Kwa mahitaji ya polythene tube(Viriba) vya size kuanzia Inch 2.5 hadi Inch 15 vya Gauge(G) zote zinazohitajika kwa uotesheaji wa miti ya matunda, mbao, maua N.k kwa Tsh 4000/= tu kwa KILO 1 Karibu sana.
Piga, 0787009807.
Wataalamu na watafiti wa elimu ya mendeleo ya watoto wadogo wanaamini kuwa zaidi ya asilimia 90 ya maendeleo ya ubongo hutokea kati ya kipindi cha umli wa mwaka mmoja (1) hadi miaka mitano (5). Hiki nikipindi muhimu sana kwa mtoto na hapa huwa anajua kipi kizuri kufanyiwa na kipi kibaya kufanyia...
Picha za video za hivi karibuni zilizokuwa zikionesha jinsi wanahabari wa kimarekani bwana James Foley pamoja na Steven sotloff wakikatwa vichwa na magaidi wa ISIS inanikumbusha stori ambayo ilitokea nchini Lebanon mnamo mwaka 1985.
Mnamo mwezi wa tisa, tarehe 30, mwaka 1985, kundi la watu...
Moja ya stori zilizotokea miaka ya 2014-2015 ni ya kijana wa kiarabu raia wa Uingereza ambaye alikuja kuwa tishio la dunia baaada ya kujiunga na kikundi cha ugaidi kinachojulikana kama Islamic State.
Kijana huyu alikuwa anajulikana kwa Jina la Jihad John, huku akiwa maarufu sana kwa kuonekana...
1. Mwambie anaenda kusomea taaluma sio kazi. Anaweza kusoma uhasibu akawa dobi.
2. Mwambie Kufaulu Taaluma sio Kufaulu maisha.
3. Mwambie Kupata alama nyingi sio kujua mambo mengi.
4. Mwambie akifika chuo atakutana na watu wa mikoa tofauti na hata majiji. Ila akumbuke anatokea Mtwara, tena...
Education seriously needs an update, It still teaches us the things that have already been made easier to do.
It feeds in information instead of bringing out ideas. Creative education is almost gone, nobody talks about creativity and innovation.
If a doctor gives the patient of cholera, the...
Hivi ili suala la baadhi ya vyuo kutosajiliwa na bado vinadahili wanafunzi limekaaje?
Na je wanafunzi au mwanafunzi aliyesoma chuo kama hiki anasaidiwaje na serikali hali wakati anajiinga hakuna anajua taarifa za chuo husika kama kimesajiliwa au lah?
Na kuna hivi vyuo ambavyo vilikuwa...
habar naomba kuulza muhtimu wa kidato cha nne alopata alama c kwenye eng na d kwenye kisw anaweza jiunga na chuo cha uandishi na utangazaji kilcho bora..??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.