Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa wadau wote wa soccer

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Mvina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 977
      Rep Power : 698
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Kwa wadau wote wa soccer

      Nina wazo kwa wanaJF hasa wadau wa soccer ambao wangependa kwenda South Africa kushuhudia hata game moja kwenye michuano ya kombe la duania.Wazo langu kama kuna watu watakubaliana na nami na wapo interested kwenda tupeane mawili matatu ya msingi ya kufanya kabla ya kwenda na kama ikipendeza zaidi tukaenda kama JF members pamoja. Let me know if you are interested am planning for that..


    2. #2
      Maria Roza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2009
      Posts : 6,442
      Rep Power : 1850
      Likes Received
      798
      Likes Given
      333

      Default Re: Kwa wadau wote wa soccer

      Gud idea!
      If u can't stand for something , u will fall for anything !

    3. #3
      Mvina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 977
      Rep Power : 698
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Re: Kwa wadau wote wa soccer

      Quote By Maria Roza View Post
      Gud idea!
      Itapendeza sana kama na we utakuwa pamaja nami kuelekea Kunako SA.

    4. #4
      senator's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Ziwani
      Posts : 1,925
      Rep Power : 991
      Likes Received
      41
      Likes Given
      37

      Default Re: Kwa wadau wote wa soccer

      Inacost kiasi gani return ticket Dar to Jberg? Ninahamu kweli ya kwenda japo kushuhudia game za kuanzia robo fainali...Ebu mvina kwa kuanzia tupeane Logistics kwanza then mambo ya cheap accomodation etc...
      Don't regret what you said, regret what you didn't say when you had the chance....!"

    5. #5
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa wadau wote wa soccer

      bora hiyo hela ya kwenda huko SA uitoe ichangie jf na uangalie tu katika luninga!


    6. #6
      Mvina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 977
      Rep Power : 698
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Re: Kwa wadau wote wa soccer

      Quote By Pape View Post
      bora hiyo hela ya kwenda huko SA uitoe ichangie jf na uangalie tu katika luninga!
      Ni mtazamo tu ndugu yangu wengine watasema heri hiyo hela tungepela kwa wahanga wa mafuriko kule Kilosa kwa ufupi mambo muhimu ya kufanya hayaishi.Kama nimefanya saving kwa miaka kadhaa kwa ajili ya hilo sioni sababu ya kutoenda.

    7. #7
      Mvina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 977
      Rep Power : 698
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Re: Kwa wadau wote wa soccer

      Quote By senator View Post
      Inacost kiasi gani return ticket Dar to Jberg? Ninahamu kweli ya kwenda japo kushuhudia game za kuanzia robo fainali...Ebu mvina kwa kuanzia tupeane Logistics kwanza then mambo ya cheap accomodation etc...
      Tembelea kwenye website ya FIFA utaona ticket zina cost kiasi gani.Ukiangalia ni baro kununua 8 maana bei ni sawa na ya moja kama sijakosea.Mengine tutaendelea kupeana updates hapa hapa.

    8. BAK is offline
      BAK
      #8
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,838
      Rep Power : 45016
      Likes Received
      8689
      Likes Given
      8686

      Default Re: Kwa wadau wote wa soccer

      Miye nilitaka sana kwenda huko lakini crime rate ikanitisha sana, penye majaliwa naizengea 2012 Summer Olympic pale London.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    9. #9
      Mvina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 977
      Rep Power : 698
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Re: Kwa wadau wote wa soccer

      Quote By Bubu Ataka Kusema View Post
      Miye nilitaka sana kwenda huko lakini crime rate ikanitisha sana, penye majaliwa naizengea 2012 Summer Olympic pale London.
      Suala la usalama nalo neno ila nadhani usalama utakuwa mkubwa sana kulingana na uzito wa suala lenyewe.

    10. #10
      gutierez's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2010
      Posts : 1,021
      Rep Power : 666
      Likes Received
      90
      Likes Given
      128

      Default Re: Kwa wadau wote wa soccer

      kila sehemu dunia hakuna usalama 100%ndio mana hakuna nchi isiyo na gereza,usalama umeimarishwa na hiyo soweto uliyokuwa unaisikia kitambo ambayo bongo na kwingineko duniani inatambulika kama uswahilini na matukio ya uhalifu,sasa imewekwa ulinzi wa kutosha na imeboreshwa ina watu wa matabaka ya juu zaidi,kati na maskini, na fainali soccer city uwanja mkubwa kuliko yote afrika sasa 94200 inabeba watu upo huko soweto fainali inapigwa hapo. na kingine na hata wewe mwenyewe lazima ujilinde mwenyewe,ni mfano hata bongo huwezi kujitembelea tandika kiholelaholela,eti kisa umeambiwa bongo nchi ya amani,hata huko uswisi yenyewe ukiingia mitaa ya watu wanakutamani inakuwa kama mwanaume kakosea choo kaingia choo cha kike nauli ni return maximum itakuwa usd 1500 na matumaini haitazidi hapo na ukiwahi mapema itakuwa nafuu.

    Similar Topics

    1. Hi,wadau wote wa Jf
      By mavangahistor in forum Utambulisho (Member Intro Forum)
      Replies: 8
      Last Post: 3rd January 2012, 16:50
    2. Kwa wadau wote wa soccer
      By Mvina in forum Entertainment
      Replies: 9
      Last Post: 20th May 2010, 16:22

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...