Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Barua ya wazi kwa azam fc

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      mashami's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 168
      Rep Power : 387
      Likes Received
      23
      Likes Given
      1

      Default Barua ya wazi kwa azam fc

      Salaam...
      Sisi wapenzi na mashaibiki wa
      yanga Tunapenda kuchukua
      uamuzi mgumu.UAMUZI
      WENYEWE NI KUWA HATUTAKI
      URAFIKI WA AINA YOYOTE NA
      NANYI YANGA NI TIMU KUBWA SANA
      NDANI NA NJE YA
      AFRICA.HIVYO BASI HISTORIA
      YETU HAIFANANI HATA KIDOGO
      NA NINYI.YANGA NI TIMU YA
      WANANCHI NA SISI HATUMILIKIWI NA MTU KAMA
      NINYI.BAKHARESA AKIAMUA
      ANAUZA KILA KITU CHA TIMU
      NA HAKUNA WA KUMULIZA.ila
      timu yetu sio ya mtu binafsi. YANGA NA MALI ZOTE ZA
      YANGA ZITABAKI KUWA MALI
      YA YANGA NA SIO MALI YA MTU
      KAMA AZAM.
      Sisi yanga ni mabingwa wa
      kagame mara 5 na tuna mashabiki zaidi ya milion 30 na
      tunazaidi ya miaka 75 kwahiyo
      AZAM ISIJARIBU
      KUJIFANANISHA NA SISI. Watafuteni simba muanze nao
      urafiki maana hata jana
      uwanjani walikuja
      kuwashangilia.
      MWISHO
      MWISHO TUNAIPONGEZA AZAM
      KWA KUFANIKWA KUCHEZA NA
      SISI FAINAL YA KAGAME
      HALAFU TUKAWAFUNDISHA
      SOKA.
      Ushauri wa bure kwa
      Azam.mpira na biashara
      haviendani.wachezaji
      wanatengeneza
      michapati.mikate na juisi
      kuanzi asubuh hadi saa nane.ndipo anaenda uwanjani.
      MSITUMIKIE MABWANA WAWILI
      KAMA NI MPIRA CHEZENI MPIRA
      KAMA CHAPATI BASI ACHENI
      MPIRA MPIKE MICHAPATI YENU NAOMBA
      KUWASILISHA

      MPIRA BILA VIJEMBE HAUNOGI

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,785
      Rep Power : 726
      Likes Received
      179
      Likes Given
      0

      Default Re: Barua ya wazi kwa azam fc

      Asante sana kwa kuliambia ukweli hili tawi la simba

    4. #3
      bucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2010
      Location : kandahar
      Posts : 2,905
      Rep Power : 4297
      Likes Received
      560
      Likes Given
      716

      Default Re: Barua ya wazi kwa azam fc

      hahahahahahahahahahahahahahaha hahahahahahahahahahahahahahaha haha
      KAMA MAPENZI NI PESA , FUNGA NDOA NA BENKI.

    5. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...