The Open University of Tanzania (OUT) is a distance learning public university in Tanzania. It was established by an Act of Parliament No. 17 of 1992. It is a single mode institution offering certificate, diploma and degree courses through distance learning. Its Headquarters is situated in Dar es Salaam, Tanzania, and conducts its operations through 30 Regional Centres and 70 Study Centres.
It consists of:
Faculty of Arts and Social Sciences
Faculty of Education
Faculty of Law
Faculty of Business Management
Faculty of Science, Technology and Environmental Studies
Institute of Continuing Education
Institute of Educational and Management Technologies
Directorate of Regional Services
Directorate of Research and Postgraduate Studies
Habari wana JF kwenye jukwaa la elimu, kma title inavyojieleza hapo juu. Mm ni mhitimu wa F6 mwaka 2022, bahati nzuri au mbaya matokeo yangu hayakuweza kuruhusu nijiunge na degree nlipata (DEE) kwenye masomo ya combination. Nia yangu ilikuwa kusoma data science km matokeo yangekuwa mazuri. Lkn...
Bi kupoteza muda.
Mimi ni mgeni hapa wakuu nimecheki haraka haraka sioni thread maalumu ya OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA THREAD.
Nataka kujiunga nisome stashahada ya uzamili na nataka panapo uzima niimalize kwa uharaka na iwe kama upepo wa kisulisuli. Sijawa mwanafunzi bado ila uanafunzi...
Nimekuwa najiuliza kama Chuo Kikuu Huria au OUT ni chuo cha serikali. Inakuwaje chuo cha serikali kikawa na mambo ya ajabu namna hii?
Sisi Walimu kutoka nje tuliofanya kazi kama external examiners kwenye kazi za wanafunzi tuna zaidi ya miezi 6 hatujalipwa. Tukiuliza tunaambiwa utaratibu mpya wa...
Habari wakuu,
Naomba kujua ukiwa mtumishi wa serikali na ukataka kujiendeleza kupitia Open University of Tanzania ambapo bado utaendelea na majukumu yako ya kazi, ni lazima uombe barua ya ruhusa ya mwajiri ya kujiendeleza kimasomo?
Au unaweza kupiga kimya kimya tu haiana haja kama ya wale...
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (kwa Kiingereza: Open University of Tanzania) ni chuo kikuu kinachotoa kozi za cheti, stashahada na shahada kupita masomo ya mbali (Distance Learning). Makao makuu yako Dar es Salaam, Tanzania. Chuo Kikuu Huria kina takribani wanafunzi 70,000 kutoka ngazi mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.