Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      ngomicom's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 57
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      6

      Default SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      Jioni hii kwenye Michezo na Times Fm nimejulishwa kauli ya Wekundu wa msmbz juu ya pesa za M. Twite, kwaujumla zimethibitisha nilichokuwa nakifikiria juu ya Watani wa jadi, Yng SC. Hapa nawapongeza Simba kukataa kuzipokea pesa zilizorudishwa na Viongozi wa APR & Lupopo FC ambao wamekubali kutumiwa kijinga na watu wasiopenda maendeleo ya soka la bongo kwani:
      • Viongozi hawa Wamethibitisha kuwa Twite alipokea pesa halali ya usajili toka msimbazi
      • Wakati anapokea akiwa na akili timamu hakuwepo TFF wala CECAFA
      • Sehemu pekee ya kuirudisha pesa ni msimbazi tena si kupitia watu bali ni yeye Twite akijenga hoja kwa wanasimba kwanini sasa anarudisha pesa.
      • Yanga hawana mamlaka ya kusema kuwa walikuwa na mchakato tangu mapema wa Twite kwani yeye mwenyewe alipokea na kukubali kuichezea simba. Nawauliza yanga hivi wachezaji wazuri kwenu wapo simba tuu, ama nyie ni vip*fu kmkitegemea kuongozwa na Mnyama?



      LUCIFER likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,531
      Rep Power : 908
      Likes Received
      518
      Likes Given
      74

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      Mwaka huu mta weweseka sana, yaani na wewe umeingia mkenge? Hivi walitakiwa waongee na MBUYI au Club yake?

    4. #3
      ngomicom's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 57
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      6

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      kumbe hujui soka!, Twite hakuwa na mkataba na timu yeyote? hao unaowataja wa nini? acha kuleta mambo yko ya ndala hapa. Toooooooooooooooka

    5. #4
      Makoye Matale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Location : Uwandani, Kondeni
      Posts : 1,185
      Rep Power : 645
      Likes Received
      238
      Likes Given
      45

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      Nimesikia RFA usiku huu kuwa Simba wanampeleka mahakamani Twite, hakuna mahakama ya Tanzania itakayosikiliza kesi hiyo kwa vile kosa lilifanyikia Kigali Rwanda, Rage ajipange kwenda huko siyo Kisutu, ni ushauri tu.
      MKALIKENYA likes this.

    6. #5
      ngomicom's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 57
      Rep Power : 358
      Likes Received
      4
      Likes Given
      6

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      Big up sir, Tunahitaji mabadiliko pande zote si habari za kuwafuata wachezaji waliotambuliwa na simba. Hawa Y*nga vipi?


    7. #6
      Bwana Mapesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 466
      Rep Power : 502
      Likes Received
      83
      Likes Given
      212

      Default

      Quote By Likwanda
      Mwaka huu mta weweseka sana, yaani na wewe umeingia mkenge? Hivi walitakiwa waongee na MBUYI au Club yake?
      maongez na club kwa mchezaji aliyemaliza mkataba wake?huru?ha ha ha ..kurupu kurupu mbaya..!

    8. #7
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,614
      Rep Power : 783
      Likes Received
      218
      Likes Given
      350

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      fungeni huyo Twite nitapeli na mwenye tamaa kama ccm
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    9. #8
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)


    10. #9
      Nyenyere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 1,881
      Rep Power : 0
      Likes Received
      487
      Likes Given
      689

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      Alshabab keshavuta hela ya Twite. Nyie kaeni mkisubiri mahakama.

    11. #10
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,984
      Rep Power : 2611
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      holaaaaaa

    12. #11
      makumvi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th March 2012
      Posts : 79
      Rep Power : 376
      Likes Received
      11
      Likes Given
      37

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      Twite ninani hasa ? anahisa na simba au ameshikiria uwezo wa wachezaji wa simba kiasi asipokuwepo timu haifanyi vizuri ? aaaah acheni kumkweza kiasi hiko. itakuwaje basi siku atakapokuwa garasa kama Mwape na Asamoah? c mtakuwa wa kwanza kusema '' Afadhali yanga wangemwacha aende simba tu kuliko kutuletea mtu kama huyu,,,,Hii ni bongo jamani wenzetu hamna uwezo wa kuwatengeneza wachezaji wa nje wakawa wazuri kama simba. mwenye masikio na asikie.

    13. #12
      mwakitundilo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2012
      Posts : 28
      Rep Power : 346
      Likes Received
      7
      Likes Given
      3

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      Nakubaliana na wewe mkuu, lakini nashauri wazee wa simba wafikirie adhabu ndogo tu ya kumpa huyu mbuyu twite kwa kitendo chake cha kitapeli. Napendekeza wazee wamshushe ki-tenesi.
      Quote By ngomicom
      Jioni hii kwenye Michezo na Times Fm nimejulishwa kauli ya Wekundu wa msmbz juu ya pesa za M. Twite, kwaujumla zimethibitisha nilichokuwa nakifikiria juu ya Watani wa jadi, Yng SC. Hapa nawapongeza Simba kukataa kuzipokea pesa zilizorudishwa na Viongozi wa APR & Lupopo FC ambao wamekubali kutumiwa kijinga na watu wasiopenda maendeleo ya soka la bongo kwani:
      • Viongozi hawa Wamethibitisha kuwa Twite alipokea pesa halali ya usajili toka msimbazi
      • Wakati anapokea akiwa na akili timamu hakuwepo TFF wala CECAFA
      • Sehemu pekee ya kuirudisha pesa ni msimbazi tena si kupitia watu bali ni yeye Twite akijenga hoja kwa wanasimba kwanini sasa anarudisha pesa.
      • Yanga hawana mamlaka ya kusema kuwa walikuwa na mchakato tangu mapema wa Twite kwani yeye mwenyewe alipokea na kukubali kuichezea simba. Nawauliza yanga hivi wachezaji wazuri kwenu wapo simba tuu, ama nyie ni vip*fu kmkitegemea kuongozwa na Mnyama?




    14. #13
      LUCIFER's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 361
      Likes Received
      32
      Likes Given
      41

      Default Re: SIMBA!HAPO SAWA,KAZA BUTI KAMWAGA (Who is Twite?)

      Hasira blaza kabla hujalipa deni la urithi (6).....unakutana na deni jipya (5-0) we unadhani watoto wao wakirithi haibu hizi watakuwa na lipi la kusimulia....wanawafata simba sababu wanajua inajua ku point.!umebaki USHINDANI WA HELA....NENDENI MKASHINDANE NA B.O.T...

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...