Pamoja na kuwa mchezaji wao mwenye mkataba, simba imelazimika kumpa emmanuel okwi kiasi cha milioni 50 na gari juu, lengo ni kuhakikisha anaitumikia club hii,
Pamoja na kuwa mchezaji wao mwenye mkataba, simba imelazimika kumpa emmanuel okwi kiasi cha milioni 50 na gari juu, lengo ni kuhakikisha anaitumikia club hii,
source of your information???
co ishu rooney alipewa pesa mingi baada ya kuona mancity wanataka kumnyatia.hii ipo tu
Si Maarage alisema kuwa thamani yake nje ya Yanga ni billioni 3????
The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!
Hata ningekuwa mimi Okwi ninge'demand not less than huo mkwanja,unajua kuna vitu MahaRage anavifanyaga pasipo kujua kuwa mwisho wa siku vinamrudia yeye mwenyewe,unapom'publish mchezaj kuwa ana thamani kubwa namna ile unafikiria unamtengenezea picha gani katika akili yake,tena hapo kawafanyia favour sana ingetakiwa awakamue 100(Mill) kabisa,eenh si wa billion 3......
mimi sielewi sasa hapa!
Si nilimuona Mwenyekiti wa Simba na Mbunge wa Tabora Mjini akisema wamemuuza Austria kwa Euro 700,000, na akasema kuwa watatumia hizo pesa kuendeleza uwanja wao mpya huko Bunju!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!??????????????
Je alikuwa anadanganya au hakujua alichokuwa akikiongea mzee wa Bastora!? Sasa kama hata wabunge na wenyeviti wanaishi kwa kusema uongo na uzushi sisi wanachama wa kawaida itakuwaje? Nchi hii bwana..
Maarage amedhihilisha ukomavu wake katika ubabaishiji,inasikitisha.
Rage kawageza mashabiki simba ndondocha!
Taifa la blah blah blah blah blah blah
Si'saini Simba naondoka zangu.
Ni maoni ya Mshambuliaji Emanuel Okwi wa Simba ambaye alikuwa akijibu swali la Mwandishi wa Global Publishers.
Okwi aliendelea kueleza kuwa ingawa bado ana mkataba na Simba lkn bado haja'sign kukipiga na team hiyo msimu unaokuja ksbb bado ana mpango wa kwenda kujaribu bahati yake ya kukipiga Ulaya.
Source: Gazeti la Champion la leo.
Open your eyes, look within. Are you satisfied with the life you're living?-Bob Marley
Follow Us Here