Salaam wakuu, dah nina andika Uzi wangu huu nikiwa Kijiji Cha wapiga miti.
👉Niko na mzee wangu Ushimen, tuki endelea na mapambano yetu Kama Wana familia
Ila kuna vitu vya mzee wangu huyu, vina Nishangaza na kuni onyesha kuwa huyu ni zaidi ya dikteta au bepari.
Ame binafsisha cheo Cha...
habari za jioni.
samahani kama nawasumbua.
nilikuwa namuulizia jamaa anaitwa Ushimen kama yupo humu.
shida yangu ni kumsalimia tuu.
sisi watanzania tumefunzwa utamaduni wa kujuliana hali hata kama hamjuani.
kama unamfahamu na hayupo humu mpelekeeni salamu zake.
Mashine ya Kutengeneza na Kukausha Chaki za Shuleni ON SALE Tsh 30mil (Milioni 30)
Karibu tufanye biashara. Call 0767 235923.
Sifa za Mashine ya Kutengeneza Chaki:
Inatumia Umeme wa Single Phase;
Ni Semi-Automatic: Inatumia Motor kuchanganya Unga wa CHaki na Maji;
Ina Moulds (vinu) 6 za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.