Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      mandieta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 2,782
      Rep Power : 899
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      Wakuu nina mtoto wa kiume ambaye ndiye first bone wangu mwenye miaka9,huyo dogo nilikua nikiishi nae hapa dar,lakini nilikua nikipata kesi nyingi za ugomvi every day,mwaka jana nikakata shauri nikampeleka kwa bibi yake yaani mamangu mzazi kijijini kwetu Musoma.......wiki iliyopita nilipigiwa simu na mamangu kwamba dogo kampiga dogo mwenzie mwenye miaka 12 mpaka kamng'oa meno kwahiyo kuna kesi na inatakiwa elfu70 ya matibabu,nikatuma hiyo pesa.Leo asubuhi nimepigiwa simu tena kwamba jana kulikua na mashindano ya box(ngumi)kuanzia watoto wa miaka 10-15,bcoz my soon ni mdogo aliamua kudanganya umri kwamba ana11 na anauwezo wa kupigana then akaruhusiwa kupigana,mdogo wangu ndiye aliyetoa ruksa hiyo kwa lengo la kumkomesha dogo ili adundwe aache ugomvi mtaani,cha ajabu dogo alipafom mpaka jukwaa zima wakawa wanamshangilia,alipigana pambano1 na alishinda kwa round ya kwanza tena kwa kumpiga ngumi6 tuu adui yake,na akapata zawadi ya tsh150,000 cash,sasa kuna jamaa wa holland wana academy ya box kenya wamempenda dogo wanataka wamchukue waende nae kenya na baadae holland wamesema nikiwakabidhi wao watamuhudumia kila kitu mpaka atakapofikisha umri wa kujitegemea na akifikisha miaka 12 wataanza kumlipa some amounts,nimewambia waje dar tuonane na watakuja ijumaa this week.Nipo tayari kumwachia but mamake hataki kusikia habari hiyo ya ngumi,pls ushauri.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      andybird314's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 2,671
      Rep Power : 966
      Likes Received
      552
      Likes Given
      283

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      huyo mtoto hasomi?
      huna mpango na huyo mtoto?
      Inakuwaje unawataka waachia watu kirahisi au si mwanao?
      Ingekuwa vizuri kama we nae ungekuwa unaishi huko holland ili iwe rahisi kutrack kinachoendelea

    4. #3
      Chuck j's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Location : DAR ES SALAM/KINONDONI
      Posts : 444
      Rep Power : 489
      Likes Received
      53
      Likes Given
      5

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      Ingieni mkataba nao,unaweza kuwa unamtembelea kila baada ya miezi mitatu au aje yeye tz,,gharama zao,,mkataba uthibitishwe nakusimamiwa na serikali kupitia wizara ya wamama watoto na jinsia,,elimu mpaka chuo,na mambo mengine,

    5. #4
      mandieta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 2,782
      Rep Power : 899
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By andybird314
      huyo mtoto hasomi?
      huna mpango na huyo mtoto?
      Inakuwaje unawataka waachia watu kirahisi au si mwanao?
      Ingekuwa vizuri kama we nae ungekuwa unaishi huko holland ili iwe rahisi kutrack kinachoendelea
      Ni mwanangu wa kumzaa na anasoma std3.

    6. #5
      Masuke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2008
      Posts : 2,169
      Rep Power : 1006
      Likes Received
      382
      Likes Given
      80

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      Mtani umezaa Tyson? kama ana kipaji bembeleza mama yake dogo aanze kuingiza hela badala ya kupiga watu mtaani na wewe kuingia gharama za kutibu watu.

      Kama ni shule atasoma huko huko, make sure unafuata taratibu za kisheria au kama hujui tafuta wakili akuelekeze taratibu zote na akuwakilishe wakati hao Waholand wanamchukua kama mtakubaliana masharti.
      bornagain likes this.
      Open your eyes, look within. Are you satisfied with the life you're living?-Bob Marley

    7. Miaka 50

    8. #6
      mandieta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 2,782
      Rep Power : 899
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Chuck j
      Ingieni mkataba nao,unaweza kuwa unamtembelea kila baada ya miezi mitatu au aje yeye tz,,gharama zao,,mkataba uthibitishwe nakusimamiwa na serikali kupitia wizara ya wamama watoto na jinsia,,elimu mpaka chuo,na mambo mengine,
      Offcourse that's why nimewaomba tuonane ingawa inaonyesha wako very interesting na hata sasa wako nyumbani kwa mother wakijaribu kupata history ndogo na wanarecord baadhi ya picha na mazingira ya nyumbani kwetu kijijini.
      But dogo hawajamkuta maana alikua na ratiba ya kwenda kuchunga leo but nimewambia wamfuate.
      maishapopote likes this.

    9. #7
      mandieta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 2,782
      Rep Power : 899
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Masuke
      Mtani umezaa Tyson? kama ana kipaji bembeleza mama yake dogo aanze kuingiza hela badala ya kupiga watu mtaani na wewe kuingia gharama za kutibu watu.

      Kama ni shule atasoma huko huko, make sure unafuata taratibu za kisheria au kama hujui tafuta wakili akuelekeze taratibu zote na akuwakilishe wakati hao Waholand wanamchukua kama mtakubaliana masharti.
      Mtani nilikua nina 100% kwamba my soon atakua mtu wa football maana hiyo mi surprise ya jezi na njumu niliyokua namnunulia usipime,badala yake upepo umegeuka,kwa kweli mtani huyu dogo ni mbavu kishenzi,maana ata mamake alishashindwa kudhibiti kwa stick that's why nikampeleka bush.Maana nilihisi labda picha za kichina zimemuharibu.

    10. #8
      HOMOSAPIEN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Posts : 483
      Rep Power : 508
      Likes Received
      131
      Likes Given
      42

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      akichemsha tu wanamtelekeza,sasa amua moja lakini vizuri mtoto akae na mama au baba yake kwa makuzi mazuri
      THE FUTURE ALWAYS START TOMORROW AND NOT TODAY

    11. BAK
      #9
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,582
      Rep Power : 44961
      Likes Received
      8325
      Likes Given
      8304

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      Bado mdogo sana huyo kumkabidhi kwa watu usiowafahamu. Wazungu si watu wa kuamini wanaweza kabisa wakawa wanamgeuza mwanamke. Kama una mtu huko Holland (Mtanzania) unayemwamini kumfuatilia mwanao kwa karibu sana hakuna tatizo vinginevyo OGOPA!!!
      Abdulhalim likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    12. #10
      mandieta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 2,782
      Rep Power : 899
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By BAK
      Bado mdogo sana huyo kumkabidhi kwa watu usiowafahamu. Wazungu si watu wa kuamini wanaweza kabisa wakawa wanamgeuza mwanamke. Kama una mtu huko Holland (Mtanzania) unayemwamini kumfuatilia mwanao kwa karibu sana hakuna tatizo vinginevyo OGOPA!!!
      Ahsante kwa ushauri!

    13. #11
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      nimesoma hii nimebaki nacheka mwenyewe..(::
      Moola's the motive

    14. #12
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,852
      Rep Power : 2331
      Likes Received
      2860
      Likes Given
      5516

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      Mkuu,

      Waombe DATA zao kwanza na nenda ubalozi wa Netherland na UWAHAKIKI kama kweli ni Shirikisho la kweli la michezo.

      Kama ni mzuri na anaweza kupokea kipigo na kurusha kipigo, basi pia jaribu kumtafuta mtu anaitwa REMY BONJASKY ambaye ana shule yake nzuri sana ya hii michezo ya watu wenye Maguvu yao.
      Akishakuwa huko, hata kama atachemsha, bado anaweza kuwa kashafahamiana na WAKALI duniani. Remy kwa sasa anamfundisha kijana wa ki-Congo na jamaa anazipiga si kawaida.

      Remy ni wale Weusi wanaoishi Uholanzi na wana asili ya koloni lao liitwalo SURINAM.

      Jamaa anafahamika sana duniani kwani alishakuwa hadi bingwa wa dunia wa K-1, mchezo ambao ni Brutal sana.

      WEBSITE yake ni: http://www.remybonjasky.com/

      Kuhusu umri, nachelea kusema umeshaanza kuchelewa kwani kwa wenzetu, alitakiwa kuwa kashaanza mazoezi siku nyingi sana. Maisha ni PATA POTEA, hujui Dogo ndiyo inaweza kuwa kipaji chake hicho.

      Kesho anaweza kuja kuwa hata kocha kama akina Mlundwa au Promotor.
      maishapopote likes this.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    15. #13
      Iselamagazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Location : Boma ng'ombe, Hai
      Posts : 767
      Rep Power : 4709
      Likes Received
      246
      Likes Given
      281

      Default

      Quote By Abdulhalim
      nimesoma hii nimebaki nacheka mwenyewe..(::
      Wakurya bwana! Kumbe ngumi ziko ktk damu. Iko siku hata baba yake atapigwa ngumi! Amang'ana gasarikile tata! Strike the hammer while iron is still hot!

    16. #14
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,852
      Rep Power : 2331
      Likes Received
      2860
      Likes Given
      5516

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!



      Wanamwita "The Flying Gentleman".

      Kwenye Video akiwa na Danyo Ilunga (Congo) kwenye shule yake: Bonjasky Academy : Danyo Ilunga in world championship training with Remy Bonjasky + Interviews - YouTube
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    17. #15
      Anyisile Obheli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2009
      Location : Rohoni
      Posts : 3,261
      Rep Power : 1125
      Likes Received
      68
      Likes Given
      82

      Default

      Quote By Masuke
      Mtani umezaa Tyson? kama ana kipaji bembeleza mama yake dogo aanze kuingiza hela badala ya kupiga watu mtaani na wewe kuingia gharama za kutibu watu.

      Kama ni shule atasoma huko huko, make sure unafuata taratibu za kisheria au kama hujui tafuta wakili akuelekeze taratibu zote na akuwakilishe wakati hao Waholand wanamchukua kama mtakubaliana masharti.
      ha ha ha ha

    18. #16
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,012
      Rep Power : 8379
      Likes Received
      833
      Likes Given
      695

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      Mhhhhhhh!Mkuu Dunia imekuwa ya ajabu sana,unaweza kuwaamini watu baadae ukaja kujuta.Kwa kifupi wazungu siyo watu wa kuamini kabisa.Ila uamuzi ni wako

    19. #17
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default

      Quote By Masuke
      Mtani umezaa Tyson? kama ana kipaji bembeleza mama yake dogo aanze kuingiza hela badala ya kupiga watu mtaani na wewe kuingia gharama za kutibu watu.

      Kama ni shule atasoma huko huko, make sure unafuata taratibu za kisheria au kama hujui tafuta wakili akuelekeze taratibu zote na akuwakilishe wakati hao Waholand wanamchukua kama mtakubaliana masharti.
      Kweli kabisa coz mayweather floyd jr alikuwa na historia kama hii.

    20. #18
      andishile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 601
      Rep Power : 480
      Likes Received
      146
      Likes Given
      292

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      Hawa watu weupe sio wa kukurupuka kuwaamini,hata kitendo cha wao kuwaruhusu warekodi mambo ya kwenu na historia ya mtoto ni dili tosha kwao,mi nakushauri kwanza wafuatilie sana kwa undani bila wao kujua maana wakijua hawakawii kujipanga sawasawa!usitoe mtoto kirahisi,maana mtoto si nguo,ukaomba mtu!ukiamua wamchukue ushauri wa bure ni kwamba wajamaa hawa wajanja sana,unaweza jikuta kwenye mkataba umeingia kichwakichwa ukakosa mwana hivihivi,na usikubali kuingia mkataba kwa mwanasheria wao,awe ni mwanasheria uliyemchagua wewe,na shirikisha serikali yako ktk kila hatua ya makubaliano

    21. #19
      rodrick alexander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 705
      Rep Power : 508
      Likes Received
      170
      Likes Given
      333

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      Wewe mwenyewe ulimshindwa ukaamua kumpeleka kwa bibi yake lakini wamekuja waholland wamegundua kipaji chake unaweza kumzuia lakini usimtimizie kile anachohitaji matokeo yake akageuka kibaka au jambazi lakini kule mbali ya kumpatia mafunzo kutakuwa na wataalamu wa saikolojia ambao watamrekebisha tabia ili wakati anaendeleza kipaji chake vilevile aweze kuishi vizuri na jamii cha muhimu kama mzazi hakikisha hao wetu ni kweli wanahusika na shuguri hizo na pia tatakuwa katika mikono sala,a
      Mwana kinyonga likes this.

    22. #20
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,163
      Rep Power : 28897
      Likes Received
      11645
      Likes Given
      4808

      Default Re: Wazungu wanamtaka mwanangu!!

      Kuna kaka tunafahamiana, mwanae wa kujifunzia alichukuliwa kwa staili hii. Kumbe akawa anatumika kusafirisha madawa ya kulevya. Alikuja kufia China, in a hotel baada ya vidonge kupasukia tumboni. Mamake hakuweza hata ku-claim mwili kwa hofu.

      Kuwa extra careful aisee!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...