mzizi mkavu

  1. Pdidy

    Dkt Mzizi Mkavu wapi alipo jamani?

    Huyu kwa wanaokumbuka enzi hizo alisaidia wengi sana magonjwa mbalimbali Sijui kilichotokea aweki tena mada zake humu popote ulipo dk njoo usaidie jamii inakukumbuka sana CC Dkt. Mzizimkavuu
  2. CONSISTENCY

    Kabudi, Bashiru, Polepole, Majaliwa mpo wapi kwenye jambo la Bandari?

    Hivi kweli ninyi wote mmekubaliana na huo mkataba wa kuuza bandari? Bandari ndio mali kubwa tuliyobakiwa nayo sasa, nchi zote zilizotuzunguka zinatupa heshima sababu zinategemea bandari zetu kupitisha mali na mizigo yao. Ikumbukwe kwamba serikali imekua inatumia pesa nyingi kuirekebisha bandari...
  3. sychellis

    Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na cha kuzaliwa

    Habari, Naitwa MGOLE MWITA CHACHA Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na kuzaliwa vyenye jina tajwa hapo juu. CHETI CHA FORM FOUR-MAJANI YA CHAI SEC SCHOOL CHETI CHA FORM SIX-UWEMBA SEC SCHOOL CHETI CHA CHUO-NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT(NIT) CHETI CHA KUZALIWA Iwapo ukibahatika...
  4. presider

    Generator and air compressor solution

    GENERATOR AND AIR COMPRESSOR SOLUTION We dealing with:- ■Generator ☆Selling generator Used and New ☆Preventive and Breakdown maintenances ☆Generator installation ■Air Compressor ☆Selling Air compressor Used and New ☆Preventive and Breakdown maintenances ☆Air compressor installation ■Machine and...
  5. Sanyambila

    Uzi wa kuweka mikasa ya utapeli wa mali, pesa kwa njia mitandao

    Wajumbe wa kikao aka mkutano, habari zenu na poleni na majukumu. Leo nimekuja na agenda hiyo juu kuhusu utapeli wa kimtandao na wa rejareja wakati maisha yakiwa magumu huku kuna watanzania wenzetu wanapiga hela kwa wenzao kwa kutumia uongo uliokaribu na ukweli. Kuna utapeli wa wa aina nyingi...
  6. sychellis

    Mchumba kakataa kuongea na mimi kwenye simu aliyopelekewa na mama yangu

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nasoma Chuo Degree Mwaka wa Pili, kuna binti mmoja mama yangu alinambia ni mzuri ana tabia nzuri, sema mimi nikawa napotezea sikuwa na haja hiyo. Siku moja nilienda kumsalimia mama nikamuona huyo binti, jamani ni mzuri balaa. Yeye baba ni Mzanzibar na mama...
  7. A.J

    Msaada: Nikiwa na mpenzi wa pembeni sisimamishi

    Habari zenu, Mambo yako hivi, kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kama zaidi ya mwaka hivi. Ndio main chick kwa sasa, kitandani nipo nae vizuri saana, yaani sina tatizo kitandani. Hapo juzi kati kuna mwanamke mwingine nikaanzisha mahusiano nae. Yule mwanamke wangu wa kwanza akajua, akalia...
  8. D

    Kimo cha mimba kuwa tofauti na umri wa mimba kuna madhara yoyote?

    Habari wakuu, naomba kuelemishwa. Kuna madhara yoyote kimo cha mimba kuwa tofauti na umri wa mimba? Mke wangu umri wake wa mimba ni wiki 37+6 na kimo cha mimba ni 40. Na hii ni mimba ya pili kwake. Naomba msaada wenu wataalamu.
  9. M

    Msaada

    Habari, Naomba kuuliza kuhusu erolink kama bado wanamkataba na Voda na pia ofisi zao kwa sasa zipo wapi. Pia, naomba mnisaidie kujua ofisi za Tigo,Voda na Airtel wanapopokea CV.
  10. Amafita

    Nina uhahika 98% hawajui hili

    Habari wa JamiiForum. Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto, vijana, wazazi na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia...
  11. The Iron

    Swali kuhusu viwanda

    Habari za muda huu,nimatumaini yangu kwamba wote ni wazima wa afya Lengo la thread hii nikutaka kufahamu kwamba inakuaje Viwanda vya Dawa ( Pharmaceutical industries ) hapa nchini kwetu unaambiwa havijaidhinishwa katika viwango vya Kimataifa lakini wakati huo huo vinakuwa vinakizi vigezo vya...
  12. Fetty jr

    Mild normochromic anaemia

    Habari zenu bandugu, naombeni kujuzwa juu ya mild normochromic anaemia ni ugonjwa? Au nin nn
  13. Fetty jr

    Mild normochromic anaemia

    Habari zenu wana jf naombeni kujuzwa juu ya maana ya mild normochromic anaemia ,sababu na tiba yake
  14. Francis3

    USHAURI MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2018 KUHUSU COMB NA KOZI MBALIMBALI AMBAZO ZINAWAFAA KULINGANGA NA MATOKEO WALIOYOPATA

    Habari zenu, Kwanza kabisa kama kichwa kijielezavyo hapo juu ,leo nimemaua kuzungumizia kuhusu wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2018 na wanatarajia kujiunga na vyuo mbalimbali kwa masomo mbalimbali mwaka wa masomo 2019. Nitazungumzia mada hii muhimu kwa kugusa maeneo yafuatayo...
  15. Informer

    Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

    Tatizo la kukosa hedhi ni jambo ambalo linawakumba wanawake wengi waliovunja ungo. Aidha suala hili limekuwa likiwaletea usumbufu mwingi wa kisaikolojia wanawake wengi waliowahi kukumbana nalo. Tatizo la kukosa hedhi au amenorrhea linaweza kutokea awali kabisa (primary) au baadaye kabisa...
Back
Top Bottom