watu8

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Afrika ya Mashariki ya Kijerumani

    Ramani ya Kijerumani ionyeshayo Zanzibar na pwani (mnamo Mwaka1888) Sarafu ya rupia 1 iliyotolewa kwa jina la "Deutsch-Ostafrikanische Gesellschaft" (Kampuni ya Kijerumani ya Afrika ya Mashariki); tangu 1904 zilitolewa kwa jina la koloni yenyewe bila kutaja kampuni tena Afrika ya Mashariki ya...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    LHRC, Amnesty International wataka Mbowe aachiwe na uhuru wa kisiasa uheshimiwe Tanzania

    Mbowe pamoja na wenzake 11 kutoka chama cha Chadema walikamatwa na polisi usiku wa kuamkia Jumatano jijini Mwanza. Mashirika yanayotetea haki za binadamu yameikosoa vikali hatua ya Jeshi la Polisini nchini Tanzania ya kuwakamata baadha ya viongozi wa chama cha upinzani nchini humo Chadema...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Matatizo yanayo husiana na maradhi ya figo na ufumbuzi wake

    Ugonjwa wa figo Figo ni ogani inayoshirikiana na moyo. Kuathirika kwake kuna athari kubwa kwa mfumo wa damu na mapigo ya moyo. Magonjwa sugu ya figo hutokea pale ogani hiyo inapopoteza uwezo wa kutenda kazi zake kikamilifu. Tatizo huanza taratibu na kudumu kwa muda mrefu hadi kuonyesha dalili...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wamerakani wataka Rais Magufuli aje kuwaongoza na Rais Trump aje kuongoza Tanzania

    WANANCHI WA MAREKANI WANAWAOMBA WANANCHI WA TANZANIA WABADILISHANE UONGOZI WAMAREKANI WANAMTAKA RAIS MAGUFULI AWE RAIS WAO AENDE KUIONGOZA MAREKANI. NA RAIS TRUMP AJE KUIONGOZA TANZANIA. .JE WATANZANIA MUTAKUBALI KUONGOZWA NA RAIS TRUMP? 👇😅😂🤣😍👇
  5. Analogia Malenga

    Dar: Barabara ya Jangwani yafungwa kutokana na mvua zinazoendelea

    Njia ya Jangwani imefungwa kuanzia saa 10:15 jioni kutokana na mafuriko kwa mvua inayoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara. Wakifika Morocco wanaweza kuendelea na...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mlipuko wa maradhi ya homa ya mapafu corona virus duniani kote

    Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu naosababishwa na Virusi vya Corona unaoenea kwa kasi duniani, Tanzania sio kisiwa Naomba wote tufanye yafuatayo ili kuchukua hatua mapema: 1. Wahi kununua Mask kwa familia, mlipuko ukianza hizo Mask hazitaweza kupatikana kiurahisi 2. Nunua...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    MAMA NA MAISHAHISTORIA YA UKWELI KABISA SOMA UPATE ELIMU

    Mama ni Maisha. Picha ya kweli baada ya operation iliyodumu kwa masaa 7. Mtoto aliyezaliwa yupo mikononi mwa Mama yake, na upande wakulia ni daktari akiwa analia kwa uchungu sana.! Uyo Mama alikuwa anasumbuliwa na maradhi kwa zaidi ya miaka 11, ikafika wakat akakata tamaa kabisa yakuja kupata...
  8. FRANC THE GREAT

    WhatsApp kusitisha huduma kwa mamilioni ya simu (Smartphones)

    Hivi karibuni WhatsApp itasitisha programu yake kwa mamilioni ya simu baada ya kutangaza kwamba programu hiyo itaacha kufanya kazi katika simu za zamani. Kampuni hiyo inayomilikiwa na Facebook iliweka wazi katika ukurasa wake wa msaada, simu za mikononi ambazo hazitaweza kupata programu hiyo...
  9. N

    Kumekuwa na hadithi na simulizi nyingi nzuri. Lakini hii inaweza ikawa nzuri zaidi. Inaitwa ULIMWENGU WA MATAJIRI

    Email. nipenguvu@gmail.com Instagram. nipenguvu “Ee bwana wangu! Nisahidie mimi mja wako”. Ilisikika sauti ya hofu kutoka kwa mama mmoja akiwa kanisani huku akiwa anatetemeka.Siku hiyo ilikuwa siku ya jumapili katika kanisa moja lililopo kijijini, pembezoni kabisa mwa mji uliozungukwa na...
Back
Top Bottom