Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!
Katika mwaka ambao Simba wamelamba galasa ktk usajili wa wachezaji wapya ni mwaka huu 2012. Mchezo ulioonyeshwa na watani ktk kombe la Kagame ni wa kiwango cha chini mno hata hivyo sijui waliingiaje hatua ya robo fainali na timu mbovu kiasi kile niliitamani sana Simba ikutane na Yanga wafundishwe soka na mbelgiji Tom..Nikiwa kama shabiki wa Yanga ningependa nimshauri mtani kurejea kwenye usajili Lasivyo Itashuka daraja watu wamejiandaa msimu huu...nadhani mnamsubiri Okwi arudi.
Re: Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!
By daniel don
Katika mwaka ambao Simba wamelamba galasa ktk usajili wa wachezaji wapya ni mwaka huu 2012. Mchezo ulioonyeshwa na watani ktk kombe la Kagame ni wa kiwango cha chini mno hata hivyo sijui waliingiaje hatua ya robo fainali na timu mbovu kiasi kile niliitamani sana Simba ikutane na Yanga wafundishwe soka na mbelgiji Tom..Nikiwa kama shabiki wa Yanga ningependa nimshauri mtani kurejea kwenye usajili Lasivyo Itashuka daraja watu wamejiandaa msimu huu...nadhani mnamsubiri Okwi arudi.
By Crashwise
...
Labda mtazilipa hizi...
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Follow Us Here