wadai hii game inapigwa muda gan kwa huku kwetu tz. Manake magazeti mengi yameandikwa muda tofauti tofauti sana, aliyotoka jana jana na leo.
wadai hii game inapigwa muda gan kwa huku kwetu tz. Manake magazeti mengi yameandikwa muda tofauti tofauti sana, aliyotoka jana jana na leo.
Game ishaanza
Wanaparuana sana leo...
What a goal by Torres....
Kazi nzuri sana Ramires...
Chelsea 1-0 Man City
Dakika ya 40
Kadi nyekundu kwa Braslav Ivanovic.....
"Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.
Half Time
Chelsea 1-0 Man City
"Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.
Wanangu man city leo mnaniangusha sana
Balantanda shkamoo bana
Balantanda...shukran mkubwa. Yan nipo kwenye basi lakini bado nimeshangilia...
Vp ivanovic alifanya nn tena??!
Hii wanasema ni mechi ya kutafuta mshindi wa Community Shield. Kwa nini ni kati ya Manchester City and Chelsea na wala sio Man City na Man U? Nilifikiri hii shield uwa inagombewa na mshindi wa kwanza na wa pili wa msimu wa ligi uliopita? anayejua anifafanulie hapa!!!!
Tiba
Mkuu Balantanda habari,naona msimu wetu wa burudani umeanza pamoja saaaana.
What a goal by Yaya Toure...
Chelsea 1-1 Man City
Dakika ya 53
"Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.
Man C wamesawazisha sasa 1-1 kupitia kwa Toure!!!!
Tiba
"Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.
Chelsea 1-2 Man City
Carlos Tevez....
Dakika ya 58
"Tukosoane, turekebishane, tuwajibishane ndipo tusameheane" Regia Mtema.
Man City wanapata goli la 2 kupitia kwa Tevez. Dakika ya 59!!!!
Tiba
Tevez ndani pale D.Luiz amemsindikiza vizuuuuri.
Aah mi nilikua nashabikia chelsea ila naona wanazidiwa hapa.... Come on chelsea msiwape man city community shield hiyo
Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde
One man's good fortune is another man's misfortune
Follow Us Here