Rais William Ruto ametoa maagizo hayo na kueleza Serikali yake imeweka nia ya kutengeneza mazingira yenye Ushindani ikiwemo kuongeza ushawishi kwa Makampuni ya Teknolojia kwaajili ya kuwekeza zaidi Nchini humo.
Kauli ya Ruto inakuja siku chache tangu aanze ziara ya siku 10 katika Mataifa ya...
Heri ya X-Max na Mwaka Mpya Ndugu zang wa JF 🙌🎄🥂,
Maana Ya Global Crypto Adoption Index.
Hiki ni kipimo kimevumbuliwa na kampuni ya utafiti wa sarafu mtandao Ulimwenguni uitwao Chainalysis. Lengo haswa ya hii farisihi ni kupima je ni nchi gani watu wake wanaweka fedha kwa wingi kwenye sarafu za...
Videkezo.
[1]Mpaka TTCL wamepandisha bei za mabundle kutoka 1.2GB /1000 Tshs mpaka 600MB/ 1000 Tshs. Makampuni binafsi yalipandisha kitambo.
[2]Inavyooneka, makampuni ya simu yanashirikiana kupandisha bei za ma-bundle kama madereva wa dala dala stand ya 7 7[Dodoma]. Wakishapandisha wote...
DKT CHAULA AZUNGUMZIA UWAJIBIKAJI WA PAMOJA POSTA
Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Zainab Chaula ameitaka Menejimenti ya Shirika la Posta Tanzania kufanya kazi kwa tija, bidii, weledi na uwajibikaji wa Pamoja ili kuleta matokeo mazuri kwa Shirika na maslahi mapana...
WAHARIRI WAPIGWA MSASA KUIFAHAMU WIZARA YA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI
Na Mwandishi wetu
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imefanya mkutano na wahariri wa vyombo vya habari nchini kwa lengo la kuwajengea uelewa ili waifahamu Wizara hiyo, taasisi zilizo chini ya Wizara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.