Explore these top 5 most secure smartphones ruling the world right now
In an era dominated by technological advancements and interconnectedness, the security of our data is paramount. Smartphones, being an integral part of our daily lives, often store sensitive information ranging from personal...
Habari wakuu.
Kuna mtu wangu yupo nje ya nchi anataka kunitumia smartphones tano (5) brand new. Utaratibu wa ushuru ukoje pindi zikifika nchini? Nadhani kuna wakati serikali iliondoa import duty ila ikarudisha tena. Naomba kuwasilisha.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amesema mkoa huo unajiandaa kuanza kutengeneza simu janja.
Kunenge amesema hayo mjini Kibaha kwenye kikao maalumu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mjii Kibaha.
Kikao hicho kilijadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) za...
Apple is back on top, having shipped the most smartphones out of any maker in Q4 last year. Previously, the company regained second place in Q3, now it has overtaken Samsung to secure the #1 spot. This is all thanks to the strong performance of the iPhone 13 series, of course.
In fact, analysts...
Habari za mchana wakuu,
Kama kichwa ca habari chahusika hapo juu.
Simu ni kifaa muhimu kwa ajiki ya mawasiliano baina ya watu mbalimbali.
Mbali na mawasiliano simu imewaleta watu karibu na kuwa kitu kimoja aidha kwa kuanziamsha urafiki, mahusiano n.k.
Kutokana na mapinduzi makubwa ya sayansi...
Ukiwa unatembea, wenzako wanakimbia, ndivyo naweza kusema kwa lugha ya haraka kutokana na teknolojia inavyotupa picha kuwa siku moja binadamu ataweza kupika akiwa safarini au kupaa kwa kutumia mabawa (not as we see on movie) lakini kwa uwazi na kila mtu kununua na kutumia kifaa husika.
Leo...
Nmechek youtube nkaona kuna kitu kinaitwa exagear kwamba unaweza run program za computer kama virtual dj au fl studio ukaweza tumia kweny smartphone ila kwang inagoma je kun mjuzi humu anisaidie.
Habari!
Kampuni kubwa ya teknolojia ya Kichina Huawei (Huawei Technologies Co., Ltd.) imezindua mradi wa ufugaji wa nguruwe kupitia teknolojia ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) Jumatatu wakati kampuni hiyo ikigeukia katika maeneo mengine ya kibiashara wakati biashara yake ya simu janja...
When Mxolosi saw a Tecno W2 smartphone in a store in Johannesburg, South Africa, he was attracted to its looks and functionality. But what really drew him in was the price, roughly $30 — far less than comparable models from Samsung, Nokia, or Huawei, Africa’s other top brands.
“They’re very...
Utumiaji wa simujanja (smartphones) unakadiriwa kuongezeka nchini Tanzania ifikapo 2024 kufuatia kuongezeka kwa matumizi ya intaneti katika kiwango cha (3G) na kukuzwa kwa mtandao wa 4G na wamiliki wa mitandao ya simu
Usajili wa simujanja utakua kwa haraka kila mwaka katika kiwango (CAGR) cha...
Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung imekuwa kinara katika soko jipya la 'Smartphones' zenye uwezo wa 5G ikiweza kuzalisha simu za 5G takribani robo tatu ya uzalishaji wote ulimwenguni katika kipindi cha robo ya tatu (Third Quarter) kwa mujibu wa utafiti kutoka IHS Markit | Technology...
Ni ukweli usiopingika kwamba maendeleo ya sayansi na teknolojia, yamefanya matumizi ya intaneti kuongezeka sana. Matumizi ya intaneti nayo yamekuja na mambo mapya, katika ulimwengu wa sasa, mawasiliano kupitia mitandao ya kijamii, kama Facebook, Instagram, Whats App na kwingineko ni kitu cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.