganga njaa. Masrahi yao kwanza ya Taifa baadae ndo ilivyo

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Hawa hawastahili kuwa 'Usalama wa Taifa'
      By Consigliere in forum Jamii Intelligence
      Replies: 6
      Last Post: 21st July 2011, 20:31
    2. Usalama wa taifa=Usalama wa CCM=Maangamizi kwa Upinzani
      By mabadilikosasa in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 6
      Last Post: 8th June 2011, 19:14
    3. Uchawi’ bungeni wafika Usalama wa Taifa, Polisi
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 11
      Last Post: 16th June 2008, 16:10

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...