Twiga Stars... imefanya mauaji kwa kuifunga Timu ya Eritrea mabao 8-1 katika mchezo uliomalizika jioni hii katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Kila kipindi kiliwapatia Twiga mabao manne
Twiga Stars... imefanya mauaji kwa kuifunga Timu ya Eritrea mabao 8-1 katika mchezo uliomalizika jioni hii katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Kila kipindi kiliwapatia Twiga mabao manne
Tukosoane lakini Tusibezane
Congrats Twiga stars, kwa kutuwakilisha vema.kila la Heri katika mechi inayofuata
Kwa kweli hawa mabinti wanastahili kila aina ya sifa na pongezi!
[email protected]
Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji
Hongera zenu Twiga stars
Don't be a WOMAN that needs a man but the WOMAN a man needs
Kwa kweli nilijisikia raha sana jana........asante sana kwa kutupa burudani. Nawatakia ushindi mwingi ktk mechi zenu zinazofata.
Hakika wema na fadhili zitanifuata siku zote za maisha yangu.....Zab 23:6
JAmani wadada wanatandaza kabumbu yaani walinifurahisha sana jana. Hongera zenu wadada kwa mabao hayo nane kwa kweli ulikuwa ni ushindi wa kujivunia. Eritria yule mchezaji nambari 13 alikuwa anajitahidi sana angekuwa ana support nzuri nafikiri wao pia wangefanya vizuri kiasi. But Hongera Twiga
LOVE is a flower, and YOU,its only seed
Mjukuu Mtiifu, 2012.
Dah hongera sana dada zetu,
Hawa wafadhiri waiiangalie hii timu kwa macho yote wamekazana kumwaga pesa kwenye timu ya Maskio Max lakini hatuoni kitu si bora ya hawa ambao wanachangia pesa kiduchu lakini kandanda wanasakata kiukweli wadau waangalie hii timu.
BRAVO! Dada zangu wa Twiga Stars. Kweli mmetufanya tujisikie fahari. Nakutuondolea mawazo juu ya timu ya wanaume ambayo ipo njiani kutolewa na Wanyarwanda! Maksimo aige mfano huu wa timu ya dada
Follow Us Here