Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

    Report Post
    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 165
    1. #1
      CHUAKACHARA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 3,021
      Rep Power : 7642
      Likes Received
      990
      Likes Given
      752

      Default Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Mh. Aden Rage,

      Mheshimiwa wakati unachangia hotuba ya upinzani, umepotoka kwa kumuita mwenzako (Mchungaji Msigwa) a fool!! Nilikuwa nakuona kama mtu wa maana kumbe hauko hivyo. Uko kwenye mfungo mtukufu unamwita mwenzako mpumbavu ( a fool) . Lugha kama hiyo kwa mtu aliyefunga kwa maungamo, haifai. Fungua tu, wala hutapata thawabu.

      Lugha kama hiyo haifai toka kinywani mwako. Kumbe ndio maana Simba haisongi mbele kama hekima yako ndio hiyo.
      gmosha48, Mlangaja, Ehud and 3 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #61
      Concrete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 983
      Likes Received
      461
      Likes Given
      0

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Mwacheni tu atukane maana anajua M4C inakuja pia Tabora, na hawezi kupona.

      Tupende tusipende jimbo la Tabora mjini 2015 lazima liende upinzani, sioni mahali ambapo Aden Rage anaweza kuponyoka kutokana na harakati za kisiasa zinazoendeshwa kwa kasi na Chadema kanda ya kati kwa sasa.

      Hawa jamaa wa CHADEMA wamejipanga na kudhamiria kisawasawa kuyachukua majimbo kadhaa ya mkoani Tabora(Tabora mjini,Nzega,Igunga,Bukene,Siko nge).

      Kama Aden Rage ni mjanja ninamshauri achunge sana mdomo wake kwa sasa, ama awaulize Dr. Kafumu na Dr.Kingwangwala ambao vifo vya ubunge wao ndani ya CCM viko wazi na dhahiri, asijifanye hajui akili za wanyamwezi zikoje, asubiri tu muda ufike moto umwakie.

      Wahenga walisema ''Usitukane wakunga na uzazi ungalipo''.

    4. #62
      Isalia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 454
      Rep Power : 471
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Naweza kusema wapenzi wengi na wanachama wa CDM vichwa vyao vikubwa kama kambale lakini havina uelewa inawezekena rage amekosea lakini neno hilo angelisema mbunge wa CDM mngelimsifu na kutungiwa methali ila kwa upande wenu kumbe yanawachoma'FOOL'

    5. #63
      Mbopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2008
      Posts : 2,531
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      375
      Likes Given
      13

      Default

      Quote By OTIS
      Kuna kosa gani kumuita mtu a fool?
      Hasa akiwa anaoana na maana ye neno hilo. Au kwa sababu ni wa chadema? He is indeed a fool!

    6. #64
      kupelwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2011
      Location : DAR-ES-SALAAM
      Posts : 456
      Rep Power : 483
      Likes Received
      120
      Likes Given
      31

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Quote By ruttashobolwa
      Utakuwa unaumwa!
      kwa lugha ya kiswahili sanifu lina maana ya mshenzi: kimstakabari, bunge ni mahala patakatifu, lugha za kejeli, karaha, kuudhi, hazitakiwi.na pia ni lazima watu waanze kujifunza kusitahimiliana kwa hoja na si kutukanana.rage ni mhuni, ndo maana alifungwa kwa wizi.napata shaka ccm na weledi wao kumpitisha mtu aliyekuwa amefungwa, ina tia shaka uadilifu wake.Hiyo kusema alishinda rufaa, aliishinda baada ya kupata msamaha na rufaa, hiyo aliifanya kiujanjaujanja baaday msamaha.hivyo kwa watu weledi uadilifu wake una shaka.pia hata simba walitakiwa kutilisa shaka wakati anakwenda moro united na kuwanyima tonge mdomoni, leo ati ni mwenyekiti wa simba.Kimsingi kisiasa kavamia taaluma ambayo hana uwezo nayo, na hivyo kuita shaka waliomchangua walikuwa na fikra gani?rushwa au umakini?

    7. #65
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,437
      Rep Power : 1123
      Likes Received
      635
      Likes Given
      826

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Quote By OTIS
      Kuna kosa gani kumuita mtu a fool?
      MSOMALI mwenzake angethubutu kumuita hivyo, ww huwajui hawa watu wanaubaguzi mkubwa, na kujikweza? kwao Mswahili ni mtu wa Daraja la chini wanaona heri ya mwarabu na Mhindi ambaye sio kafiri
      Sending by: BlackBerry 8100 Smartphone using JamiiForum

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      Endangered's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Location : Orbit
      Posts : 901
      Rep Power : 397
      Likes Received
      190
      Likes Given
      962

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Quote By nyabhingi
      hivi bungeni kuna metal detector?alshabab anatembea na bunduki kiunoni
      sio tu hilo mkuu, pia tunahitaji MENTAL detector, maana sijui wengine wanaziacha wapi wakiingia mjengoni.
      "No matter how busy you may think you are, you must find time for reading, or surrender yourself to self-chosen ignorance" Confucius (551-479 BC)

    10. #67
      DALLAI LAMA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 2,831
      Rep Power : 0
      Likes Received
      697
      Likes Given
      0

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Mwacheni 'rais wa wekundu' wa msimbazi

    11. #68
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,851
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1004
      Likes Given
      128

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Ismail Rage,Kasim Dewji,Hassan Hasanoo ndio wanaongoza kwa kununua pembe za tembo hapa dar!ofisi yao ipo haidery plaza!na huzibeba kwa magari ya STK ofisi ya waziri mkuu toka lindi.Ipo siku mtaamini maneno yangu

    12. #69
      raymg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 643
      Rep Power : 475
      Likes Received
      143
      Likes Given
      15

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Quote By marire
      kweli tabora mlijitahidi kutuchagulia mbunge wakati chadema wawaumbua wezi wa maliasili zetu,ccm wanawaita fool?
      nani kakwambia tabora wanachagua mtu....kule we weka bendera tu unapita, wanachagua chama sio mtu
      Muangila likes this.

    13. #70
      Muangila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2010
      Posts : 812
      Rep Power : 632
      Likes Received
      185
      Likes Given
      497

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Quote By OTIS
      Kuna kosa gani kumuita mtu a fool?
      kama huoni tatizo mtu kuitwa fool wewe utakuwa bonge la FOOL

    14. #71
      Johnsecond's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Posts : 932
      Rep Power : 650
      Likes Received
      152
      Likes Given
      65

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      yule IQ yake ni ndogo sana sana, sasa nashangaa kuwa watu wenye IQ kubwa jf mnamjadili.

    15. #72
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,614
      Rep Power : 783
      Likes Received
      218
      Likes Given
      347

      Default re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      yamtokayo mtu kinywani ndiyo yaliyoujaza moyo wake
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    16. #73
      Technology's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Abbottabad, Pakistan
      Posts : 426
      Rep Power : 521
      Likes Received
      29
      Likes Given
      95

      Default Re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      i dont believe on the color of the skin, kama rage akawe mbunge somalia, how about Obama?
      Quote By OSOKONI
      Umenishtusha sana unaposema ulikuwa unamuona Rage a.k.a Alshabab ni mtu wa maana! kwa lipi? si aliwahi kufungwa kwa kuiba pesa ya FAT?? akatishia watu kwa pistol kwenye kampeni Igunga sasa anafyonza pesa za klabu yetu ya simba amekula hata rambirambi ya marehemu mafisango?

      Huyu anatakiwa arudishwe kwao nawashangaa sana watu wa tabora kuongozwa na msomali jangili hata kama mnaipenda ccm hakuna mbantu mwenzenu? acheni kutuletea aibu tunakumbuka na kuheshimu sana mchango wa mtemi Mirambo kwenye ukombozi wa taifa hili, msimuangushe hivo!!

    17. #74
      JIULIZE KWANZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 1,591
      Rep Power : 751
      Likes Received
      249
      Likes Given
      678

      Default Re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Uislam na swaumu za kweli zenye ku swii kwa mwenyezi Mungu ni uarabuni tuu, Wenzetu waarabu mwezi Huu mtukufu huacha kazi zao, biashara zao na Kukaa nyumbani na familia zao ili kukwepa Najaribu Kama hayo si wengine tunasindikiza tuu na katika swaumu za watu 1000 zinazo swii au kupokelewa na Allah si zaidi ya kumi duniani na kwa hapa bongo si zaidi ya 1-1000 ivo simshangai rage kwa kufanya mazoezi ya kushinda na njaa....Mungu amsamehe
      There shall be no peace without right for all...By Bob Marley.

    18. #75
      JIULIZE KWANZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 1,591
      Rep Power : 751
      Likes Received
      249
      Likes Given
      678

      Default Re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Quote By Isalia
      Naweza kusema wapenzi wengi na wanachama wa CDM vichwa vyao vikubwa kama kambale lakini havina uelewa inawezekena rage amekosea lakini neno hilo angelisema mbunge wa CDM mngelimsifu na kutungiwa methali ila kwa upande wenu kumbe yanawachoma'FOOL'


      Yani umenilazimisha kuku qoute japo na smell BAN Wacha nikachangie thread zingine au comments nyingine na sio comments ya KOTAMA Kama wewe
      There shall be no peace without right for all...By Bob Marley.

    19. #76
      Crucial Man's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 1,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      238
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By Bobuk
      Rage is a convicted CRIMINAL before the court of law. That is a PLAIN TRUTH. It is because of our bad constitution that is why he is out of jail. If it was not that, Rage should be behind bars and not in the parliament. I stand to be corrected.
      no correction mkuu,that guy should be behind the bars.he pissed me off too.

    20. #77
      manduchu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 78
      Rep Power : 375
      Likes Received
      9
      Likes Given
      7

      Default Re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      kauli aliyotumia sio ya kiungwana, sio tu ni mbaya kwa msigwa lakini inaharibu kabisa muonekano wa bunge letu .in short kauli kama ile ilikuwa inatumika na wakoloni.

    21. #78
      nashy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : MANG'ORA
      Posts : 663
      Rep Power : 555
      Likes Received
      134
      Likes Given
      124

      Default Re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Kwa lugha hizi za Rage basi bora nihame simba, nitakua shabiki wa Manyema
      Kama unataka mabadiliko ya kweli katika Taifa hili hamia CHADEMA hujachelewa bado

    22. #79
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,537
      Rep Power : 1804
      Likes Received
      2461
      Likes Given
      2497

      Default Re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Hakuna nchi yoyote duniani ex-jailbird Ismael Aden Rage angeweza kuukwaa ubunge isipokuwa Tanzania tena kwa kupitia chama cha wahalifu wenzake, that is the plain truth.
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    23. #80
      IPECACUANHA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Posts : 1,092
      Rep Power : 636
      Likes Received
      223
      Likes Given
      50

      Default Re: Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

      Quote By Mag3
      Hakuna nchi yoyote duniani ex-jailbird Ismael Aden Rage angeweza kuukwaa ubunge isipokuwa Tanzania tena kwa kupitia chama cha wahalifu wenzake, that is the plain truth.
      Before he went to jail "alistaafishwa kwa manufaa ya umma akiwa mfanyakazi wa CDA". No one with straight mind will take him seriously or even listen to him when ha talks "kwa manufaa ya umma"

    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...