Adobe ( (listen); Spanish pronunciation: [aˈðoβe]) (Arabic: الطوب, romanized: aṭ-ṭūb) is a building material made from earth and organic materials. Adobe is Spanish for mudbrick, but in some English-speaking regions of Spanish heritage, the term is used to refer to any kind of earth construction. Most adobe buildings are similar in appearance to cob and rammed earth buildings. Adobe is among the earliest building materials, and is used throughout the world.
Kutokana na sheria za ushindani ambazo zimekuwa mwiba kwa kuweka vikwazo kwa makampuni makubwa kuyanunua makampuni madogo hasa startups, Adobe imeghairi mpango wake wa kuinunua Figma.
Sheria hizi zinazuia kampuni kuwa monopoly. Mimi ni mpenzi wa Figma nadhani kuiacha ijitegemee ni uamuzi sahihi
Habari Wakuu
Najaribu kuInstall Adobe kama Premiere, Audition, Photoshop na zingine lakini
inakataa na kunipa ujumbe (Angalia picha hapo chini) na nimejitahidi kupata maelekezo kupitia google na Youtube sikufanikiwa.
Mwenye kujua naomba anisaidie.
Jipatie programu za Adobe zote 2021, 2022, 2023, pia Master collection 2022 - 25,000 Tshs, 2023 - 30,000 Tshs.
*Kama unahitaji huduma za IT au ufundi wa PC
0763 84 84 32, Dar es salaam,Ubungo
Habari,
Je unahitaji software yoyote katika kazi / biashara zako.
Nipo hapa kukusadia kupata software yoyote unayotaka katika kukusaidia kazi / biashara yako. Software au program katika kifaa chako cha kazi kama kompyuta au simu.
Nitajie sofware au kazi yako inayohitaji software maalum...
Mimi ni mtu ambaye uwa nikiwa na muda napenda kujifunza vitu vipya. Vingine uwa najifunza just for fun na vingine uwa vinakuja nilipa na vingine vinanisaidia tu mwenyewe kwenye mambo yangu hasa kama namwelekeza mtu anitengenezee kitu.
Jana nimeamuza kuwa ntaaza jifunza kudesign prototypes za...
Mimi ni mtumiaji wa VS code na Brackets editor, lakini huwa naona Brackets ni nzuri sana, yaani kuna mguso flani nikiwa naitumia especially napocheza na UI dah! kutoisupport hii kitu ni mawazo mabovu, hizi partnership hizi!, aiseh adobe umeharibu sana hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.