Habari wanajf,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni self taught web/wordpress developer
Natafuta kazi kama website/wordpress developer
Niko tayari kufanya kama freelancer,part time, remote au full time.
Kama unamjua mtu yeyote mwenye connection ya kazi, au unaijua web development...
Naombeni ushuhuda kwa wafanyakazi wa ADSENSE waliotumia hizi platform mbili WORDPRESS & BLOGGER ipi ukitumia Ina support kupata mpunga mwingi kwenye kudisplay matangazo ya adsense tu.
Habari za wakati wote waungwana , natumai wote wazima.
Mambo vipi wakali wa hizi kazi za SEO.
Rejea title hapo juu nimekuwa nikitengeneza makala nyingi kwenye niche mbali mbali lakini imekuwa kipengele kurank #1 position pale google Yaani narank position ya 15 huko.
Wadau hivi ni niche zipi ambazo hazina competition kubwa kwamba hata sisi blogger...
Hello Tech,
Someone to help please. I'm using WordPress but recently this massage appared.
"This site can’t provide a secure connection
afyapin.com uses an unsupported protocol.
ERR_SSL_VERSION_OR_CIPHER_MISMATCH"
I cant even login in my site admin. PLEASE HELP 🤝.
Kwa wamiliki wa website na web apps kuna changamoto ambazo unaweza kupitia katika uendeshaji wako. Mara nyingi hutokana na kutokupata maboresho mapya kwa wakati sahihi.
Kutokana na changamoto hizo tunatatua matatizo yafuatayo;
Database
1. Database cleanup
2. Database optimisation
3. Database...
wakuu poleni n majukumu.
wataalaamu kama kawaida tusaidiane hapa wenye uzoefu, hivi ni bora ukatumia premium template ya blogger then ukatumia na custom domain au uhamie tu moja kwa moja wordpress which is better?
Je Umewahi kusikia kuhusu Wordpress?
Kama hujawahi basi ni kujuza tu kwamba wordpress ni content management system(CMS) kwa ajili ya website.CMS ni mfumo maalum ambao unamwezesha mtengenezaji wa tovuti kusimamia maudhui ya tovuti yake kwa urahisi.Wordpress ni nzuri sana kwa kusimamia blogs...
Abdul mobile payment plugin, hii haijawahi tokea. kwanza kama umeshawahi kujiuliza ikiwa kuna uwezekano wa mtanzania kutengeneza wordpress plugin, yenye kiwango cha hali ya juu kama hii ya kufanya malipo mtandaoni. Jibu ni kwamba yupo na anaitwa Abdul Bunju.
Kwa historia fupi. Abdul Bunju ni...
Je, wewe ni Kijana Mtanzania ambaye anapenda kujifunza kuhusu WordPress Hosting na namna ambavyo unaweza kujiajiri kwa kutengeneza website katika Platform ya wordPress?
Kama Jibu ni ndiyo basi fursa hii inakuhusu. Utajifunza yafuatayo:
Basic Introduction to Websites and Webhosting...
Inawezekana unatamani biashara au kampuni yako kuwa na website mtandaoni, lakini huna fedha za kutosha kulipia gharama za kutengeneza website. Hivyo basi kuna njia mbadala ambayo binafsi naiona ina uafadhali katika kutengeneza website Bure.
Maana, kuna njia nyingi lakini, katika hizo nyingi zao...
Habari zenu ndugu!
Nimedownload besa theme nulled. Hapa nafanya mazoezi ya kutengeza ecommerce website. Kwenye desktop kila kitu nimefanikisha nnavotaka, shida ipo kwenye mobile version.
Yaani nikiweka kwenye mobile view, hio site ina display header nyengine kabisa ambayo hata haifanani na...
Tunatoa huduma ya kutengeneza website (tovuti) kwa bei nafuu. Tunahudumia wateja mikoa yote na hata nje ya nchi.
Malipo ya kutengeneza tovuti unalipa baada ya kazi kukamilika
Tumenefanya kazi na wateja kutoka mikoa mingi ya Tanzania na nje ya nchi pia (Canada & Sweden).
Bei > TZS 450,000...
Wakuu nawasalimu na natumaini wote ni wazima.
Mimi si web developer lakini Nina uzoefu kidogo wa kutengeneza websites kwa kutumia themes za WordPress. Nahitaji kutengeneza website inayofanana na hii: www.world-companies.com lakini nimekwama pa kuanzia.
Nimeangalia baadhi ya free themes...
Habari wanaJF,
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada.
Ninatafuta wanafunzi ishirini ambao nitawafanyia training na mentorship katika eneo la web design and development. Unaweza uwe ni mwanafunzi wa chuo, mfanyakazi, au hobbyst ambaye ana interest ya web design. Kwa kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.