Wakuu kwema? Poleni na majukumu ya hapa na pale.
Kwa wasikilizaji na wapenda muziki wa Afrika,Mmeuona ujio wa Star Boy Wizkid(Made In Lagos)
Album yake ya MADE IN LAGOS ambayo kwa sasa ni gumzo WorldWide inakimbiza kinoma noma ikiwa na midundo 14..
Imeingia hadi kwenye top10 za Spotify album...
Kwa miaka 10 namsikiliza huyu jamaa wakuitwa Star Boy Wizkidayo
Moja kati ya Wasanii bora wa Afrika ameshafanya makubwa kwenye muziki wa Nigeria na Afrika kwa ujumla.
Tuzo, Mziki mzuri, shows za kimataifa, Kutengeneza pesa kupitia muziki nyingi kupitia muziki ni jambo dogo kwa Wizkid.
Aliwahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.