Wadau nimeona mada nyingi zilianzishwa kwenye jukwaa hili zikihusisha google adsense ila wadau walioanzisha mada hizo hawakuongelea kwa upana kuhusu google adsense pamoja na dependencies zake:
kwenye uzi huu naomba mdau kama una shauku ya kuijua vizuri google adsense basi kaa mkao wa kula...
Habari Wataalamu.
Kuna website yangu ambayo iko kwa developer na muda wowote atanikabidhi kazi baada ya kumaliza upade wake.
Sasa ninafikiria kupata expert tofauti ili anifanyie SEO na kuhakikisha website iko sawa. Mu huyu atatusaidia kuona website kama iko sawa na kuhakikisha inaingiza...
Ushawahi kujiuliza kwanini ukigoogle kitu inakuwaje kuna tovuti zinatokea juu na nyingine chini. Yani mfano unaweza kugoogle coronavirus, ikakwambia kuna majibu billion tatu sasa inakuaje kuna tovuti zinatokea page ya kwanza na nyingine page za huko mbele?
Ni wazi kuwa watu wengi husoma majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.