Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      daniel don's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 356
      Likes Received
      3
      Likes Given
      45

      Default Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!

      Katika mwaka ambao Simba wamelamba galasa ktk usajili wa wachezaji wapya ni mwaka huu 2012. Mchezo ulioonyeshwa na watani ktk kombe la Kagame ni wa kiwango cha chini mno hata hivyo sijui waliingiaje hatua ya robo fainali na timu mbovu kiasi kile niliitamani sana Simba ikutane na Yanga wafundishwe soka na mbelgiji Tom..Nikiwa kama shabiki wa Yanga ningependa nimshauri mtani kurejea kwenye usajili Lasivyo Itashuka daraja watu wamejiandaa msimu huu...nadhani mnamsubiri Okwi arudi.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,127
      Rep Power : 14289
      Likes Received
      4015
      Likes Given
      3273

      Default Re: Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!

      Quote By daniel don
      Katika mwaka ambao Simba wamelamba galasa ktk usajili wa wachezaji wapya ni mwaka huu 2012. Mchezo ulioonyeshwa na watani ktk kombe la Kagame ni wa kiwango cha chini mno hata hivyo sijui waliingiaje hatua ya robo fainali na timu mbovu kiasi kile niliitamani sana Simba ikutane na Yanga wafundishwe soka na mbelgiji Tom..Nikiwa kama shabiki wa Yanga ningependa nimshauri mtani kurejea kwenye usajili Lasivyo Itashuka daraja watu wamejiandaa msimu huu...nadhani mnamsubiri Okwi arudi.
      Quote By Crashwise

      ...
      Labda mtazilipa hizi...
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    4. #3
      Mtumpole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2010
      Location : Dreamland
      Posts : 522
      Rep Power : 547
      Likes Received
      93
      Likes Given
      327

      Default Re: Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!

      Quote By daniel don
      ......ningependa nimshauri mtani kurejea kwenye usajili Lasivyo Itashuka daraja .......
      Mtani ukiona hali ni ngumu, tunaweza tukawaazimisha wachezaji wetu toka kikosi cha Bunge!!!!!

      Mwenye dhambi hana raha

    5. #4
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,989
      Rep Power : 24152
      Likes Received
      4705
      Likes Given
      2647

      Default Re: Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!

      Hili gonjwa baya sana......naona linawasumbua sana.......mpaka liwatoke kichwani ni miaka mingine 35......mara ya mwisho mliugua 1977 kwa 6-0


      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    6. #5
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,969
      Rep Power : 3105
      Likes Received
      1357
      Likes Given
      5709

      Default Re: Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!

      Hehehe! Simba bana wameloooowa!

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!


    9. #7
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,471
      Rep Power : 726
      Likes Received
      181
      Likes Given
      138

      Default Re: Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!



      Wazee wa historia MUJAR'AB
      Itawachukua muda sana Simba/Azam kusahau hii game.

    10. #8
      mluga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 606
      Rep Power : 559
      Likes Received
      176
      Likes Given
      240

      Default Re: Simba mjipange msije mkashuka daraja msimu ujao wa ligi kuu ya Vodacom!

      Watani wako ICU, yaani wana mpango wa kumsajili Ngeleja na Tegete?
      Kweli wacha wazimike kwa juice, Simba akilemewa hula nyasi

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...