Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      Konaball's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 546
      Rep Power : 633
      Likes Received
      44
      Likes Given
      9

      Default Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
      1-Tarimba Abbas
      2-Ally Hassan Mwanakatwe
      3-Muhidini Rashid Ndolanga
      4-Abdul Sauko
      5-Ridhwani Jakaya Kikwete


    2. #2
      Vitendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Posts : 557
      Rep Power : 611
      Likes Received
      44
      Likes Given
      49

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Konaball View Post
      Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
      1-Tarimba Abbas
      2-Ally Hassan Mwanakatwe
      3-Muhidini Rashid Ndolanga
      4-Abdul Sauko
      5-Ridhwani Jakaya Kikwete
      Hao uliowataja hapo wamechukua form za kugombea?au wamekwambia wanataka kugombea?

    3. #3
      Che Kalizozele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2008
      Location : Area C
      Posts : 782
      Rep Power : 713
      Likes Received
      23
      Likes Given
      11

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Pamoja na kwamba si mshabiki wa yanga,kwa kuwa napenda kandanda HAPO HAKUNA KITU NDUGU YANGU.
      SIWEZI KUMRIDHISHA RUHANI WAKATI KITI ANAUMIA.

    4. #4
      Kijamani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 122
      Rep Power : 513
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Hao uliowaweka ulitumia vigezo gani?Je wameshachukua form au kutangazwa kihalali na kamati ya uchaguzi kama wagombea? Acha zengwe wewe!
      Ni Muhidini Ahmad Ndolanga badala ya Rashidi.
      Wote hawafai isipokuwa mimi ambaye nitajitokeza rasmi kugombea na kutoa sera zangu kwani simba hatuwawezi siku hizi.Nitakachofanya nikiingia Yanga ni kuhakikisha tunaanza kuwafunga simba ambao wanatufunga sana siku hizi.

    5. #5
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      JUMA DUNI HAJI ndo anafaaa


    6. #6
      Belo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2007
      Location : Nakahuga
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      475
      Likes Given
      455

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Konaball View Post
      Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
      1-Tarimba Abbas
      2-Ally Hassan Mwanakatwe
      3-Muhidini Rashid Ndolanga
      4-Abdul Sauko
      5-Ridhwani Jakaya Kikwete
      Sidhani kama kuna mtu hapo anafikiria kugombea uongozi Yanga ,wote wanawazia Ubunge
      Kitu ambacho mwanasiasa anasema ukweli ni jina lake tu

    7. #7
      Belo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2007
      Location : Nakahuga
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      475
      Likes Given
      455

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Kifukwe au Tarimba wengine wote njaa tu
      Kitu ambacho mwanasiasa anasema ukweli ni jina lake tu

    8. #8
      Konaball's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 546
      Rep Power : 633
      Likes Received
      44
      Likes Given
      9

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Kijamani View Post
      Hao uliowaweka ulitumia vigezo gani?Je wameshachukua form au kutangazwa kihalali na kamati ya uchaguzi kama wagombea? Acha zengwe wewe!
      Ni Muhidini Ahmad Ndolanga badala ya Rashidi.
      Wote hawafai isipokuwa mimi ambaye nitajitokeza rasmi kugombea na kutoa sera zangu kwani simba hatuwawezi siku hizi.Nitakachofanya nikiingia Yanga ni kuhakikisha tunaanza kuwafunga simba ambao wanatufunga sana siku hizi.
      Sera zako zimepitwa na wakati wewe badala ya kusema utasaidia nini YANGA kuwa timu yenye kujitegemea na kuwa timu tishio katika AFRICA unawaza kuifunga SIMBA!!!

    9. #9
      StaffordKibona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Location : Tabora
      Posts : 673
      Rep Power : 704
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Mbaraka igangula je?

    10. #10
      Kyakya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2009
      Location : TMK
      Posts : 384
      Rep Power : 593
      Likes Received
      16
      Likes Given
      5

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Konaball View Post
      Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
      1-Tarimba Abbas
      2-Ally Hassan Mwanakatwe
      3-Muhidini Rashid Ndolanga
      4-Abdul Sauko
      5-Ridhwani Jakaya Kikwete

      Mchagueni Manji

    11. #11
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,261
      Rep Power : 5512
      Likes Received
      3581
      Likes Given
      1995

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Konaball View Post
      Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
      1-Tarimba Abbas
      2-Ally Hassan Mwanakatwe
      3-Muhidini Rashid Ndolanga
      4-Abdul Sauko
      5-Ridhwani Jakaya Kikwete
      Lipumba

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    12. #12
      Matarese's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2009
      Posts : 506
      Rep Power : 600
      Likes Received
      8
      Likes Given
      1

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Kyakya View Post
      Mchagueni Manji
      Well said, mkiti Yanga ana kazi gani? afadhali timu wamuuzie Manji basi!

    13. #13
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,136
      Rep Power : 9519
      Likes Received
      3234
      Likes Given
      1264

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Bora Ridhiwani kitaeleweka heshima itakuwepo.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    14. #14
      Belo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2007
      Location : Nakahuga
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      475
      Likes Given
      455

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Masanilo View Post
      Lipumba
      Umeshalewa wewe
      Kitu ambacho mwanasiasa anasema ukweli ni jina lake tu

    15. #15
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,261
      Rep Power : 5512
      Likes Received
      3581
      Likes Given
      1995

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Belo View Post
      Umeshalewa wewe
      Hahahahaha hapana mkubwa nimetoa jibu irrelevant kwa sababu JF haina uhusiano na uchaguzi wa yanga!

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    16. #16
      Belo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2007
      Location : Nakahuga
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      475
      Likes Given
      455

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Huyo Lipumba anapenda volleyball
      Kitu ambacho mwanasiasa anasema ukweli ni jina lake tu

    17. #17
      Sinkala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Location : Your office's next door
      Posts : 1,353
      Rep Power : 805
      Likes Received
      166
      Likes Given
      45

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Konaball View Post
      Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??
      Boniface Ambani :D
      Annuntio vobis gaudium magnum; habemus Papam: Eminentissimum ac Reverendissimum Dominum, Dominum Georgium Marium Sanctae Romanae Ecclesiae Cardinalem Bergoglio qui sibi nomen imposuit Franciscum

    18. #18
      Mopao Josee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 282
      Rep Power : 562
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Yule mzee wa Yanga asili

    19. #19
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1175
      Likes Received
      77
      Likes Given
      42

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Yusuf Mzimba........! ooops sorry thought nipo Msimbazi!
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    20. #20
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,755
      Rep Power : 3270
      Likes Received
      993
      Likes Given
      787

      Default Re: Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

      Quote By Next Level View Post
      Yusuf Mzimba........! ooops sorry thought nipo Msimbazi!
      Unaichuria klabu yetu!!!!!1 kwi kwi kwi kwi kwi
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 0
      Last Post: 25th November 2011, 21:31
    2. Replies: 20
      Last Post: 19th November 2011, 19:51
    3. Nani kuwa Katibu Mkuu Mpya wa CCM?
      By muhosni in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 177
      Last Post: 12th April 2011, 00:24
    4. Replies: 7
      Last Post: 7th September 2010, 10:03

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...