Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Emmanuel okwi na simba sport club

    Report Post
    Results 1 to 14 of 14
    1. #1
      kichenchele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2010
      Posts : 266
      Rep Power : 504
      Likes Received
      15
      Likes Given
      3

      Default Emmanuel okwi na simba sport club

      Pamoja na kuwa mchezaji wao mwenye mkataba, simba imelazimika kumpa emmanuel okwi kiasi cha milioni 50 na gari juu, lengo ni kuhakikisha anaitumikia club hii,

    2. Miaka 50

    3. #2
      GAMAH's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th July 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 349
      Likes Received
      2
      Likes Given
      20

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      source of your information???

    4. #3
      yaser's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Posts : 940
      Rep Power : 632
      Likes Received
      137
      Likes Given
      2

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      co ishu rooney alipewa pesa mingi baada ya kuona mancity wanataka kumnyatia.hii ipo tu

    5. #4
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,384
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      595

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      Si Maarage alisema kuwa thamani yake nje ya Yanga ni billioni 3????
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    6. #5
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 725
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      Quote By Mkirua
      Si Maarage alisema kuwa thamani yake nje ya Yanga ni billioni 3????
      Hata ningekuwa mimi Okwi ninge'demand not less than huo mkwanja,unajua kuna vitu MahaRage anavifanyaga pasipo kujua kuwa mwisho wa siku vinamrudia yeye mwenyewe,unapom'publish mchezaj kuwa ana thamani kubwa namna ile unafikiria unamtengenezea picha gani katika akili yake,tena hapo kawafanyia favour sana ingetakiwa awakamue 100(Mill) kabisa,eenh si wa billion 3......
      lukindo likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      Quote By kichenchele
      Pamoja na kuwa mchezaji wao mwenye mkataba, simba imelazimika kumpa emmanuel okwi kiasi cha milioni 50 na gari juu, lengo ni kuhakikisha anaitumikia club hii,
      mimi sielewi sasa hapa!

      Si nilimuona Mwenyekiti wa Simba na Mbunge wa Tabora Mjini akisema wamemuuza Austria kwa Euro 700,000, na akasema kuwa watatumia hizo pesa kuendeleza uwanja wao mpya huko Bunju!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!??????????????

      Je alikuwa anadanganya au hakujua alichokuwa akikiongea mzee wa Bastora!? Sasa kama hata wabunge na wenyeviti wanaishi kwa kusema uongo na uzushi sisi wanachama wa kawaida itakuwaje? Nchi hii bwana..


    9. #7
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,905
      Rep Power : 2595
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1609

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      Quote By Mkirua
      Si Maarage alisema kuwa thamani yake nje ya Yanga ni billioni 3????
      Huyo huwa na kauchizi fresh.

    10. #8
      Baruni's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 361
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      Maarage amedhihilisha ukomavu wake katika ubabaishiji,inasikitisha.

    11. #9
      Maswalala's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 441
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By lukindo
      mimi sielewi sasa hapa!

      Si nilimuona Mwenyekiti wa Simba na Mbunge wa Tabora Mjini akisema wamemuuza Austria kwa Euro 700,000, na akasema kuwa watatumia hizo pesa kuendeleza uwanja wao mpya huko Bunju!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!??????????????

      Je alikuwa anadanganya au hakujua alichokuwa akikiongea mzee wa Bastora!? Sasa kama hata wabunge na wenyeviti wanaishi kwa kusema uongo na uzushi sisi wanachama wa kawaida itakuwaje? Nchi hii bwana..

      mkuu sio kuendeleza uwanja kumbuka hata dalili za lori za mchanga hazijaanza kuonekana au ulikuwa huna taarifa?

    12. #10
      Nyenyere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 1,861
      Rep Power : 0
      Likes Received
      485
      Likes Given
      689

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      Rage kawageza mashabiki simba ndondocha!

    13. #11
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,562
      Rep Power : 805
      Likes Received
      523
      Likes Given
      408

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      Taifa la blah blah blah blah blah blah

    14. #12
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,207
      Rep Power : 5358
      Likes Received
      292
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Mupirocin
      Taifa la blah blah blah blah blah blah
      Si-amini kama huu ndo mchango wako uliokuwa nao juu ya threas hii, funguka tena.

    15. #13
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 725
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      Si'saini Simba naondoka zangu.
      Ni maoni ya Mshambuliaji Emanuel Okwi wa Simba ambaye alikuwa akijibu swali la Mwandishi wa Global Publishers.
      Okwi aliendelea kueleza kuwa ingawa bado ana mkataba na Simba lkn bado haja'sign kukipiga na team hiyo msimu unaokuja ksbb bado ana mpango wa kwenda kujaribu bahati yake ya kukipiga Ulaya.

      Source: Gazeti la Champion la leo.

    16. #14
      Masuke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2008
      Posts : 2,144
      Rep Power : 1001
      Likes Received
      378
      Likes Given
      80

      Default Re: Emmanuel okwi na simba sport club

      Quote By Anselm
      Si'saini Simba naondoka zangu.
      Ni maoni ya Mshambuliaji Emanuel Okwi wa Simba ambaye alikuwa akijibu swali la Mwandishi wa Global Publishers.
      Okwi aliendelea kueleza kuwa ingawa bado ana mkataba na Simba lkn bado haja'sign kukipiga na team hiyo msimu unaokuja ksbb bado ana mpango wa kwenda kujaribu bahati yake ya kukipiga Ulaya.

      Source: Gazeti la Champion la leo.
      Msimu unaokuja msimu gani, 2012/2013 au msimu upi? ana mkataba hadi june 2013 kwa hiyo hahitaji kusaini tena ili achezee Simba msimu unaokuja labda kama unaongelea msimu unaokuja baada ya unaokuja.
      Open your eyes, look within. Are you satisfied with the life you're living?-Bob Marley

    17. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...