Ndugu zangu
Msinishambulie kama mlivyofanya kwa J.Mhagama. Huu ni utani tu kwa furaha ya Simba SC "kulambwa" na Azam FC. Keep cool guys. Chonde chonde msimshambulie Jenesta; maana alikuwa anawatania wana Simba. Hongera Yanga, Hongera Dr. Kikwete.
Ndugu zangu
Msinishambulie kama mlivyofanya kwa J.Mhagama. Huu ni utani tu kwa furaha ya Simba SC "kulambwa" na Azam FC. Keep cool guys. Chonde chonde msimshambulie Jenesta; maana alikuwa anawatania wana Simba. Hongera Yanga, Hongera Dr. Kikwete.
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
Simba anaishi Mjini wacha aonjeshwe lamba lamba akanogewa Watu wakamchungulia tehe tehe.Mzee reception hajajiuzulu au chama chao hakina hiyo sera
jamaa wamenifurahisha katika kichwa kimojawapo cha habari MNYAMA KATAFUNWA HADI MANYOYA.HA HA HA HA !
kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.
peleka kwenye habari za michezo hili sio eneo lake.
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
simba haooooo...wameolewa....tehe tehe tehe tehe...chezea watoto wa icecream wewe. .
mie nshasemaga kushangilia simba yataka moyo.........................
Kawaida simba wanashangiliaga miezi miwili kwa mwaka, YANGA miezi10,. Poleni wana simba nafikiri mmeishiwa hela ya kununua penati
ivi kwa nini yanga wasitoe rangi ya kijani kwenye uzi wao, uwe njano na nyeusi, kuna mwaka walitumia jezi yenye njano na nyeusi.. maana naisi naboreka sana wanavyoiunganisha yanga na hawa magamba
CHADEMA mwendo mdundo - T 2015 CDM
Follow Us Here