Rashidi Mfaume Kawawa (27 May 1926 – 31 December 2009) was the Prime Minister of Tanganyika in 1962 and of Tanzania in 1972 to 1977. He was the effective ruler of the country from January to December 1962 while Julius Nyerere toured the countryside. Kawawa was a strong advocate of economic statism. He later served as Defense Minister from 1977 to 1980.
After his retirement, Kawawa remained a behind-the-scenes influence in Tanzanian politics.
Kawawa died on 31 December 2009 in Dar es Salaam at the age of 83.
Salaam
Kumekuwa na kumbukizi za viongozi wakuu wengi waliokwisha kutangulia mbele za haki kama vile Mwl. Nyerere, sokoine, mkapa na magufuli.
Lakini sijawahi ona kumbukizi za hayati mzee Kawawa na Dkt Omari zikipewa kipaumbele na serikali sikumbuki kama ata tarehe za zinakumbukwa..
Dkt Omari...
Nauliza tu kwanini?
Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali
Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
Naomba ujumbe huu uwafikie Viongozi wetu wa huku kwetu Goba Matosa Uzaramuni kuna changamoto ya Barabara ya Kawawa (Kawawa Road) imeharibika kwa kiwango kikubwa.
Huu ni mwezi wa nne tangu hali iwe mbaya zaidi, kila kiongozi anayekuja kazi yake ni kupiga picha na kuondoka lakini utekelezaji ni...
Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mhe. Vita Rashid Kawawa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani kwa kutekeleza Miradi katika sekta mbalimbali.
1. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli mjane wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, mara baada ya kuwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia...
Habari JF.
Miaka ya nyuma Kati ya 2011 na 2012, Serikali ilianzisha ujenzi wa Maktaba au library ya kumuenzi Waziri Mkuu Kawawa. Maktaba hiyo ilikuwa ikijengwa eneo la Madale jijini Dar.
Mwenye taarifa juu ya kukamilika kwa maktaba hii na ikiwa inatumika atujuze. Najua nyakati hizi za digital...
Katika watu ambao historia ya Tanzania huwa haiwatendei haki basi Rashid Mfaume Kawawa anaongoza - ni nadra Sana kusikia historia sahihi ya Kawawa.
Mara nyingi Historia yote ya Nyerere inaweza somwa na usisikie hata jina la Kawawa. Watu wengi hawajui kuwa wakati Kawawa anakuwa 'Waziri Mkuu wa...
Na,
H. J. Mahenga, alias, Uncle Kaso
Usiku wa kuamkia tarehe 20 ya Januari ya mwaka 1964, yalitokea mauaji ya Mwarabu mmoja pale Magomeni aliyekuwa na duka, aliyepigwa risasi na wanaodaiwa 'waasi' wa JWT, kipindi hicho likijulikana kama Tanganyika Rifles, au kwa kifupi TR. Mwanya uleule...
Jamani Dar haipitiki barabara karibu zote zimechimbuliwa sijui upite wapi.
Mwananyamala, Kilwa Road, Kawawa Road Bagamoyo Road na nyingine nyingi halafu ziko polepole sana haziishi.
Hivi mainjinia wetu hawawezi maliza moja wakafata nyingine? Ona hiyo foleni ya Kawawa toka Keko mpaka Magomeni...
Wakuu,
Nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa ni nafasi kubwa ndani ya chama hicho na kimsingi ndiye mchora ramani ya mwelekeo wa chama hicho.
Mzee Mangula (Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa wa sasa) yupo katika siku zake za mwisho katika nafasi hiyo.
Kumekuwa na utamaduni ndani ya CCM kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.